Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Owen Beck has been recalled.

Dont know whats the plan.

Or, kama tunataka kumtumia kwenye cup games, na kumpumzisha Gomez at LB, au plan ni kununua tu LCB this january, au kama kuna setback kwa Robertson, maana Tsimikas ni mpaka march.
 
Hii ni list ya Arsenal top scorers.

Ok, tufanye ni 20 games (Saka alifunga against Fulham), so ana goals 6.

Sasa, kwenye hii list ukiachana na Saka, nani ana goals kumzidi Nunez? striker namba moja wao Gabriel Jesus ana 3 goals.

View attachment 2860523
Jongoo hawa…. Miguu laki moja, mwendo uleule wa miguu miwili
 
Owen Beck has been recalled.

Dont know whats the plan.

Or, kama tunataka kumtumia kwenye cup games, na kumpumzisha Gomez at LB, au plan ni kununua tu LCB this january, au kama kuna setback kwa Robertson, maana Tsimikas ni mpaka march.
Nadhani robertson ana set back na Pia gomez ni back ya right back…. So it’s risky now kumvuna sana gomez
 
Vice versa is true! Salah atabeba ndoo ya AFCON, atabeba ya EPL na atabeba ya EUROPA then anakuwa na sifa zote za kubeba Ballon D'or.

Hivyo lazima ashangaze Watu
Mkuu Ballon d'or bila world cup,champions league,euro ,copper America ,u Adidas ,u Nike ni UONGO , Africa wametuweka wa mwisho .Wako tayari kumpa yoyote atakayechukuwa euro au copper America mwaka huu akipata na champions league .
 
[emoji1438][emoji1438][emoji1438]Curse the injuries man.
Kwa msimu huu tunahitaji every registered player aisee kuja kupambana na kuleta impact... Kama Thiago atakua integrated properly na ku rhyme with the new boys basi na aje tu who knows anaweza kua Pirlo wa mwishoni pale Juve alivyokipiga..

Tuna mechi nyingi sana hivyo kwa sasa akimbize Carabao na FA kwanza apate match fitness..
Japo hili hua halisemwi sana halina mashiko sana lakin Thiago ni moja ya wahamashishaji sana huko vyumbani ana impact kubwa sana pengine kuliko hata uwanjani hilo kwake ni plus... Thiago alisaidia sana transition kwa Diaz na Nunez especially kwenye lugha hivyo kwa kweli dogo ana msaada sana pale klabuni ukiachana na kazi yake uwajani..

YNWA

Naam, uchezaji wake ule unaweza ku influence young players kama Bajcetic quality passes.

Naamini wachezaji wengi watatusaidia jan-feb alot of games there labda tutolewe FA & Carabao.
 
Never in doubt about Nunez tena kwa Klopp na Marcelo watakomaa nae tu mpaka atakaa sawa...
Boy is a fighter..

Captain Chaos Unleashed [emoji91] [emoji91] [emoji91] ...

YNWA

Kila kitu anafanya kwa usahihi bado kutupia tap ins. Hii ishu ni apate psychologist who has engaged with sport atanufaika. Ni suala la kutuliza tu akili.

Kwa Klopp na Biesla wamfunde kwenye first touch.
 
Kiukweli wa moyoni, naona hatuko katika headspace ya kuwapiga. Kishabiki nasema tutawatwanga ila sitashangaa mkitupiga.

Bado ni 50/50 Arteta atahitaji kurudisha imani na uwezekano wa kuwa kwenye makombe yaliyosalia.

Kumtoa Liverpool stage hii ni big plus kwake.
Ila nje ya ushabiki najipa nafasi ya kuwatoa.
A match to watch,
 
Nilishangaa kuna kipindi huku zililetwa stats za kumlinganisha Suarez na Nunez

Ishu ya Nunez sio bahati wala jambo la kisaikolojia bali ana lack character ya lethal striker kitu ambacho hufundishwi na kocha

Anachokosa Nunez ni ile hali ya kujua apige vipi au achague angle ipi ambayo itampa shida kipa kuokoa, anachofanya Nunez ni kupiga tuu mpira golini, ama akitafuta angle anakosa target

Siku makipa wakiwa hawapo vizuri atafunga kama ile mechi ya kwanza na Newcstle, ila kipa akiamka vizuri ndio yale ya jana

Otherwise timu itengeneze nafasi ambazo Nunez atakua ana tap in tuu mpira uingie golini kama anavyotengenezewaga Halaand

Dah.! Anachofanya Nunez ni kupiga tu mpira golini.!!!
 
