Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
Kipindi kama hiki sio cha kupokea kipigo maana Klopp utamsikia akisema upepo ulisukuma post za goli vile🤣🤣🤣....Ujue nilipoona hali imekuwa vile hasa 2nd Half, nikaanza kucheka mwenyewe tu. Nikakumbuka JK alipokuwa kwenye post match akisingizia hali ya hewa hapo mmepigwa kikosi hovyo, asemi hali mbaya ya kikosi aa, upepo ndio sabbu. Pamoja na kushinda upepo uliongelewa bado….
Tupo na Westham next game Carabao....
Ingekua powa fainali tukutane na Chelsea aisee... Liverpool vs Chelsea pale Wembley hua pananoga sana
YNWA