Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

bora umejitokeza mkuu hili tuweze kukupa pole. mchawi wako benitez na sub zake alizofanya za ajabu.mpelekeni mkampime akili yule jamaa kama mzima au vipi manake saa nyingi decision zake za ajabu sana.torres,benayoun na kuyt wote wameshangaa kutolewa lol.

Nadhani ana matatizo na mkewe labda, he is becoming sooo different, halafu simuoni kama anakuwa karibu na Sammy Lee kabisaa
 
Naona watani mumekata rufaa zile kadi nyekundu, mimi nahisi Degen alionewa ila Carra kwa kweli amechoka muwacheni tu apumzike kidogo
 
Naona watani mumekata rufaa zile kadi nyekundu, mimi nahisi Degen alionewa ila Carra kwa kweli amechoka muwacheni tu apumzike kidogo

Hata waki-appeal, Rafa is losing it!!
 
Hata waki-appeal, Rafa is losing it!!
Nakubali, he's a dead man walking, nahisi mechi ya Lyon will be a make or break kwa Benitez, lakini naamini hata mkishinda hii mechi bado haitoshi. Ataondoka tu.
 
Yaani jana pamoja na furaha ya ushindi wa simba, niliishia kulewa kwa depression!!!

I knew u will be back from the ''I see u''......! hope una rejuvenate pole pole naona umeshapata nguvu mpya sasa! SS tulikuwa tunapasha moto kijiwe chako in ur absence mkuu!
 
Jinsi Benitez alivyo game ya Lyon naamini atashinda tu
 
I knew u will be back from the ''I see u''......! hope una rejuvenate pole pole naona umeshapata nguvu mpya sasa! SS tulikuwa tunapasha moto kijiwe chako in ur absence mkuu!

Thanks Mkuu kwa kuendelea kupasha moto kiporo, hali yangu ilikuwa mbaya mazee!!!

Next time huyu benitez ntamtaftia Nzowi amnyee mbofumbofu
 
Thanks Mkuu kwa kuendelea kupasha moto kiporo, hali yangu ilikuwa mbaya mazee!!!

Next time huyu benitez ntamtaftia Nzowi amnyee mbofumbofu

Nafikiri Mabagala would be perfect for the job...ha!ha!haaaaa!
 
Unajua liverfool ni kama vile wako ICU...
Wanapumua kwa mipira, wanakula kwa mipira, wanajisaidia bila kujijua...
So walipomfunga manchester ilikuwa ni kama mgonjwa mahututi kupiga chafya kisha anaendelea na usingizi...
Kwa kifupi hawa jamaa hawapo tena, ila kinachofuata sasa ni kumtafuta mchawi then wamtimue Benitez wa watu ili wajifariji...
Lakini ukweli ni kuwa Liverfool ni Ushuzi kwa sasa, kwani unanuka na kupotea
 
Unajua liverpool ni kama vile wako katika kipindi kigumu sana kwa sasa, majeruhi, tactics nk. vyote vinagomba

Hatawalipomfunga manchester ilikuwa ishara tu kwamba they have enough quality in their team lakini tactics zao si safi kwa sasa, ila kinachofuata sasa ni kumtafuta mchawi then wamtimue Benitez wa watu ili wajifariji...
Lakini ukweli ni kuwa Liverpool ni nzuri kwa sasa

Thanks Gangstar shombe, naona lugha yako ya kikopo hapo juu

Ngoja nikuletee Mabagala hapa uone mambo!!
 
Nafikiri Mabagala would be perfect for the job...ha!ha!haaaaa!

Ahh, we acha tu, juzi nilimuangalia kwenye TV hadi nikatamani kuvunja aisee... sijui unamtoaje Yossi na Kuyt halafu unamuacha Veronica aisee
 
Mbu,

Unajua sisi wapenzi wa Bwawa la Maini sio 'viredio' kama wapenzi wa timu chovu maarufu tatu. Kwa hiyo tupo na tunaserebuka na kujiandaa na ubingwa hapo May.

haya ubingwa huuoo may kwa 3,1 na fuuull hamuuuu!
 
Tim yetu haina hela ndo maana benitez mawazo yoteee ni UEFA, coz anajua atleast akiingia robo fainali anaweza pata pesa. Wakuondoka ni wote wamarekani na yeye, tuanza upya kabisaaa.
 
Tim yetu haina hela ndo maana benitez mawazo yoteee ni UEFA, coz anajua atleast akiingia robo fainali anaweza pata pesa. Wakuondoka ni wote wamarekani na yeye, tuanza upya kabisaaa.

shikamoo SEMENYA!
 
Geof nini tena, tuna machungu bwana wenzio, hatuongei kitu ofisini hapa tumenuna mpaka kieleweke.
 
Nilisha 'jisemeaga' mimi, kuwa the demise of Livafo@#ls cant be avoided kwa kuifunga Manutd tu. Tehetehe!
 
Leo mnalambishwa 2-0 na lyon karibuni Arsenal bado tunahitaji mashabiki


Sawa Mfukunyuzi... ila hilo la Arses, katu haiwezekani, hasas ukizingatia nilianza ushabiki wakati Daglish anascore na Tony Adams yuko kindergatten

Niliipenda Arsenal ile ya akina lee dixon na winterburn!! wakati Ian wright anapiga mabao
 
Sawa Mfukunyuzi... ila hilo la Arses, katu haiwezekani, hasas ukizingatia nilianza ushabiki wakati Daglish anascore na Tony Adams yuko kindergatten

Niliipenda Arsenal ile ya akina lee dixon na winterburn!! wakati Ian wright anapiga mabao
Mkuu hao sijakupata, Uliipenda arsenal?. hope uliipenda na siyo kuishabikia,maana watanzania wengi wakiipenda ndo wanaishabikia hivyohivyo.
sumemuona owen ujumbe aliopewa aliambiwa once a MANC never a red, wakimaanisha ukichezea manure hauwezi ukawa red [liverpool] in your heart.
 
Mkuu hao sijakupata, Uliipenda arsenal?. hope uliipenda na siyo kuishabikia,maana watanzania wengi wakiipenda ndo wanaishabikia hivyohivyo.
sumemuona owen ujumbe aliopewa aliambiwa once a MANC never a red, wakimaanisha ukichezea manure hauwezi ukawa red [liverpool] in your heart.

it is very simple msauzi!!

sikuchezea arsenal wala kuchukua kadi ya arsenal ila niliikubali ile kwani ilikuwa ya kufa mtu kwani hata walipokuwa wakikutana na sisi hali ilikuwa ngumu

cha maana ni kwamba, mie kama liverpool mshabiki naikumbuka asres moja tu!!!! and the rest come at a cost
 
Back
Top Bottom