Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mlitushikia....nafasi....kwa....muda....xaxa....wenye....nafasi...zetu....ndo....tunarudi...
 
Hii timu defensive midfielder mwenye pumzi ndo ataikoa. Hata central defence inakatika sana maana haina shield. Gerrard mwili unaonekana kabisa mzito! Movement zinamshinda.
Mkuu, haya matokeo kayataka BR mwenyewe ameanza na viungo wawili wakabaji ambao hawa speed (gerrard na lucas) timu ilikuwa haiendi mbele,nilisema hapa kuwa gerrard ameisha watu wakaleta stats ila kama umeangalia last 3 games utaona tatizo kwenye defensive midfielder, na attacking midfielder countinho has to step up his game, anakuwa deployed kama CAM ila anashindwa kutoa pasi nyepesi kwa maforward (refer uefa)

Nilisema huku hizi experiment za BR nalo ni tatizo borini hajacheza kama winger as he was supposed to be, alikuwa na markovic kwenye bench sijui hakuliona hilo, balotelli anapoteza mipira kizembe yaani leo tumefungwa kwa arrogance ya BR. Timu haina desire ya kushambulia kama msimu uliyopita
 

..........hahahha, nyie ndio maana thread yenu ilikuwa na Kwashiokor!
Mshaanza kupata utapiamlo game zenyewe ndio kwanzaaaa....,

Aarrghhh!
 
siamin kama leo wakina YNWA wanamchukia Brendan na kumtaka aondoke,si ndio huyu mliyekuwa mnamsifia na kumwita mkombozi wenu?leo hii inakuwaje?haya sasa na kapteni naye mnataka akae benchi eti kiwango kimemwisha....kwani ndio mnajua leo?kwani aliyewanyima ubingwa mwaka jana ni nani...sio huyo Kapteni Gerald?hahaaaaaa.......YNWA
 
BR ana wkt mgumu sana wadau,the best option kwake ni kumdrop SG,but without Allen,and Can there,it's a disaster,who will play DM? LUCAS mwenyewe ndo kama mnavyomuona...nnachoweza kushauri hapa ndugu zangu,bora tujicondition tu kupata matokeo ya aina hii mara nyingi iwezekanavyo msimu huu,mpk BR atakapopata 1st eleven yake,tutakuwa tushachapwa sana MosDef wewe ni mtetezi mkuu wa SG humu,tafadhali njoo useme kitu leo kuhsu huyu kepteni wetu...bado anaweza kuhimili mikiki mikiki ya EPL kwa role ile kweli?? DM??
 
Last edited by a moderator:
Liverpool tatizo letu kubwa ni kocha,kocha wetu amefikia mwisho,hevis never and he wil never be a game changer.ni mtu wa vyombo vya habari na mtu wa kutaka sifa mwisho wa siku anajikuta anaharibukila kitu,timu ina mido kibao ila mpka leo hajajulikana nani ni nani na anacheza wapi,ajui kupanga timu wachezaji hawana moral kbsa cjui hata kwnye mazoez uwa anafundisha nini,nimeumia sana leo tunaanza tena kurudi kule kule itaniuma sana....
 

why blaming SG sasa???

Ye ndo anatoa HELA ya kununua wachezaji???

He's just a PLAYER pale LFC, anafanya kaz yake, n' after all hakumuomba BR ampe majukum ya number 6!!!..

Afu nashangaa kila LFC inapopoteza game watu wanamlaumu SG, ili tu kucover utumbo wa Baba yao BR, kocha mpaka sahv hajui what's best side kwenye team!..Tatzo la LFC ni CB's lakin ndo hvyo kila siku anatoa kwa mkopo Mabeki..huyo BR leo si alichange formation na kuanza kucheza na mabek wa3 nyuma??..unategemea nn sasa hapo?..utamlaum SG???

na huwa tunaongea kila sku midfield partnership ya SG na LUCAS haijawah kuwork out chini ya BR, so why forcing it?? hapo napo utamlaum SG??

Rejecting Remy over Borin (na hili niliongea sana humu, we ndo ukawa wa kwanza kunambia nalalamika sana), Borin hawez kukusaidia hata kidogo uwanjan!!! hilo nalo unamlaumu SG??

Our back line is SHIT, our GK is SHIT, Lovren, Sakho wote wanaicost team, Team haina Defensive coach, akina Morgan wanafanya kaz gan kama tu GK kila siku anarudia makosa yale yale??..kuna haja ya kuwa na kocha wa makeeper??, CB's wa LfC hawajasettle na nilishaliongelea hilo hapa, Ukimtoa SG kwenye DM, utamchezesha nan?? hilo nalo ni kosa la SG??

SG atafanya nn kama Back line ni mbovu??..ina maana ye ndo awe anablock mipira yote isiwe inafika golini??? ye ni YESU?? kwahyo aspoblock hyo mipira ndo iende moja kwa moja golini?? hakuna CB's wa kuzuia?? mpaka sasa stats zinaonyesha LOVREN kafanya individual errors 3 ambazo zimeicost LFC, hilo nalo ni kosa la SG??

DM hata awe mzuri vipi, CB wake wakiwa wabovu inakuwa kazi bure, Gustavo alifanya nn Na Brazil yake WC??, Spurs last season walifanya nn na kina Capoue na Dembele??, Southampton ingekuwa inaongoza league basi, maana ina kina schenederin, Everton alipigwa ngap na Chelsea?? si ana kina Barry na McArthur??..Man city played with Fernandinho and lampard katikat against Arsenal last week, but Arsenal wakaambulia Draw tu, Man city wana Backline nzuri..

