Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Washabiki wa Arsenal nao wamekuwa watembeaji wa kila Jukwaa kuleta Trolls zao due to their current performance! They pretend their difficulties will not commence sooner or later.
Feel good is back at the Emirates aisee.... Back to the basics they have a chance ila wakijaribu sana kua wabunifu itawa cost...
Najiuliza huyu Kai hivi walimhitaji kweli ama dogo ana zali lake...


YNWA
 
Screenshot_20231001_133048.jpg


Huyu Darren sio tu awe replaced anatakiwa awe 10th official hukoooo kuchukua notes, bure kabisa...

YNWA
 
Ya Diaz hata kuitwa kwenye ki Tv hakuna kabisa yaani hii ligi wakati mwingine inachosha kabisaa... Huyu refa anatakiwa ashushwe huko Championship sio levo ya EPL maana ndani ya msimu huu kashafanya makosa makubwa hivi mechi ya Wolverhampton vs Manchester United na hii ya jana, huyu akiachiwa ipo siku atakataa goli la wazi kabisa...

He is just a time bomb.

Howard Webb atazame tena safu yake ya ma refa wanamwangusha aafu anajikuta yeye anatumia nguvu sana kuelezea yaliyojiri.

YNWA

Refa hastahili lawama, wakulaumiwa na marefa wa VAR
 
View attachment 2767936

Hivi hii VAR mbona miyeyusho sana walishindwa nini pale kuchora vile vimstali kuona kama goli la Diaz ni offsides aafu hapa wanajitokeza eti kuomba msahamaha kwa makosa yao yaaani like serious kweli bado VAR inatugharimu mchana kweupee.

YNWA
Nimejaribu kuifuatilia scenario nzima nimegundua VAR officials hawakuwa na makosa just ni misunderstanding tu between VAR officials and Referees.
Central Official (Referee) ndiyo aliyeshindwa kuumudu mchezo wetu wa jana.

Hali ilivyokuwa [emoji116]
Baada ya Luis Diaz kufunga goal na Referee kudecide kuwa ni offside kwa msaada wa Linesman, VAR officials walifikiri kuwa muamuzi ameamua ni goal hivyo hawakupiga ile offside line kwasababu it was obviously no offside hivyo hawakuona umuhimu wa kureview with offside line.

Hatimae VAR Officials wakawasiliana na Referee kwa kumwambia "Endelea na huohuo uamuzi wako ni sahihi (walidhani Refa aliamua ni goli)".

Naye Refa alipopata ujumbe wa kuwa abaki na uamuzi wake wa mwanzo kutoka kwa VAR Officials akaamua ipigwe Freekick na sio goli.

Refa aliamini VAR Officials wamekubali kuwa ni Offside.

Hivyo kilichotokea ni misunderstanding between Referee and VAR Officials.

Hii nimeisoma kwenye Article ya Mdau mmoja wa Soccer.
 
Mmefilimbwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuwa mwanasport achana na hizi Mindset.

Steven Gerrard alitoa assist kabisa kwa Demba Ba tukafungwa goli lililotukosesha Ubingwa na still tukampa support ulikuwa wapi kipindi hicho?

Individual errors zinatokea kwenye mpira ni kitu kisichoepukika jambo ambalo alilofanya Shevchenko akawakosesha wenzake ubingwa wa UCL hatimae tukabeba sisi.

John Terry akiwa Captain aliwakosesha wenzake Ubingwa wa UCL mbele ya Man United.

So, be positive na kuwapa support Wachezaji wanapokuwa kwenye kipindi kigumu hasa mazingira kama ya jana Timu nzima ilikuwa underpressure.
Usinizingatie sana
Mechi yenyewe sijaangalia
Ndio naangalia hapa marudio.


Nikishaicheck ntaona kama nabadili comment yangu au naiacha.
 
Hali ya Gakpo jaman, mwenye injury update atujuze maana mechi ijayo vs Brighton nahisi foward mmoja tu Nunez.
 
Nimejaribu kuifuatilia scenario nzima nimegundua VAR officials hawakuwa na makosa just ni misunderstanding tu between VAR officials and Referees.
Central Official (Referee) ndiyo aliyeshindwa kuumudu mchezo wetu wa jana.

Hali ilivyokuwa
emoji116.png

Baada ya Luis Diaz kufunga goal na Referee kudecide kuwa ni offside kwa msaada wa Linesman, VAR officials walifikiri kuwa muamuzi ameamua ni goal hivyo hawakupiga ile offside line kwasababu it was obviously no offside hivyo hawakuona umuhimu wa kureview with offside line.

Hatimae VAR Officials wakawasiliana na Referee kwa kumwambia "Endelea na huohuo uamuzi wako ni sahihi (walidhani Refa aliamua ni goli)".

Naye Refa alipopata ujumbe wa kuwa abaki na uamuzi wake wa mwanzo kutoka kwa VAR Officials akaamua ipigwe Freekick na sio goli.

Refa aliamini VAR Officials wamekubali kuwa ni Offside.

Hivyo kilichotokea ni misunderstanding between Referee and VAR Officials.

Hii nimeisoma kwenye Article ya Mdau mmoja wa Soccer.
Nashindwa kupata logic, kwanini baada ya hapo VAR wasimkumbushe kwamba ni maamuzi ya usahihi wa goli ili arudi ku review? Kwani maamuzi ya VAR ni ndani ya sekunde au dakika ngapi?
 
Ha ha ha ha haya inanikumbusha game zenu akichezesha Michael Oliver lazima vilio vitawale darajani.

Mambo kama haya ndiyo yaliyofanya toka Howard Webb kustaafu Man United imetawaliwa na vilio.

Tukiwaambia tatizo lenu sio Glazer wala ETH bali ni kustaafu kwa Howard Webb huwa hawakubali.

Enzi za Howard Webb game ya jana wangeshinda 3 - 1 huku wakiwa na Penalties 2 na red card kwa Crystal Palace.
Maisha ya football burudani sana unaweza kuwa na kitu inaitwa "spell " na referee,sisi Chelsea ndio wahanga wakubwa Sasa ivi tuna wachezaji vidagaa hata kutuonea wanaona aibu ila tukizubaa tunapigwa matukio
 
Back
Top Bottom