Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wazee huyu Voranin ni heri tumrudishe ujerumani mwezi wa kwanza, maana kila mechi ye anakimbia kimbia tu uwanjani
 
Daah mshalala 2-1 Naona Torres ameumia tena daa, kwa nini musimpumzishe? hajapowa bado. pole sana MTM na kop wote dakika bado zipo
 
Karibu jamvi letu, hatukufukuzi kama ulivyonifukuza siku ile kwenu!!😕

Tehe tehe asante mkuu...Fulham 2 Liverpool 1...Tatizo kule kwetu kuna watu huwa wanapiga kambi kabisaa wanasahau majamvi yao..Ishafikia kipindi ishu za Man Utd,Chelsea,Liver zinajadiliwa ndani ya jamvi la Arsenali
 
Rafa, refa na Dagen wameamua kutupatia kipigo cha 5 mwaka huu
 
Ohoo masalaalee Carragher kadi nyekundu! poleni watani.
 
Tehe teh jahazi lazidi kuzama,kadi nyekundu watu wawili...Ila hiyo ya Carragher naona kama ameonewa vile
 
Daaal MTM aka Mzee wa DECEDIT VOS OMNIA ....Pole naona weekend yako inachafuliwa sana......! ss wenzi haaa kijumanne nature ...ukija bongo...chana chana kanda2....daa ngoja nizikalie sasa Ndovu mpya......roho nyeupeeeeeee!
 
msalieni mtume Fulham 3 sasa daah! kweli siku ya kufa nyani...........!
 
duuh wazee wanaadhirika baada ya kutumia MIGUVU YOTE siku walipopambana na ManU
 
Heri watupige 5 ili kocha akatie akili akiwa nyumbani, maana hata kama ni majeruhi hii soo
Naona kama Rafa ameshagonga ukuta kibarua kimeshaota majani tusubiri tangazo tu!
 
hili ndio tatizo la wachezaji kutaka kujenga majina kila wanapokutakana ManU................duuuh naona wazee wamekoswa koswa tena.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…