Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Owen Beck has been recalled.

Dont know whats the plan.

Or, kama tunataka kumtumia kwenye cup games, na kumpumzisha Gomez at LB, au plan ni kununua tu LCB this january, au kama kuna setback kwa Robertson, maana Tsimikas ni mpaka march.

Cup games hopefully tumebaki na Gomez as Senior anayeweza kukupiga LB kwa usahihi. Finger crossed asiumie mpka mwisho wa msimu. He is in a good form
 
Mkuu Ballon d'or bila world cup,champions league,euro ,copper America ,u Adidas ,u Nike ni UONGO , Africa wametuweka wa mwisho .Wako tayari kumpa yoyote atakayechukuwa euro au copper America mwaka huu akipata na champions league .

Fact.
 
Mkuu Ballon d'or bila world cup,champions league,euro ,copper America ,u Adidas ,u Nike ni UONGO , Africa wametuweka wa mwisho .Wako tayari kumpa yoyote atakayechukuwa euro au copper America mwaka huu akipata na champions league .

Fact.
 
If Klopp made Lewadoski vile alivyo sasa akiwa unknown na kua mkali wa magoli then nina imani kubwa sana Nunez will surpass Lewa numbers ni suala la patience na dogo kujituma na kukumbali msaada atakaopewa iwe psychological ama wowote ule awe tayari kukumbali kwamba utamfaa na utamtoa alipo kumsogeza mbele kiasi...

YNWA

Darwin Nunez
El Pantra Captain Chaos.

I cant wait those days of netting like nobody
 
Tsimikas mpaka March... Robbo maybe setback aisee hapa sio powa maana Gomez mmh i forbid apate changamoto...
Owen Beck mpaka kuaitwa timu ya Taifa means anakwenda vizuri kwa hio arejee tu kusaidia upande wa kushoto... Klopp is following his instinct baada ya mafanikio ya Quansah pale CBR sishangai kuona dogo Owen amerejeshwa...
Kwa dirisha hili sio Klopp akiingia sokoni kwa RB sala CB wala LB unless itokee new injury dirisha likiwa wazi au wale anaowatazama apate good deal kwa mfano Ko Itakura nk nk

YNWA

Sina Imani kama tutasajili any defender this window. Hata DM tu bado akili yangu inanikataa[emoji17]. Klopp kwa uvumilivu yupo vizuri sana. Ataunga una na waliopo akimsubiri Endo arejee, Sio ajabu tukatoka kapa.
Japo data zinaonesha tupo vizuri kwenye winter transfer, wengi hutunufaisha na wanakuwa tegemeo. Lets see this one what will it bring
 
Nilishangaa kuna kipindi huku zililetwa stats za kumlinganisha Suarez na Nunez

Ishu ya Nunez sio bahati wala jambo la kisaikolojia bali ana lack character ya lethal striker kitu ambacho hufundishwi na kocha

Anachokosa Nunez ni ile hali ya kujua apige vipi au achague angle ipi ambayo itampa shida kipa kuokoa, anachofanya Nunez ni kupiga tuu mpira golini, ama akitafuta angle anakosa target

Siku makipa wakiwa hawapo vizuri atafunga kama ile mechi ya kwanza na Newcstle, ila kipa akiamka vizuri ndio yale ya jana

Otherwise timu itengeneze nafasi ambazo Nunez atakua ana tap in tuu mp4e3ira uingie golini kama anavyotengenezewaga Halaand
Surez huyu huyu ama mwingine tazama ilimchukua misimu mingapi kua Surez unaemjua... Epl sio powa ujue...
Screenshot_20240103_105837_com.android.chrome~2.jpg

Tazama Nunez hapa...
Screenshot_20240103_110022_com.android.chrome~3.jpg


Subiri nae akae klabuni kama Surez aafu toa judgement.

YNWA
 
Kuna muda comments zingine unasoma unaona huyu ni shabiki wa Goals Oriented, unampisha tu.

Kama mtu anakuambia Nunez anapiga tu mpira golini ili mpira uende wala hachagui angle. Unajiuliza huyu mechi ya Burnley aliangalia kweli? Mechi vs B’mouth Carabao aliangalia kweli?
Mpira ni magoli, magoli ndio yanaleta 3pts, mechi na Newcastle, sub zile zilikuja kufanya kitu ambacho Nunez alitakiwa kufanya dk 20 tuu za mwanzo game ilivokua,
 
Suarez alicheza na watu gani? Kocha gani? Hakuikuta timu kama ilivyo kwa Nunez, chance ngapi za wazi Suarez alikua anakosa?
Niliweka hizi stat kukuonyesha Surez hakuanza Liverpool kwa kasi aliyomaliza nayo Liverpool hivyo Nunez ndio msimu wake wa pili akicheza mfumo mpya chini ya Klopp..
Nunez akikaa misimu aliyokaa Surez na ukaona namba zake zipo hivi hivi then judge the boy...

Surez alicheza na prime Gerrard, C10, Sterling na prime DS.

YNWA
 
Kumgeuka Arteta ni kazi rahisi sana kuliko mtihani wa kiswahili. Baahati yake nzuri ni kuwa kumpenda na kumsapoti ni rahisi zaidi. Ataweka mambo sawa tu ila kwa sasa jukwaa letu linapoa hivyo tunamshambulia tu ili jukwaa liwe active.
Yaani Aseno mambo yenu bwana 😂
 
Ukweli ni kwamba NUNEZ sio mfungaji halisi .. kinachombeba ni uwezo wake wa kuunganisha timu hapo mbele na kusaidia mashambulizi
 
Huwa tukifanya sajili mpya, huwa nakuja humu haraka sana, kuangalia verdict yako na ya Captain Marvelous kuhusu mchezaji husika, because i trust na kuheshimu sana judgement zenu kuhusu players.

So i was suprised kuona your stance on Nunez mara ya kwanza, bacause you never miss.

Nunez, ana big, big, big, big potential, and i believe atafanikiwa at liverpool.
Nunez will come good n lethal hilo sina shaka nalo. Ni unfinished potential so Klopp na jopo lake la walimu na Marcelo mwalimu timu yake ya Taifa wanajua wapi pamebakia boy a click na ni suala la muda tu na ukizingatia hata umri wake utaona kwa Klopp akisema... "its all good with Nunez..."

YNWA
 
Owen Beck has been recalled.

Dont know whats the plan.

Or, kama tunataka kumtumia kwenye cup games, na kumpumzisha Gomez at LB, au plan ni kununua tu LCB this january, au kama kuna setback kwa Robertson, maana Tsimikas ni mpaka march.
Binafsi sioni umuhimu wa kununua LCB kwasasa , labda tupate wa mkopo.
Hii nafasi tayari ina wachezaji wawili wote wazuri. Gomez aachwe maybe tungekuwa tunacheza UEFA ila kwa EUROPE sioni umuhimu.
 
Back
Top Bottom