Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivi wakuu hawa wapo wapi kitambo sana hawajaonekana hapa jamvini.

Don njinji
Bengalisis
koncho77
Plesis
AggerFirminho
M-mbabe
Penison
Watery
SG8
Ziroseventytwo
Don Clericuzio
BARDIZBAH
Ed n Edd nEddy
Janja weed
kengele maziwa
Nk nk nk.

Popote mlipo Mungu awatunze mrejee jamvini salama Anfield pamenoga sana mdogo mdogo Klopp 2nd cycle imeanza kuonyesha nuru.

YNWA
majukumu yanabana chief lakini nashukuru kwa kunikumbuka

naona timu yetu inatia matumaini
 
🤣 🤣 🤣 Kabisa ni Trent amewatema Under Amour na kujiunga na wakali Adidas.

Mechi ya juzi ndio ilikua mara ya kwanza kuvaa zile jumu hata sokoni hazipo bado mpaka hapo baadae

Dogo kibiashara mauzo...

YNWA
Nyota nyotaaaaa babu weeeh

😂😂😂😂😂😂😂😂

Wengine nyota ya kunguni akina sijui Curtis

Sijui Quansah
Sijui mikasi


Trent sasa🔥
Jina la kishua 🔥
Trent Alexander Arnold Schwarzenegger the great
Future captain
Father of LFC
Lovable one🔥🔥
 
Hivi nini kifanyike kila kukicha wachezaji ni kama wanazidi kua cry babies... Na wakiongozwa na Manchester City na Manchester United yaani ka ishu kadogo hao wanalazmisha refa atoe kadi ama penati huku ikiwa ni wao wenye kosa wanaishia kulalamika balaa hii ishu hata Roy Keane alishaisemea sana sana lakin naona kila kukicha ni kama inakua worse... Jana kuna block alicheza Matip ajabu eti wachezaji karibu wanne wa Manchester City wakawa wanataka penati...
This is absurd na disgrace kabisa tunakoelekea.

YNWA
maadam kuna var hakuna shida
 
🤣 🤣 🤣 Aibu sana aisee Gary Nevile na Roy Keane na Carragher wanakemea sana huu "utoto" maana haiwezekani kabisa kutafutiana kadi na penati za michongo hivi hivi...

Sijui kama ni maelekezo ya walimu wao ama namna gani.. Buts its pathetic kuona tena senior players wakitaka huruma ya refa ili wapate maamuzi kuegemea kwao

YNWA
ni maelekezo ya walimu wao hiyo ipo wazi

walimu walalamikaji na wachezaji wao wanakuwa walalamikaji sana
 
Kazi kwenu
Nitafutieni sasa nafasi huko timu ya wanawake
Mikono yangu kama Ina sumaku hivi ..halafu nimegundua kipa hachoki sana kukimbia kimbia
ahahah mvivu wewe

mazoezi ya goli kipa ndio magumu kuliko ya nafasi yeyote ile chukua hiyo
 
new hendo

liverpool halisi na feki hizi post zinakaribia kurudi jamvini
Hiyo ni misemo ya mwamba mmoja anajiita Bachelor 😂

Anasubiri mtu afungishe aanze kusema
Siku ile matip amejifunga, akasema Matip ni mkombozi🤣

Jana anasema Jones tupo nyuma yako piga kazi😂😂😂
Inshort huu uzi unachekesha hatari 😂😂😂

Liverpool feki mmiliki wa timu kutoka Tukuyu,Malafyale amejaa tele humu
 
ahahah mvivu wewe

mazoezi ya goli kipa ndio magumu kuliko ya nafasi yeyote ile chukua hiyo
Hata kama ni magumu kiasi gani
Akheri nitaabike kwenye mazoezi ila uwanjani nakula goodtime.

I wish
Ila ndoto zangu zishakufa baada ya mfupa wa mguu na mkono kuachia 💔
Madaktari wa Bongo wakaungisha vibaya, nateseka hadi kesho 😭

Mosdef aje anipe connection ya madaktari wa liver
Wauingishe mfupa wangu,, nipo tayari kuchezea timxu hata bure.
 
ahahah mvivu wewe

mazoezi ya goli kipa ndio magumu kuliko ya nafasi yeyote ile chukua hiyo
Juzi kati nilikimbia sana kukwepa kulowana na mvua..

Toka pale mahakama hadi kivukoni Terminal

Nilifanikiwa maana nafyatuka kwelikweli😂
Ila baada ya kufika kichomi kilinikamata hadi nikakaa chini, nikihema nahisi kukata moto.

Nawaza kukimbia dakika 90
Kichomi kikinibana inakuwaje? Ama ndio Kuna mazoezi ya fitness
 
dah huyu malafyale kipindi hicho namkumbuka sana tulikuwa tunasimiana kwa hoja sana mpaka tunapitiwa na hasira na kuchukiana kabisa dah umenikumbusha mbali sana
Hiyo ni misemo ya mwamba mmoja anajiita Bachelor 😂

Anasubiri mtu afungishe aanze kusema
Siku ile matip amejifunga, akasema Matip ni mkombozi🤣

Jana anasema Jones tupo nyuma yako piga kazi😂😂😂
Inshort huu uzi unachekesha hatari 😂😂😂

Liverpool feki mmiliki wa timu kutoka Tukuyu,Malafyale amejaa tele humu
 
Hata kama ni magumu kiasi gani
Akheri nitaabike kwenye mazoezi ila uwanjani nakula goodtime.

I wish
Ila ndoto zangu zishakufa baada ya mfupa wa mguu na mkono kuachia 💔
Madaktari wa Bongo wakaungisha vibaya, nateseka hadi kesho 😭

Mosdef aje anipe connection ya madaktari wa liver
Wauingishe mfupa wangu,, nipo tayari kuchezea timxu hata bure.
mosdef jamaa yangu longtime bado yupo humu?

mzee wa nondo namkubali sana siku zote
 
Amin.
Yah uliweka tafrani humu ndani.
Miss Liverpool hakuchoka kukuulizia Bobby.
Na hii ndio true meaning of love.
Mpira umetuleta pamoja , na mpka watu wanaingiwa na hard feelings endapo mtu atakosekana jukwaani kwa muda mrefu basi ni tafrani kabisa.
Huyu Miss Liverpool aka binti wa Blazing Delicious Cake hakika hakuchoka pia kuniombea...

She is an amazing buddy and a gem here...

YNWA
 
Mbona kama Salah kwa hayo manyoya ya mguuni😄
Screenshot_20231127_081326_com.android.chrome~3.jpg


Bebi wake Miss Liverpool huyu hapa.

YNWA
 
Back
Top Bottom