Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
Kipindi kama hiki sio cha kupokea kipigo maana Klopp utamsikia akisema upepo ulisukuma post za goli vile🤣🤣🤣....Ujue nilipoona hali imekuwa vile hasa 2nd Half, nikaanza kucheka mwenyewe tu. Nikakumbuka JK alipokuwa kwenye post match akisingizia hali ya hewa hapo mmepigwa kikosi hovyo, asemi hali mbaya ya kikosi aa, upepo ndio sabbu. Pamoja na kushinda upepo uliongelewa bado….
City anaweza poteza endapo akukutana na Tottenham Hotspur ya msimu huu [emoji23][emoji23]Maombi yangu leo
City apoteze
Arse8 apoteze
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Bhana hata Henderson alivyo cheza powa nilisema apangwe kabisa Team A kwa kua kipo alichotu offer bhana... Kama Henderson kwa zaid ya miaka 10 alipewa nafasi na ucaptain akapata pamoja kwamba 80% alikua hajui anatakiwa nn uwanjani lakini mashabiki walimvumilia mpaka pale Klopp alivyoona huyu ni wa hivi hivi so let's give the boy some space to prove whether tumepata ama tumepigwa kazi kwake sasa..Kaka mtuuuu🔥
Darwin Marvelous😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Amka bhana nenda chachi mtumishi.Tulale lol😝
Umenikalia kooni leo msemaji wa Nuniez🤣🤣🤣🤣
Sawa kaka Nunez Bwana
Mitano tena kwake,si ndo mkataba wake up hivyo?
😂 😂 😂 😂 😂 Ila angefunga Domy kama nakuona....Hilo Lina tofauti gani na la Trent wayback 2019 , alilofungia akiwa kati?😝😛
Lile huwa wanaonyesha kwnwye channel ya LFC
olachugaKipindi kama hiki sio cha kupokea kipigo maana Klopp utamsikia akisema upepo ulisukuma post za goli vile🤣🤣🤣....
View attachment 2804245
Tupo na Westham next game Carabao....
Ingekua powa fainali tukutane na Chelsea aisee... Liverpool vs Chelsea pale Wembley hua pananoga sana
YNWA
Bobby umenishikilia tu😂😂😂Jurgen Klopp: Liverpool head coach on Darwin Nunez's huge potential, the Reds' fast start and a first trip to Luton
Liverpool boss tells Sky Sports why Darwin Nunez is now at home on Merseyside, the secret behind his sides strong form and what hes expecting from his first visit to Kenilworth Road. Watch Luton vs Liverpool live on Sky Sports Premier League from 4pm on Sunday; kick-off 4.30pm.www.skysports.com
Cc Saint Anne haya sasa msome th Don Klopp hapo akimwaga fact za dogo Nunez..
YNWA
Mimi sifuati case study bwana😂😂😂😂 😂 😂 😂 😂 Ila angefunga Domy kama nakuona....
In Nunez I Trust. The next frontier king gradually learning from th great Mo Salah.. Under Klopp tutelage sky is th limit..
Katazame Klopp aliwatoa wapi na kuwafikisha wapi wachezaji wafuatao
Lewandoski
Auba
Mo Salah Epl flop wit Chelsea
Mane middle epl table
Wote hawa walununuliwa kwa bei chee sana lakin aliwapadisha kufika elite levels with hefty price tag..
Hapo utaelewa kwa nini yeye hana papara na ubora wa Nunez
YNWA
Our prayers..Amka bhana nenda chachi mtumishi.
Remember Captain Chaos in ua prayers
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Bhana hata Henderson alivyo cheza powa nilisema apangwe kabisa Team A kwa kua kipo alichotu offer bhana... Kama Henderson kwa zaid ya miaka 10 alipewa nafasi na ucaptain akapata pamoja kwamba 80% alikua hajui anatakiwa nn uwanjani lakini mashabiki walimvumilia mpaka pale Klopp alivyoona huyu ni wa hivi hivi so let's give the boy some space to prove whether tumepata ama tumepigwa kazi kwake sasa..
YNWA
Kikubwa spurs kesho achapwe ashuke pale juuCity anaweza poteza endapo akukutana na Tottenham Hotspur ya msimu huu [emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] [emoji23] [emoji23] Imagine apo pale mbele ukitegemea pasi kisu kutoka kwa Henderson au Milner aaa not coming kabisa lakini sasa timu ina super harmony mdogo mdogo guys are getting kuelewana na taa imewaka..
YNWA
[emoji1787][emoji1787]Indian biscuits [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Thiago bhana sijui huu ushauri wa kutua EPL alimpa nani... Hii ligi sio ya Indian biscuits bones anahitaji hard core players... Kimsingi huu usajili ni hasara kubwa.. Amfuate Messi huko Miami.
YNWA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]At Liverpool we support our own regardless of th form, they are pampered na singo huku wakipata ma hug kama yote kutoka kwa Klopp na ndio maana even when th going get tough Klopp always stand wit th players its kind off huona juhudi zao mazoezini na jitihada uwanjani namna vijana wanavyopambana aisee...
Na mwisho wa siku ni You'll Never Walk Alone iwe dry spell, loss of form nk nk mashabiki wapo pamoja nao
Never Give Up..
Robertson did it's..
Nunez heading there..
Tsimikas getting there..
In life ni kupambana tu hakuna namna
YNWA
Sawa kaka zake NunezNa hili ndilo huwa lanivutia hasaaaa..!!! Nunez Nunez Nunez,. Akiingia ni assits au Goli.
I like how Salah anampa mipande.
AiseeHakufikisha hata dk 20 only 13 mins
Atakapowavua nitamsaidia kuwavua[emoji38]Nunez atamkomesha tu..!!! Dawa yake huyu ni kumuandama tu kila Nunez akihusika kwenye Goli.
Ila Nunez nae asituvungue nguo tu, maana hakawi saaaana.
So far ame improve compare na last season. Nachokipenda ni ile ari ya Kops wanavyo muimba atleast anaona kumbe naweza kumbe i have supporters regardless of what im going tbrough..!!! He will rock it
AiseeAlicheza mechi ya Champions league tukicheza na Napoli.
Aliingia dk ya 77’ na ndio ikawa mwisho wake mpaka anaondoka
Diaz anajionaga mtenda miujizaAme improve na ataweka sana msimu huu ni suala la muda. Klopp amemuongelea juzi kwenye press conference. Nilichokipenda Klopp knows Darwin is not Bobby. Hivyo hamtumii kama bobby ila anataka Darwin adefend kupitia katikati as CF not so much deep.
Mie natamani Lucho from Colombia aanze kufunga na kuachana na mpira wa ninao mwingi. Hasa pale timu inapotaka matokeo. Walau aweze kufunga 15 goals, its a good additional