TOP OBSERVATIONS FROM LIV vs SOTON:
1.) Huyu mtoto Manquillo ameonyesha uwezo. Kwa ujumla ameimudu nafasi japo mapungufu machache yalikuwepo
2.) Lovren ameanza kuonyesha umuhimu wake, kwa kiasi fulani Central defence pametite
3.) Sterling anazidi kuimprove na finishing, hardworking na passing yake itatusaidia sana. Anatakiwa tu kusustain
4.) Nimeona shida kubwa sana kwenye defensive midfield. Hakuna mtu wa kuinterrupt moves zinazoanzia meter chache mbele ya defence line. Lucas alizidiwa sana wakati SG alirudi nyuma kama anatoa back up kwa back line zaidi.
5.) Kwa haraka haraka, Lambert atastruggle sana kwa position anayochezeshwa. Anacheza pembeni akiingia ndani, yule ni mzuri zaidi akiwa more central.
Otherwise, ni point tatu kibindoni, mengine tutarekebisha mbele ya safari.