Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Andy Hunter anasema LFC watamake a Complaint to FA over England National team kuhusu Sturridge's Injury.

The FACT ni kwamba DS alrequest kupumzishwa for recovery lakin Hodgson forced him to play katika Mazoezi kesho yake!! Ndo akaumia!
 
Hiki cha pili nadhani kipo poa zaidi,after all sterling anatakiwa kupumzishwa kwa game ya juma4

kwangu mimi Markovic anafaa zaid kwenye UCL games kuliko hata RS!!..IMO!

CAN kaumia, lakin ndo zilikuwa games zake hizi!!!..na ni LAZIMA angekuwa anaanza ahead of LALLANA!!!

UCL football ni tofaut sana na EPL..thats why you can see jins gan Man city wanavyostruggle, Au Arsenal wanavyofikaga mbali kiasi despite na vikosi vyao vya kawaida for the past few years kabla ya ile "the invicibles"..

Nadhan kwa sasa RS ni "UNDROPPABLE"..lakin Markovic ni something Else too!!!

Dah!!!..Aisee BR nahis atakuwa anachanganyikiwa sahv, ndo maana anasema kutakuwa na ROTATION kama enzi za RB, Kikosi ni KIKUBWA sana..but now with CAN and Allen Out Injured, nadhan tutaona sana Phill and Lallana playing in the middle, BUT nachelea kusema We can see LUCAS too, sana sana katika game ya AVC..(if we're to play 4-4-2)..lakin kama itakuwa 4-2-1-2-1 with SG and Leiva patnering themselves in the middle (which haijawah kuwork out under BR) tutaumizwa sana..for Lucas to play well, we need to employ 4-4-2, With Hendo, lucas and Cou, both playing around SG, to cover the mid..itakuwa rahis sana Cou, kupitisha through passes kwa MB na RS or Markovic..!!

But..BR knows BETTER, We just need to win this match, Draw against Aston villa at home was one of the Factors which costed us the TITLE too, Bila kusahau Ile ya So'ton at home (alituua Lovren KIMOJA tu), na Ile ya WBA..so we need to WIN hizi kinda games if we're to challenge for the TITLE again this Season!!!

Tomorrow is the HUGE day!!
 
Mignolet,Manquillo,Lovren,Sakho,A.Moreno,SG,J.Hendo,Lallana,Coutinho,Sterling,Baloteli....1st eleven isipokuwa hivi kesho,njooni mnipige mawe mpk nife..teh teh teh
 
Sasa huyu Lovren atakua anacheza gemu zote jamani??????

Mkuu toka gemu ya totnham, sub ya centre half tuliyenaye sasa ni dingi kolo, sketo majeruhi sasa dingi anajeuri gani ya kuwaweka bench sakho na lovren.
 
Mkuu toka gemu ya totnham, sub ya centre half tuliyenaye sasa ni dingi kolo, sketo majeruhi sasa dingi anajeuri gani ya kuwaweka bench sakho na lovren.

Mi natamani Lovren aumie ili BR aone kuwa amefanya makosa kumuuza Daniel Agger na kumtoa kwa mkopo Sebastian Coates.
 
Lineup for tomorrow

where is henderson??

hiyo team itakua vulnerable with the strong midfield ya watoto wa lambert na keane, maana only four player hapo can defend, the rest, kuanzia gerro cant defend kabisa, na moreno can only defend kwa 40%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…