Owen Beck has been recalled.
Dont know whats the plan.
Or, kama tunataka kumtumia kwenye cup games, na kumpumzisha Gomez at LB, au plan ni kununua tu LCB this january, au kama kuna setback kwa Robertson, maana Tsimikas ni mpaka march.
Mkuu Ballon d'or bila world cup,champions league,euro ,copper America ,u Adidas ,u Nike ni UONGO , Africa wametuweka wa mwisho .Wako tayari kumpa yoyote atakayechukuwa euro au copper America mwaka huu akipata na champions league .
Mkuu Ballon d'or bila world cup,champions league,euro ,copper America ,u Adidas ,u Nike ni UONGO , Africa wametuweka wa mwisho .Wako tayari kumpa yoyote atakayechukuwa euro au copper America mwaka huu akipata na champions league .
Vipi kuhusu tetesi za Mbappe?
If Klopp made Lewadoski vile alivyo sasa akiwa unknown na kua mkali wa magoli then nina imani kubwa sana Nunez will surpass Lewa numbers ni suala la patience na dogo kujituma na kukumbali msaada atakaopewa iwe psychological ama wowote ule awe tayari kukumbali kwamba utamfaa na utamtoa alipo kumsogeza mbele kiasi...
YNWA
Thiago is very influential dressing roomi guess after Milner kuodoka amechukua hilo jukumu kuwa mentor hawa vijana.... Hilo yupo [emoji817] perfect.
Ishu yangu kwake how does he stay fit.
YNWA
Tsimikas mpaka March... Robbo maybe setback aisee hapa sio powa maana Gomez mmh i forbid apate changamoto...
Owen Beck mpaka kuaitwa timu ya Taifa means anakwenda vizuri kwa hio arejee tu kusaidia upande wa kushoto... Klopp is following his instinct baada ya mafanikio ya Quansah pale CBR sishangai kuona dogo Owen amerejeshwa...
Kwa dirisha hili sio Klopp akiingia sokoni kwa RB sala CB wala LB unless itokee new injury dirisha likiwa wazi au wale anaowatazama apate good deal kwa mfano Ko Itakura nk nk
YNWA
Surez huyu huyu ama mwingine tazama ilimchukua misimu mingapi kua Surez unaemjua... Epl sio powa ujue...Nilishangaa kuna kipindi huku zililetwa stats za kumlinganisha Suarez na Nunez
Ishu ya Nunez sio bahati wala jambo la kisaikolojia bali ana lack character ya lethal striker kitu ambacho hufundishwi na kocha
Anachokosa Nunez ni ile hali ya kujua apige vipi au achague angle ipi ambayo itampa shida kipa kuokoa, anachofanya Nunez ni kupiga tuu mpira golini, ama akitafuta angle anakosa target
Siku makipa wakiwa hawapo vizuri atafunga kama ile mechi ya kwanza na Newcstle, ila kipa akiamka vizuri ndio yale ya jana
Otherwise timu itengeneze nafasi ambazo Nunez atakua ana tap in tuu mp4e3ira uingie golini kama anavyotengenezewaga Halaand
Mpira ni magoli, magoli ndio yanaleta 3pts, mechi na Newcastle, sub zile zilikuja kufanya kitu ambacho Nunez alitakiwa kufanya dk 20 tuu za mwanzo game ilivokua,Kuna muda comments zingine unasoma unaona huyu ni shabiki wa Goals Oriented, unampisha tu.
Kama mtu anakuambia Nunez anapiga tu mpira golini ili mpira uende wala hachagui angle. Unajiuliza huyu mechi ya Burnley aliangalia kweli? Mechi vs B’mouth Carabao aliangalia kweli?
Tatizo wagebills zetuNimesikia leo asubuhi bbc swahili
Liverpool tupo kwenye mbio, lkn unaona ni ngumu mno kutokea. Japo kwenye biashara ya mpira lolote linatokea.
Suarez alicheza na watu gani? Kocha gani? Hakuikuta timu kama ilivyo kwa Nunez, chance ngapi za wazi Suarez alikua anakosa?Surez huyu huyu ama mwingine tazama ilimchukua misimu mingapi kua Surez unaemjua... Epl sio powa ujue...
View attachment 2860698
Tazama Nunez hapa...
View attachment 2860705
Subiri nae akae klabuni kama Surez aafu toa judgement.
YNWA
Niliweka hizi stat kukuonyesha Surez hakuanza Liverpool kwa kasi aliyomaliza nayo Liverpool hivyo Nunez ndio msimu wake wa pili akicheza mfumo mpya chini ya Klopp..Suarez alicheza na watu gani? Kocha gani? Hakuikuta timu kama ilivyo kwa Nunez, chance ngapi za wazi Suarez alikua anakosa?
Yaani Aseno mambo yenu bwana 😂Kumgeuka Arteta ni kazi rahisi sana kuliko mtihani wa kiswahili. Baahati yake nzuri ni kuwa kumpenda na kumsapoti ni rahisi zaidi. Ataweka mambo sawa tu ila kwa sasa jukwaa letu linapoa hivyo tunamshambulia tu ili jukwaa liwe active.
Hii ni list ya Arsenal top scorers.
Ok, tufanye ni 20 games (Saka alifunga against Fulham), so ana goals 6.
Sasa, kwenye hii list ukiachana na Saka, nani ana goals kumzidi Nunez? striker namba moja wao Gabriel Jesus ana 3 goals.
View attachment 2860523
Nunez will come good n lethal hilo sina shaka nalo. Ni unfinished potential so Klopp na jopo lake la walimu na Marcelo mwalimu timu yake ya Taifa wanajua wapi pamebakia boy a click na ni suala la muda tu na ukizingatia hata umri wake utaona kwa Klopp akisema... "its all good with Nunez..."Huwa tukifanya sajili mpya, huwa nakuja humu haraka sana, kuangalia verdict yako na ya Captain Marvelous kuhusu mchezaji husika, because i trust na kuheshimu sana judgement zenu kuhusu players.
So i was suprised kuona your stance on Nunez mara ya kwanza, bacause you never miss.
Nunez, ana big, big, big, big potential, and i believe atafanikiwa at liverpool.
Binafsi sioni umuhimu wa kununua LCB kwasasa , labda tupate wa mkopo.Owen Beck has been recalled.
Dont know whats the plan.
Or, kama tunataka kumtumia kwenye cup games, na kumpumzisha Gomez at LB, au plan ni kununua tu LCB this january, au kama kuna setback kwa Robertson, maana Tsimikas ni mpaka march.