Beki ya LFC ni mbovu, Hata aje Javi Martinez hatosaidia chochote, as long as backline ikiwa vile, manake anatakiwa afanye kaz ya ziada kublock mipira kibao, manake mpira ukimpita tu ni goal..hakuna beki ya maana LFC, hakuna beki ya maan hata kidogo, na hyo bek itazid kuonekana mbovu as long as mignolet atakuwepo golini..

Kocha unaifundisha LFC lakin mpaka sasa hujajua whats your best 11..Kwann usiendelee bas na team ile ile ya last season??..kasoro LB, RB na ST??

Afu kila kukicha ni kubadilisha Formations tu, kwann usistick na Formation moja tu??? hilo nalo kosa la SG??

Last season tulkuwa tunasema LFC unahitaj options katika wings, akanunuliwa LAZAR, lakin ndo hivyo anakula mkeka tu, sub ni lambert, atakusaidia nn Lambert??..hilo nalo ni kosa la SG??

Unahitaji kocha wa kuipanga defense, na kama tungekuwa na kocha wa defense imara, sidhan kama angeruhusu kati ya Agger, coates au Illori kuondoka..kwanza huo uzoefu anaotakiwa kuupata illori ni wa hadi lini???

kwann ung'ang'anie mibeki ambayo inatumia akili kidogo sana katika kukaba???
 
Last edited by a moderator:
Daaah hata kama BR anataka kufanya watu tusiwe tunaangalia mechi kwa style hii ya leo kweli kwenye derby na Everton tutaweza?

Kwa kiwango hiki Tofees watatuua kaka!Team mechi ya 5 hii na moja ya Champion League hamna hata mechi moja waliyo onyesha kiwango chao!

Kuna pundits alimuonya BR kuanzisha wachezaji wengi wageni na kuwaachia waaondoke wengi walio zoeana na sasa naanza kuona ni kweli!
 

Mkuu si kweli kuhusu SG!
Chunguza bila SG mle ndani matatizo yangekuwa makubwa zaidi na kwangu man of the match leo kwa Liverpool hii ya hovyo hovyo ni SG!
Kila mchezaji ka drop form drastically!Kipa wetu ndiyo utumbo namba moja kwa sasa,beki za kati ndiyo bad partnership ever ktk EPL hii!
do not take SG as a scapegoat!BR anapanga wachezaji 8 wageni kwenye game moja badala ya kuwa induce taratibu taratibu hadi wazoeane!
Agger unamuondoa kwa sababu gani?Kuna beki pale mwenye akili kama Agger?
 

Man of the match SG? Mkuu ulikuwa unaangalia match ipi? Nakushauri katafute replay uziassess movement za SG. Ni kweli watu wengi waliboronga lakini huwezi kumwita SG man of the match, defensive midfield imekatika, central defence imekatika yaani ni majanga msimu huu. Yanarudia yale yale ya 2010 baada ya kuwa wa pili 2009.
 

Tatizo BR anahifanya yeye jasiri, akiendelea na huu utaratibu huu msimu atamaliza kwa shida Sana
 
MosDef with all due respect to SG,HAWEZI kuendelea kucheza DM na tukapata matokeo,kama anahitajika sana kwenye starting XI apewe majukumu mengine(labda free role,kama A.Pirlo),SG hawezi kukaba kama A.song au Fernando Reges! Anachoweza SG ni kupiga pasi ndefu(kama Emre Can),ile DM atatuchoma sana mwaka huu...ila nadhani bado tuna safari ndefu sana aisee,yaani tunapiga hatua 10 mbele,afu tunarudi hatua 8 nyuma..,kwa EPL ninayoijua mimi,HATUWEZI kumaliza ndani ya top4 msimu huu.....labda utokee muujiza tu...
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na wewe, kama kusipotokea mabadiliko kwenye DM yaani tumechungulia tu UCL msimu huu, msimu ujao hatupo. Na hata haitashangaza Basel FC akitunywesha game ya UCL inayokuja.
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na wewe, kama kusipotokea mabadiliko kwenye DM yaani tumechungulia tu UCL msimu huu, msimu ujao hatupo. Na hata haitashangaza Basel FC akitunywesha game ya UCL inayokuja.

BR anakosa CB wa uhakika kwa sababu mbili,moja,majeruhi(skirtel alikuwa majeruhi,akalazimika kumtumia Lovren kama RCB),pia price tag ya Lovren inamfanya BR kujishtukia kumuweka benchi,wote humu mnanifahamu vema,mimi ni pro Sakho! Kwangu mimi Sakho hajawahi kuni disappoint hata siku moja! Ndiyo,anafanya makosa..kama beki mwingine yeyote...anachotakiwa ni kuongeza confidence na kuwa sharp kwenye kufanya maamuzi anapopokea mpira,otherwise,he is the only best CB we have.
 
Nakuja kwa Dejan Lovren,kwanza kbs SIMPENDI,but as long as anavaa uzi wa LFC,namsupport! Huu usajili wa Lovren haukuwa na maana yeyote,Dagger alikuwepo,Ilori alikuwepo,Seba alikuwepo,Kolo alikuwepo,wote hao ni LCB,Lovren ambaye pia ni LCB wa nini?? Wakati anasajiliwa,nilijua ni RCB ili awe anasaidiana na Skirtel pale,baadae,ndo nagundua ni LCB,duh...poor BR,kwa hili hata mimi mswahili,tena Mkurya wa kule Tarime,ambaye soka sio priority kule kwetu,nimefikiria zaidi yenu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…