Kila kitu anafanya kwa usahihi bado kutupia tap ins. Hii ishu ni apate psychologist who has engaged with sport atanufaika. Ni suala la kutuliza tu akili.

Kwa Klopp na Biesla wamfunde kwenye first touch.
If Klopp made Lewadoski vile alivyo sasa akiwa unknown na kua mkali wa magoli then nina imani kubwa sana Nunez will surpass Lewa numbers ni suala la patience na dogo kujituma na kukumbali msaada atakaopewa iwe psychological ama wowote ule awe tayari kukumbali kwamba utamfaa na utamtoa alipo kumsogeza mbele kiasi...

YNWA
 
Naam, uchezaji wake ule unaweza ku influence young players kama Bajcetic quality passes.

Naamini wachezaji wengi watatusaidia jan-feb alot of games there labda tutolewe FA & Carabao.
Thiago is very influential dressing roomi guess after Milner kuodoka amechukua hilo jukumu kuwa mentor hawa vijana.... Hilo yupo 💯 perfect.
Ishu yangu kwake how does he stay fit.

YNWA
 
Hii clip, inaonesha movement ya goal la kwanza la Salah.

Na walioset hili goal, ndiyo ambao wanakuwa attacked kila siku kuhusu their form (understandable)

But, ni vitu vidogo sana kama hivi ambavyo vinakupa quality ya mchezaji, hata kama anapitia bad patch.

Trent, anatoa a long pass kwa Nunez, angalia sehem ambayo Nunez alipokea huu mpira, kimfumo/shape hili ni eneo ambalo alitakiwa awepo Salah, but Nunez was there, because anatakiwa kudrop deep, kupotea mipira ili ku-trigger counters, Nunez plays the ball to Dom (ambaye yupo kwenye bad form), sasa imagine kama huyu aliyepokea huu mpira angekuwa ni Henderson? angepata akili ya progress/drag the ball? (well Henderson hawezi kudribble/drag/progress the ball), Henderson hapo agerudisha mpira nyuma, au angehoof kwa Nunez au Salah, na kuua kabisa counter, but Dom drags the ball, moving/manipulating the pockets, anaacha mpira kwa Diaz, na kuendelea na false/bait runs, ambazo zinawachanganya Newcastle defenders, na kumpa a good roam Diaz ya kutembea na mpira ndani, na kuuachia kwa Nunez, ambaye yupo kwenye good channel, then easy goal kwa Salah.

Hii, move aliyetrigger ni Nunez, strikers wangapi wana hiyo awareness/anticipation kwenye deep areas? why Klopp amuamini Nunez (ambaye anaonekana si chochote JF) kuwa his counter attacking triggering point? na most of all, kwanini Salah aliamini kabisa kuwa Nunez atampata kwenye ile pocket? because that is not an easy pass (kama umewahi kucheza mpira). na pia why Trent hakufikiria hata mara mbili kuutupa ule mpira kwa Nunez tena Nunez akiwa man marked? our world class passer aliamini Nunez atafanya kitu mpira ukimfikia, and Trent had a lot of time ku-move ule mpira sehem nyingine safe, but he decided to risk it kwa kumuamini Nunez (ambaye hapa JF anaonekana hajui hata kupiga mpira).

Sasa, a young striker anayekuoffer hiki kitu, unamuonaje si chochote? Isak jana alifunga, but when Howe moved Antony Gordon at LW, Trent alipata tabu kidogo, but most of the times Isak alikuwa anamiss/fail kulead transitions zao/runs za Gordon, kitu ambacho hakipo kwa Nunez, hence akiwa uwanjani tunagenerate volume kubwa ya chances.

Diaz & Dom hawapo kwenye good form, lakini hii movement inatakiwa ikuoneshe ni jinsi gani WC talents zinavyofanya kazi.

hata kwenye hii team yetu now, Macca/Jones/Elliott/Endo/Gravenberch ndiyo wangekuwa wamepokea ile pass ya Nunez kwa Dom, wasingefanya alichofanya Dom, because hawana progressive drafts/volumes kwenye their locker, na ndiyo uzuri wa kuwa na different profiles kwenye MF.

Few words about Darwin.
Nunez has left small blank space to fill in. Its not far
 
Owen Beck has been recalled.

Dont know whats the plan.

