Kuna watu humu
Salah mchoyo
Salah mchoyo
Sijui wanataka mtu aweje! Au awe malaika kabisa?
Wamejitahidi sana hawa watoto,
Tuwape maua Yao
Mechi za mwanzo tu walianza kukiwasha, utadhani ni wenyeji wa miaka nenda rudi..
Hata wakifanya vibaya mimi siwalaumu maana kwanza bado ni wageni..
Hongereni kwa kunipigia wale mijusi milia. Endeleeni kupambania ubingwa maana inaonekana sisi tunahitaji kukaa na kujitadakari kidogo halafu tuanze tena kutembeza vichapoNdugu zetu akina HENRY14 ,verifaidi yuza na mkorea na makubwa jinga ya kufunga na kufungulia mwaka, nawatakia heri ya mwaka mpya.
Tufuateni basi pale juu..
Mlisema January ndio mnaanza ligi.
Wakubwa wakikaa kwenye siti huwa hawanyanyuki wala kunyanyuliwa hadi mwisho wa safari.
Salah anaenda afcon mtatafutana humu.
Jota akiwepo angalau mambo yatakwenda sawa
Ila wakibaki akina Nunez pekeyao sijui!
City, city, city...hawa ndio wapinzani wetu wakubwa kwenye ubingwa. City wanapokupa pressure si sawa na sisi tukiwapa wao pressuure. Kwa maana kwamba wanatulazimisha sisi kushinda game zetu na wao wanashinda zao.
Ukiangalia tuna tofauti ya piont 5 sisi tukiwa pale juu na city wana game 1 mkononi. Wakishinda tofauti itakuwa points 2.
Siku tukitoa sare tu na city wakashinda tunakuwa sawa. Na wao wanakwenda kukaa pale juu. Wallah naapa hatuwezi kuwashusha tena.
NAtamani kuiona liverpool kwenye kiwango walichoonyesha jana kwenye kila game.
😀😀😀😀 daaah. Misemo yote ya kale na mipya tutajifunzaWamekua kama jongoo …. Miguu mingiii mwendo uleule
Angalau Klopp aliona mapema sana namna bora ya kupata ushindi.... Kucheza kama unit hua ndio nguzo ya Liverpool na si vinginevyo jana bora kurejea kwenye basics simple basics gemu ilikua imekwenda aisee.Thank you!
Naona leadership haiko sawa uwanjani
Hawaangaliani positions
Na sloboszlai yuko off kabisa
Hapo sawaaaaaa mkuu.Huwezi kucheza intensity game throught the season. We have many games
FA
Carabao
UEL
Are there, we can use him there.
🤣 🤣 🤣 🤣 Kilele cha Mlima Everest hatareee sanaaa....Mkuu Captain Marvelous huku kileleni naskia baridi naombeni koti
Anyway hivi MosDef yuko wapi? Jamaa ana nondo hatari sana
Eti Keita[emoji1][emoji1][emoji1]Kuna kipindi waliondoka Salah, Mane na Keita kwa ajili ya AFCON na tulitembeza vipigo hatukupoteza hata game moja.
Hebu niache kidogo nshavurugwaNdugu zetu akina HENRY14 ,verifaidi yuza na mkorea na makubwa jinga ya kufunga na kufungulia mwaka, nawatakia heri ya mwaka mpya.
Tufuateni basi pale juu..
Mlisema January ndio mnaanza ligi.
Wakubwa wakikaa kwenye siti huwa hawanyanyuki wala kunyanyuliwa hadi mwisho wa safari.
Tutawasaidia kuwapunguzia mzigo wa FA kwa kuwaondoa kwenye mashindano hayo.Huwezi kucheza intensity game throught the season. We have many games
FA
Carabao
UEL
Are there, we can use him there.
Nunez is just Nunez hatofunga yes lakin anakupa full mishe pale mbele harudi nyuma anajua kwenda mbele tu hakati tamaa wala nini...Nunez is too unlucky aisee. Its not a normal thing. Mchezaji kupata hizo scoring chances every matches ni uwezo mkubwa wa kunusa uelekeo wa mpira.
Hicho kitete kitamtoka he is very young 22, he has room to improve more. No. Zake zinaongezeka positively matter of time he will click. Pasi ya goli aliyotoa ni moja ya improvement katika kuona hard chance ya kufunga na kutoa pasi.
Kama Klopp alivyokata utepe wa kutoshinda fainali, ndivyo Nunez ataukata utepe wa kushindwa kukwamisha mpira wavuni.
I wish him all the best.
Huyu bwana mdogo sijui nini kilimkuta na ile msululu wa majeraha...Eti Keita[emoji1][emoji1][emoji1]
Tena kipindi kile hatukuwa na quality nzuri offensively. Fabinho na Jota walituvusha Salama.
Na tutawaka vizuri msimu huu tena.