Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Vile Matip Alivyoshika Kichwa Nilishika Nae na Wote tukainama. Sijui Kama Nilishawai jiskia ivyi kwenye Mpira Labda Kipindi Simba tunatolewa na Jwaneng.
Mkuu hua inauma siku ambayo nililia ni siku Ile tumefungwa na Chelsea kipindi cha stive G na suarez... Acha Tu nililia Sana lakini Jana niliumia vibaya Spurs tulikua tumewashika Ila sio mbaya still we've a chance... Msimu bado
 
Screenshot_20230930_235407.jpg


YNWA
 
IMG_20230930_234634_338.jpg


🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hii sio bure kuna jambo hapa... Tusije shangaa ikawa kama ule msimu wa 2021 2022 mechi ya Manchester City vs Everton Rodri alikwepa kimuujiza kutoa penati huku akiwa "ameshika" mpira.... Haya makosa ya VAR ikiwa pointi zimefungana yanatia sana hasira

YNWA
 
Toka mwanzo nilikuwa na mashaka na Matip
Pumbavu sana[emoji706]
Kuwa mwanasport achana na hizi Mindset.

Steven Gerrard alitoa assist kabisa kwa Demba Ba tukafungwa goli lililotukosesha Ubingwa na still tukampa support ulikuwa wapi kipindi hicho?

Individual errors zinatokea kwenye mpira ni kitu kisichoepukika jambo ambalo alilofanya Shevchenko akawakosesha wenzake ubingwa wa UCL hatimae tukabeba sisi.

John Terry akiwa Captain aliwakosesha wenzake Ubingwa wa UCL mbele ya Man United.

So, be positive na kuwapa support Wachezaji wanapokuwa kwenye kipindi kigumu hasa mazingira kama ya jana Timu nzima ilikuwa underpressure.
 
Naungana na PGMOL kuwashukuru Kwa kuwa waungwana makosa kama haya ndio TU vitu vitu vinapelekea football kupendwa zaidi, Leo kwako kesho kwangu ,Kuna siku itawatoke SPURS .
 
Naungana na PGMOL kuwashukuru Kwa kuwa waungwana makosa kama haya ndio TU vitu vitu vinapelekea football kupendwa zaidi, Leo kwako kesho kwangu ,Kuna siku itawatoke SPURS .
Ha ha ha ha haya inanikumbusha game zenu akichezesha Michael Oliver lazima vilio vitawale darajani.

Mambo kama haya ndiyo yaliyofanya toka Howard Webb kustaafu Man United imetawaliwa na vilio.

Tukiwaambia tatizo lenu sio Glazer wala ETH bali ni kustaafu kwa Howard Webb huwa hawakubali.

Enzi za Howard Webb game ya jana wangeshinda 3 - 1 huku wakiwa na Penalties 2 na red card kwa Crystal Palace.
 
View attachment 2768175

[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hii sio bure kuna jambo hapa... Tusije shangaa ikawa kama ule msimu wa 2021 2022 mechi ya Manchester City vs Everton Rodri alikwepa kimuujiza kutoa penati huku akiwa "ameshika" mpira.... Haya makosa ya VAR ikiwa pointi zimefungana yanatia sana hasira

YNWA
Inaumiza but ndio football wazee
 
Back
Top Bottom