Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Ndio uchezaji wake hawezi kubadilika tena. Lkn atatufaa kwenye rotation ya mechi za FA/Carabao/UEL n.k

Macca Jones and Gravern will drive our MF,
No Szobo (to be updated his return date)
No Endo (until february international duty)

Elliot atatumika sana kwenye RW kuliko MF.
Ndio maana bado naamini tunamuhitaji Thiago, Imagine Jones or Macca mmoja aumie (finger crossed). And It would be Bajcetic time aisee. Injury muda mwingine ni adui wa talents.
 

Good time will come
 

Thats why Kops chant his name even if he has started from the bench.

Last season alitoka mchezoni ile red card, ubora wa Halaand na bei aliyonunuliwa.

Bado anatakiwa apate psychologist amtibu fikra hizo, arejee kucheze yeye kama yeye, and he will come good
 

Kabisa. Japo Endo Jones na Gomez since wame step up naona kidogo kuna unafuu tofauti ya 6. Ya Macca

Macca kabla ya kuumia he played good football last two matches before his injury.

Kwa maana hiyo tukipata sitter mzuri, tutakuwa salama. Macca is good as Deep Line Playmaker na sio kama Anchor.
 

Hahah Samahani. Kumbe nimekutag post yako?! Sio kusudi langu

Heheh ety akina Nunez? Ili mucharange vizuri ehh?

Hapana apige Salah huyo huyo tu
 
πŸ™†πŸ½πŸ™†πŸ½πŸ™†πŸ½Curse the injuries man.
Kwa msimu huu tunahitaji every registered player aisee kuja kupambana na kuleta impact... Kama Thiago atakua integrated properly na ku rhyme with the new boys basi na aje tu who knows anaweza kua Pirlo wa mwishoni pale Juve alivyokipiga..

Tuna mechi nyingi sana hivyo kwa sasa akimbize Carabao na FA kwanza apate match fitness..
Japo hili hua halisemwi sana halina mashiko sana lakin Thiago ni moja ya wahamashishaji sana huko vyumbani ana impact kubwa sana pengine kuliko hata uwanjani hilo kwake ni plus... Thiago alisaidia sana transition kwa Diaz na Nunez especially kwenye lugha hivyo kwa kweli dogo ana msaada sana pale klabuni ukiachana na kazi yake uwajani..

YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…