Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

bado mnasherehekea kutufunga sisi? poleni sana, maybe ndo mmeondoka rasmi kuwania hiki kikapu.
 
Poleni sana Loserfools! Mlitumia nguvu nyingi sana kushinda mechi ya ManU, sasa mmerudi kwenye mnapostahili.
 
You will Never WIN AGAIN! Anyway, there is always next year!
 
haya maneno nilimwambia egylpz jumapili iliopita nadhani maneno yangu yamekamilika.

Hahaha mkuu nilimwambia MTM kuwa Liverpool mechi inayofuata wanafungwa lol...isitoshe nilisema Kops kwenye ligi wana mechi mbili tu (dhidi ya Manchester) baada ya hapo ligi imeisha.
 
Naona MTM ka modem kake za Zantel/Vodacom kana matatizo leo
 
Hahaha mkuu nilimwambia MTM kuwa Liverpool mechi inayofuata wanafungwa lol...isitoshe nilisema Kops kwenye ligi wana mechi mbili tu (dhidi ya Manchester) baada ya hapo ligi imeisha.
mbaya zaidi hio mechi inayofata na birmingham city watoto wanasumbua sana nao.
 
sijawahi kuona jukwaa limetekwa na wapinzani bila wenyewe hata kutokea kujibu mashambulizi kama hili la liverpool siku mbili hizi ha ha ha.
 
sijawahi kuona jukwaa limetekwa na wapinzani bila wenyewe hata kutokea kujibu mashambulizi kama hili la liverpool siku mbili hizi ha ha ha.

Unajua Mr.Bean, bwawa la maini, jamaa wote wapo ICU! Bt hope mzee wa DOCEBIT VOS OMNIA kesho pengine atakuwa katoka huko so atakuja aseme kitu.......! Poleni sana bwawa la maini, naona now vibonde wote wanajifunzia kunyoa kwenu...ha!ha!ha!ha!
 
Hahaha mkuu nilimwambia MTM kuwa Liverpool mechi inayofuata wanafungwa lol...isitoshe nilisema Kops kwenye ligi wana mechi mbili tu (dhidi ya Manchester) baada ya hapo ligi imeisha.

Wakuu wote mlioniwasha madongo humu, nashkuru sana.... Huu wote ndio urafiki, mmenikumbuka katika shida, hahahaaaaaaa

Yaani watani hamna hata huruma, nimeingia mitini maana kila nikichungulia nakuta mawe ya kufa mtu!!!

Jamani ehh, sie tumefulia... we will be just taking one game at a time!!! Kuna watu wanasema kuchamba kwingi, kutoka na m@v!, naona Benitez sasa ameanza kutoka na m@v!

NAshkuru kwa kuendeleza libeneke wakati mwenye jamvi niko wodini napumulia mashine baada ya mshtuko mkuu!!!😛
 
Ha!ha!ha!ha!aaa.......MTM.....yupo ''AI SII YU'' tangia jana jioni.....amepata depression kali.......!

Yaani jana pamoja na furaha ya ushindi wa simba, niliishia kulewa kwa depression!!!
 
Wakuu wote mlioniwasha madongo humu, nashkuru sana.... Huu wote ndio urafiki, mmenikumbuka katika shida, hahahaaaaaaa

Yaani watani hamna hata huruma, nimeingia mitini maana kila nikichungulia nakuta mawe ya kufa mtu!!!

Jamani ehh, sie tumefulia... we will be just taking one game at a time!!! Kuna watu wanasema kuchamba kwingi, kutoka na m@v!, naona Benitez sasa ameanza kutoka na m@v!

NAshkuru kwa kuendeleza libeneke wakati mwenye jamvi niko wodini napumulia mashine baada ya mshtuko mkuu!!!😛
bora umejitokeza mkuu hili tuweze kukupa pole. mchawi wako benitez na sub zake alizofanya za ajabu.mpelekeni mkampime akili yule jamaa kama mzima au vipi manake saa nyingi decision zake za ajabu sana.torres,benayoun na kuyt wote wameshangaa kutolewa lol.
 
Back
Top Bottom