MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
MosDef...unajua kila mtu ameumbwa kivyake na kimtazamo wake,huyo Evans hayo ni maoni yake na offcourse he's nothing pale LFC,pengine kuna watu huwezi kuwaambia lolote kwa mchezaji kama GJ,wakati dunia nzima inamuona anavyoboronga...kwahyo kila mtu anaweza kutoa maoni yake...kwa mtazamo wake...kwangu mimi EMRE bado kabisa muda wa kumuhukumu...licha ya umri wake mdogo,pia ligi ni mpya kwake,mazingira mapya,etc..ana mengi ya kujifunza.
Agreed!!!
Last edited by a moderator: