Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Saint Anne umekuwa Mwanasiasa πŸ˜‚
Wanasiasa hao akina Bobby hadi wanakuchotaπŸ˜‚

Utasikia sijui pivot sijui inverted mara sijui kagenerate chance sijui false nine yaani maneno meengi ili mradi watutoe tu kwenye reli.

Nikirudi kwenye picha, Naona Nunez yupo na goli
Mara mpira huooo umepaishwa hadi Tandahimba.
 
Salah atastaafia hapahapa
 
Mbona unanijibu kidikiteta hivyo ? Mimi nimewauliza wale ambao ni wajuzi wa mambo.
Sorry Mkuu.. wajuzi wako watakuja kukujibu.
Ni kweli nimejipendekeza kujibu na wala haukunitag..
Japo jibu langu halikuwa serious,, ni katika harakati za kumkumbuka Bachelor II alivyotutesa humu last season...


Sitajibu tena comment yako yoyote,hii itakuwa ya mwisho.. uwe na amani.
 
Jones ni good player kwa his age but has a problem in consistency he can't play back to back with the same Performance.
We've to wait until atapofika kwenye his peak maybe 24 or 25 ya his age.

Klopp baada ya mechi vs Westham Carabao alisema tatizo Jones anajisahau ila anaweza sana.

Nilicheka hapo kwenye kujisahau nikajua utoto na uingereza unamsumbua. Kizuri hafananishwi na yeyote wala Media hazina habari nae ni jambo zuri kwake.
 



Sasa hivi sifa zote kwa Klopp

Ngoja tukose ubingwa hapa

Utasikia Klopp hashauriki
Mara Miaka 7 ya laana ya Klopp imeanza[emoji23]

Hapana Mom, tumpe tu heshima anapostahili. We angali ETH na Arteta wanavyoteseka japo mpunga wa kusajili wanamwagiwa wa kutosha. Tofauti na Klopp na anajitahidi sana kwa bajeti finyu.

Klopp ana mapungufu yake na moja ni ike kukumbatia deadwoods, angewaondoa mapema (Milner, Keita, Ox Henderson) angeshabeba mapema makombe makubwa.

Embu ona one season New MF na tupo kileleni angefanya mixing huko nyuma tusingemnanga kihivyo.
Unaona msimu huu walau akigusa sub zikiingia zinaweka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…