Sawa mfiwa mwenzetu wewe msiba umeisha au bado?Nipo kuwafariji wafiwa
Mimi siongei kwa sababu ya ushabiki ila kwa sababu naamini kuwa lazima Man wangefika kilele cha mafanikio na kutakiwa kuanza upya.
Kama unadhani kuwa naongea kwa sababu ya kuwachukia Man U basi tusubiri tuone!
Naona mashabiki wa Manchester sio wa City wanashangilia ushindi
Man city 0-0 liverpool 10'
Dropping Manquillo, kumuanzisha kwa mara ya kwanza Moreno katika game ngumu kama hii, Kuendelea kumchezesha Coutinho wide..GJ kuendelea kuwepo uwanjani..ni vitu vichache tu ambavyo hata KIBADENI angevifikiria kabla ya kupanga kikosi..
SAKHO or AGGER deserves kuanza kwenye Back 5..
It hard to say this but BR team selection, Moreno and Lovren costed us this match..
Tukiendelea kumchezesha Coutinho wide tutastruggle sana..hata kama Balotelli atakuwepo uwanjani..
NI AIBU sana.