Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

fans wa man city wanamuonyesha vidole viwili wakimaanisha nini na je haiwezi kumuletea shida kwa fa kushangilia mbele ya fans wa mpinzani wako?
Hua hairusiwi kushangalie vile mbele ya mashabiki pinzani lakin refa wala hakuona shinda na hakumpa kadi dogo... Kuna uwezekano sana sana akilimwa faini endapo wataona kama alivuka mpaka.

Alivyoulizwa kwa nini alifanya vile alisema it's was funny na pia akisema pale Ethad sio mahala pa ushindi mara kwa mara kwetu hivyo kwake ilikua ni shangwe.

YNWA
 
Wamuache
Kwanza hakuzomea mtu


Ila ingekuwa ndio timu za vijijini kwetu Tukuyu, angelambwa na maweeTrent wangu hadi handsome upotee
 

Richarlson hushangilia hivi mara nyingi tu, labda sheria ianze kwa Trent.

Hapo huwa ina boa kwa moment kama ile mmeanza kuhesabu ushindi,
 
Ujue mpira hauna adabu.

Huenda angeanza Graven angeloa matusi kweli kweli. Yote heri atleast ile battle ya Pep na Klopp tuliiona unlike Last season.

Macca aliupiga kama sio yule licha ya makosa ya hapa na pale Jones alijitahidi kucheza pattern nzuri na Macca kusaidiana kukaba.

Alisson was not on his day but all in all saves as always haijawahi kuwa tatizo kwake ile save ya Foden 1st half tells you his classy on savings.

Ubora wetu msimu huu upo 2nd half kwa sababu ya ubora wa bench lililopo you have Gakpo, Diaz, Endo, Graven and Elliot hawa wanakupa energy nzuri sana. Lets say aanze Diaz na Jota, Nunez and Gakpo upfront bado watakupa energy. Au aanze Gakpo na Nunez bado Jota and Diazi watakupa energy nzuri.

January tupate RB & DM ( Matt Cash for me will be good deal then get Andre). We will be safe.
 
We were compact. Kitu kilinifurahisha zaidi mechi ya juzi, Ni jinsi pep alitaka kuutumia upande wa TAA kupenyeza mashambulizi akijua TAA ni dhaifu, TAA na Klopp walilijua hili, hivyo Szobo akapelekwa upande ule kwa sababubya work rate yake, baade TAA hakua akipanda sana ili asipate taabu kukabliana na Doku. Baada ya Doku kuonesha madhara hafifu tofauti na matarajio ya Pep ikabidi Bernado apande juu wakiwa na Doku ili wampiga 2v1 TAA,nayo haiku work to that extent Szobo akasogea chini zaidi Matip akasogea kulia zaidi my upande Chini alipungua Bernado.

Taa alijiandaa sana kuelekea mechi ile, alikuwa na high concentration sana, plus uwanja ulibanwa zile space tunazoziachaga zikapunguzwa.

Ubishi tu wa Klopp angewaondoa kina Keita, Ox, Mikner & Henderson mapeeeeema tungekuwa na 2-3 EPL & 2 CL probably under him.

Ynwa
 
Mambo ya transfers Klopp huwa anakuwa mbishi sana ...

Imebidi afanye overhaul ya midfield baada ya kuona yupo nje ya top 4 ..

Sasa hivi tunapiga kelele kuhusu RB na CB ...pamoja na DM ... Na anajua hizi kelele kwakuwa platform za Liverpool worldwide zinazungumza one language kuhusu hili ..

Atakaa kama hasikii hivi .... Kisha maji yakifika shingoni utaona anatafuta watu ...lakini inakuwa too late ..

I hope January kuna maboresho ...yatafanyika ..so far timu inajitahidi ..
 
You're obsessed with him? Humu mara nyingi huwa nasoma tu but inaonyesha unavutiwa sana na huyu kijana..

Btw nasubiri nione comments za MosDef , mana sijamuona akichangia kitambo.
Kitambo sana namkubali sana dogo
Hata sijui ni kwanini


Nadhani kila mtu ana mchezaji anayemuadmire sana na kuvutiwa naye pengine bila hata sbabu za msingi.
Akitoka Gerrard,namba mbili ni huyu dogo.
...
MosDef atakuwa bize kukamilisha madili ya kununua wachezaji.
Hopefully atakuja kutuchambulia mechi yetu dhidi ya City,,hususani goli machachari la dogo Trent.
 
Mama Sita wapigwa na butwaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bumbuwazi
 

Attachments

  • IMG_20231125_174823_123.jpg
    133.2 KB · Views: 5

Jones shouldnt have started that game.
 
He got dribbled (past) SEVEN (7) times kwenye game ya City.

A record kwenye msimu huu mpaka sasa.

Well, he scored a goal.

So, muda wa narratives.
Kuhusu trent naungana na wewe mara nyingi huwa sifurahishwi na performances zake akiwa fb au kwenye inverted roles ana lack basics nyingi za defending as well as mid player he must thank God he is british player
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…