Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Afadhali man utd tuwapige gap

teh teh teh...ndo ile adui mwombee njaa nini,me mwenyewe nna hamu hapa kesho nisikie lile goti la Radamel lililojaa maji limetibuka tena..msimu mzima OUT ha haha ha ha ha ha ha! Ntachinja jogoo.
 
teh teh teh...ndo ile adui mwombee njaa nini,me mwenyewe nna hamu hapa kesho nisikie lile goti la Radamel lililojaa maji limetibuka tena..msimu mzima OUT ha haha ha ha ha ha ha! Ntachinja jogoo.


Sasa ndio muda wa Super Mario wa kuwaonesha kuwa amekua na ameanza kazi rasmi.
 
I hope this Sturridge’s issue is no serious…

Tunakumbuka mwaka jana kwenye mwezi mei, aliumia kiwiko cha mguu kwenye gemu ya kirafiki na Rep of Ireland, injury iliyomweka nje kwa miezi mitatu, hiyo ikafuatiwa na thing injury on September ambapo alikosa gemu za qualifiers against Lodova n aUkraine..

Miezi miwili baadaye akalazimika kucheza dakika zote 90 kwenye mechi ya kirafiki na Ujerumani huku akiwa na maumivu ya paja. Na kutoka na hilo ilibidi BR ampumzishe kwenye mechi muhimu ya Merseyside derby at Goodison Park. Anafunga goli la kusawazisha akitokea benchi but then injury anayoipata kwenye mazoezi ikamweka nje kwa wiki sita!
 
Asante Osokonoi kwa taarifa ya kutia moyo, ya kiuanamichezo, ya kuonesha unajua unachokiandika. Ingawa jina lako lanikumbusha enzi za IS IT POSSIBLE by Henry Ole Kulet!!!!
 
I hope studge is not going to be out for six weeks

trusting Bolotele for six weeks tena with UCL, EPL, Carling cup is a risky as shagging a prostitute without a condom
 
Sasa ndio muda wa Super Mario wa kuwaonesha kuwa amekua na ameanza kazi rasmi.

Balo kaanza uduanzi wake!Leo wakati wa mechi na Wolves kataka kupigana hadi BR akamtoa haraka!
Picha hiyo anatoka uwanjani baada ya kutolewa mapema
 

Attachments

  • 1409955879796.jpg
    62.3 KB · Views: 113
Daa atakuwa nje for three weeks, hichi ndo alichopost instagram. Afadhali kidogo ni week 3
 

Attachments

  • 1409962918723.jpg
    51.5 KB · Views: 116
Daa atakuwa nje for three weeks, hichi ndo alichopost instagram. Afadhali kidogo ni week 3

we have crunch september/october with six games in less that three weeks... we surely needed him

I hope Lallana atakua ready - we have bolotele upfront so no worries
 
Lallana karudi!Markovic;Coutihno and Can are there too!Tuna depth mwaka huu so worry not mtani!

Depth ya mwaka huu inanipa moyo sana...sina wasiwasi although si vizuri kumkosa hata mmoja wa players wetu.
 


nini shida ya huyu kijana lakini?:angry:
hana shida... he is the man, and as usual... small players want drama with him; we saw how dier tackled him; na huyu wa wolves was doing the same, in a friendly

I would have kicked his ass as well... ni usengerema kuchaza indoor friendly na kuanza kutaka kuumiza pros

according to the media, hakumpiga teke wala nini, ni drama tu around balo, ili wauze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…