Hela anazotaka sisi hatuna
Akitaka aje tu
Sema akija mbappe yaani
Hakuna tembo, kenge wala mama Cita atakatiza mbele yetu.
View attachment 2861247
Kuna tetesi zozote za huyu dogo kutua LFC. Michael Olise. MosDef Captain Marvelous @TheMona
Mbappe anatutosha
Kwa sauti ya Bachelor ll [emoji23]
Sorry Mkuu.. wajuzi wako watakuja kukujibu.
Ni kweli nimejipendekeza kujibu na wala haukunitag..
Japo jibu langu halikuwa serious,, ni katika harakati za kumkumbuka Bachelor II alivyotutesa humu last season...
Sitajibu tena comment yako yoyote,hii itakuwa ya mwisho.. uwe na amani.
Na isipokujahuwezi kulazimisha kuwa na bahati
Bahati inakuja yenyewe automatically
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah ninyi ndio mlimchota huko, ila anamuelewa Nunez tatizo pressure ilikuwa juu.
Ngoja tuoneUwezo tunao sana, tatizo ni FSG tu lakini pesa ipo.
Heshima mbona tunampa sanaHapana Mom, tumpe tu heshima anapostahili. We angali ETH na Arteta wanavyoteseka japo mpunga wa kusajili wanamwagiwa wa kutosha. Tofauti na Klopp na anajitahidi sana kwa bajeti finyu.
Klopp ana mapungufu yake na moja ni ike kukumbatia deadwoods, angewaondoa mapema (Milner, Keita, Ox Henderson) angeshabeba mapema makombe makubwa.
Embu ona one season New MF na tupo kileleni angefanya mixing huko nyuma tusingemnanga kihivyo.
Unaona msimu huu walau akigusa sub zikiingia zinaweka tu.
Hawa jamaa wana nafasi yao special rohoniumenikumbusha mbali sana
Namtania Babu[emoji16]ahah dah eti utarudi tu
Sasahivi hatujampa airtime sana maana tunakimbiza ligiHeheh Naona umekaimu nafasi
waafrika huwa tunarudi kwa bibi zetu kuoga nuksiNa isipokuja
Mkuu yule Owen ni mwingereza ,wako tayari kumpa Harry Kane na sio mchezaji wa anayewakilisha bara la afrika, Salah kwa ubora wake angechukua hii kitu mapema lakini ni u afrika wake ndio kikwazo ,kwanza hiyo tuzo kudondoka kwa mchezaji wa epl ni mara moja kwa miaka 15Euro au CL sio kigezo cha kubeba Ballon D'or ndiyomana Michael Owen hana vyote hivyo lakini alibeba Ballon D'or.
😂 😂 Nilifanya back door check ya Thiago kumbe jamaa ni mentor na motivational speaker pale klabuni sisemi abakie kwenye payroll kwa kufanya hayo Hapana il fahamu kwamba hao watu wa hivyo vyumbani ni muhimu sana sana sana especially kwenye mbio za ubingwa pale unakuta Liverpool na Manchester City tunaachana pointi 1 aafu ni April ndio utaalewa umuhimu wao huko.. Alitoa speech moja kali sana Fernandidho 2022 pale Manchester City na jamaa wakatupiku ubingwa msimu wa 2021 2022 kwa pointi 1 tu wakachukua ubingwa kwa pointi 93 huku tukiwa na 92...Umebadili tena msimamo
Unasapoti Thiago kubaki?
Huyu dogo arudi kwao wakamcheckwaafrika huwa tunarudi kwa bibi zetu kuoga nuksi
Sijui kwa wazungu
Baba ushauri Milner,Baba hamasa Hendo wote walishaondoka.😂 😂 Nilifanya back door check ya Thiago kumbe jamaa ni mentor na motivational speakee pale klabuni sisemi abakie kwenye payroll kwa kufanya hayo Hapana il fahamu kwamba hao watu wa hivyo vyumbani ni muhimu sana sana sana especially kwenye mbio za ubingwa pale unakuta Liverpool na Manchester City tunaachana pointi 1 aafu ni April ndio utaalewa umuhimu wao huko.. Alitoa speech moja kali sana Fernandidho pale Manchester City na jamaa wakatupiku ubingwa msimu wa 2021 2022 kwa pointi 1 tu wakachukua ubingwa kwa pointi 93 huku tukiwa na 92...
Tunao vijana wengi sana pale under 24 wanahitaji kuambiwa maneno sahihi joto likipanda kwa lugha ambai wanaelewa hivyo mpaka pale mkataba wake utaisha ama atokee mteja ana kazi nzito sana pale Klabuni huyu bwana...
YNWA
🤣 🤣 🤣 🤣 Miss Liverpool bhana aliekwambia Salah ni mhamashishaji vyumbani nani... Au Gomez...Baba ushauri Milner,Baba hamasa Hendo wote walishaondoka.
Yupo VVD, ni kiongozi mzuri sana.. hata uwanjani huwa tunamuona
anavyowapanga wenzake,, japo huwa hatusikii wanachokiongea.
Yupo Allison, Baba ushauri.
Yupo Matip, atawashauri madogo.
Yupo Salah, huyu anawashauri hadi kwa vitendo.
Yupo Gomez.
Watu wazima ni wengi.
Sikutegemea kama comment yangu itazalisha jibu la dharau kiasi kile.Relax…