Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Agreed!!!
 
Last edited by a moderator:
Shanks!!
 

Attachments

  • 1410356258290.jpg
    90.7 KB · Views: 111
  • 1410356290437.jpg
    92.3 KB · Views: 108
  • 1410356321517.jpg
    11.7 KB · Views: 101
  • 1410356370622.jpg
    102.5 KB · Views: 104
Unakumbuka?????
 

Attachments

  • 1410356886788.jpg
    130.3 KB · Views: 115
  • 1410356912154.jpg
    119.5 KB · Views: 111
  • 1410356933891.jpg
    135.8 KB · Views: 107
  • 1410356978513.jpg
    105.8 KB · Views: 108
Kilikuwa kipindi kigumu sana.... halafu tulikuwa tumekosa ubingwa kwa point chache...
 
IAN AYRE anasema LFC waliingiza kiasi cha £50,000 katika mauzo ya Jersey za Balotelli mara tu baada ya kusign kipindi kile!!
 
Ni kweli balotelli kaingiza kiasi kikubwa kwa mauzo makubwa ya jezi.......nimeiona sehemu fulani.
 
MB....
 

Attachments

  • 1410374309796.jpg
    14.4 KB · Views: 101
Du! Drama as usual!

This is no drama as u think........paraparazzi they are always there on spot on celebrities......mara ngapi mimi na wewe tumekojoa sehemu ambayo sio choo na hatupo kwenye public media.....jua kwamba mario is a cel.....hata sister wako ata muadmire tu.YNWA.
 

Du we jamaa umeenda mbali sana labda nikuulze sentensi yangu umeilewaje?
 

''Mbwembwe/vituko kama kawa'' ndicho nilchomanisha, mie hata kama nakojoa porini siwezi kuacha mit.ako wazi kiivyo kama anajua yeye ni celebrity na macelebrity wa mbele huviziwa na mapaparazi basi kajiachia hivo si kwa bahati mbaya bali kakusudia ili paparazi waandike chochote na ndio mana nikasema mbwembwe kama kawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…