Or, kama tunataka kumtumia kwenye cup games, na kumpumzisha Gomez at LB, au plan ni kununua tu LCB this january, au kama kuna setback kwa Robertson, maana Tsimikas ni mpaka march.
Tsimikas mpaka March... Robbo maybe setback aisee hapa sio powa maana Gomez mmh i forbid apate changamoto...
Owen Beck mpaka kuaitwa timu ya Taifa means anakwenda vizuri kwa hio arejee tu kusaidia upande wa kushoto... Klopp is following his instinct baada ya mafanikio ya Quansah pale CBR sishangai kuona dogo Owen amerejeshwa...
Kwa dirisha hili sio Klopp akiingia sokoni kwa RB sala CB wala LB unless itokee new injury dirisha likiwa wazi au wale anaowatazama apate good deal kwa mfano Ko Itakura nk nk

YNWA
 
Dom is 22
Alexis is 24
Curtis is 22
Eliott is 20
Gravenberch is 21
Bajcetic is 19

Our MF is still very young, bado ni students kwenye game, so kuna kipindi watakuwa na games mbaya, kuna kipindi watafanya bad decisions, na kuna kipindi watakuwa na strechs za bad form, etc, ni kawaida kwa umri wao.

Dom, Macca, Gravenberch, Endo, ni new players, ndiyo kwanza wana miezi si chini ya 6 at the club, just because wamekuja na kuanza kuperform well, haitupi mamlaka ya kuwacall out wakiwa na bad games, kwasababu bado wanaadjust kwenye mfumo/mazingira mapya, muhimu ni kumshukuru Mungu, kuwa wamekuja na kuanza vizuri right away, ni NEEMA sana.

Hawa wachezani ni wapya na bado ni wadogo (ukimtoa Endo), so bado wanakuwa, bado wanahitaji a lot of coaching, kama ilivyokuwa kwa Kina Fabinho & Gini.

Tujifunze kuwapa time wachezaji, Curtis Jones, tumetoka nae wapi? mbona tumempa muda wa kutosha sana? na sasa tunaona matunda? kuna mtu alitegemea Jones atakuja kutupa performance kama ile ya monday?

Elliott, mbona amekomaa sana msimu huu, anaperform at a very good level, last summer tulikuwa tunaongelea suala la kumloan out, but now shabiki gani atakubali Elliott kuwa loaned out?

Kuna furaha, ya kuwapa hawa vijana nafasi, wanapenda na wenyewe kufanikiwa na kushowcase vipaji vyao.

Tunapoanza kuwasema, tena hizi new signings ambazo hazina hata seven months at the club, tunaonekana vichaa, na kibaya sana, wanajitahidi sana, tunaongoza league, na wao ndiyo wanaocheza kila week.

Tunaongoza league, na hakuna shabiki hata mmoja wa LFC ambaye alikuwa anategemea hili, huu ulikuwa msimu wetu wa transition, target ilikuwa ni top 4, but tupo kwenye title race, kwasababu vijana wanapambana, kwenye hiki kikosi cha LFC hakuna hata lazy player mmoja, hakuna egos, hakuna walalamishi, unaona Gomez msimu mpaka sasa amecheza at CB, RB, LB na anapafom kwa ubora ule ule, Dom hapa kati alibadilishiwa role (understable) lakini alikuwa anapambana, hakuna malalamiko, Gakpo kacheza at 8/9/LW/10 na anapambana na huoni malalamiko, Gravernberch ana find his feet, but unamuona akicheza anatry so hard kuimpress, Endo amestep up sana kipindi ambacho Alexis hakuwepo, huyu Alexis hakusajiliwa kucheza at DM, eventhough unaona kabisa kucheza at DM kunaeffect game yake, lakini anajitoa sana na huoni malalamiko, tupo hapa tulipo kwasababu players wanajitoa sana, sana.

Tuheshimu wanachokifanya, na pia Klopp anajitahidi sana.

Kuna muda comments zingine unasoma unaona huyu ni shabiki wa Goals Oriented, unampisha tu.

Kama mtu anakuambia Nunez anapiga tu mpira golini ili mpira uende wala hachagui angle. Unajiuliza huyu mechi ya Burnley aliangalia kweli? Mechi vs B’mouth Carabao aliangalia kweli?
 
If we can somehow manage to keep Thiago fit for 10/12 games, we will win the league.

Tulikuwa na mjadala na Captain Marvelous kuhusu uwepo wa Thiago kikosi. Mie naamini we still need him kwa uzoefu wake na uwezo wake. We have many games bado atatusaidia kwenye rotation. Ila Captain haamini ikiwa kwa aina ya mpira tunaocheza kama atatufaa.
 
Back
Top Bottom