kama nakumbuka vizuri aliondoka kwa sababu ya nidhamu sio kiwango
kama nimekosea nikumbushe captain
come back healthy ahah Klopp bhana hapo anamaanisha wasioneshe mambo mengiKlopp on saying goodbye to Salah/Endo: "I told them if I wish you good luck it would be a lie! No, I said good luck and come back healthy."
π€£π€£π€£
[emoji826] DIETMER HAMMAN
[emoji860] Kama Darwin Nunez atarekebisha swala la Umaliziaji basi haina shaka atakuwa mchezaji bora Duniani , Tatizo la Darwin Nunez ni moja tu kumalizia mipira ya mwisho anayo ipata lakini mengineyo anayafanya kwa ustadi mkubwa sana
[emoji860] Mtu yeyote wa mpira atamlaumu Nunez kwanini hafungi sana lakini Nunez anakupa Assist na anachangia kila kitu katika timu mpaka ukabaji na kupandisha Mashambulizi kwa wakati, Nunez amabakiza jambo moja ili kubadili mawazo ya watu umaliziaji tu, naamini hatoendelea na swala hili la kukosa magoli hovyo kwa muda mrefu
@Boniphace07
Kuna dogo mmoja anatumia mguu wa kushoto. Nafikiri mechi kadhaa alizopewa nafasi. Naam! Ni Billy Koumatio Ana mwili mkubwa hivi, ni black. Yuko wapi? Profile yake inasemaje?
nitakuwa mwamuzi wenuMapenzi upofu. Kwenye suala la kuzuia kwa TAA, huku Miss Liverpool hana pumzi, nitampa pressing hiyo aombe sub.
Captain Marvelous The MoNA hii ni habari njema sana kwa Saint Anne [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1621] Mkataba mpya kwa Mo Salah [emoji1621]
[emoji826] Liverpool wapo mbioni kumuongezea mkataba mpya Mohamed Salah [emoji1093] ili kuendelea kusalia klabuni hapo, Umuhimu wa Mohamed Salah ndani ya kikosi cha Liverpool umekuwa mkubwa zaidi ya kupelekea Mwalimu Jurgen Klopp na wamiliki wa klabu FSG kukosa sababu za kumruhusu kuondoka kizembe
[emoji826] Mkataba wa Sasa wa Mohamed Salah una tarajia kutamatika mwaka 2026 hivyo Liverpool wanataka kumuongezea mwaka mmoja mpaka 2027, Jurgen Klopp na FSG wana amini kwamba masuala ya pesa hayawezi kuwa kikwazo kwa mkataba huo bali kitu kikubwa na muhimu nokiangalia maslahi ya klabu na mchezaji pia
[emoji826] Jurgen Klopp anatarajia kuongeza mkataba wake pia kwa miaka 2 zaidi mpaka kufikia mwaka 2029 mana mkataba wake wa sasa unaishia mwaka 2027, hii inaonekana kuwa moja ya chachu ya kumshawishi Mo kusalia Liverpool kwa kuwa wawili hawa wana mahisiano mazuri zaidi ndani ya klabu
[emoji826] Liverpool hao hao wanasema wata hakikisha wana tafuta mbadala wa Mo wakati huu ambao bado yupo ndani ya klabu yao na hata ikifikia muda wa yeye kuondoka basi klabu Haiwezi kuwa na wakati mgumu zaidi
[emoji826] Salah mwenyewe hana shaka na offer ya Liverpool mana anajiona bado ana mambo makubwa ya kufanya katika soka la Ulaya hivyo anazani hakuna ugumu upande Wake na klabu yake kwa yeye kusalia ilimradi tu pande mbili zikubaliane
( Anfield watch )
New signing [emoji23]View attachment 2862549
Klopp on saying goodbye to Salah/Endo: "I told them if I wish you good luck it would be a lie! No, I said good luck and come back healthy."
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kweli mkuu umenikumbusha vyemaKesi ya madawa ya kulevya, aisee walimuharibia ulaji mfaransa yule. Walisema ametest positive baada sana wakaomba radhi kwa matokeo batili. Ndio kilikuwa chanzo cha kuachwa.
kweli mkuu umenikumbusha vyema
Yule jamaa alikuwa vizuri kwangu mimi nilikuwa namuelewa
Ila Lovren hapana kwa kweli
nitakuwa mwamuzi wenu
mkuu sisi tuko na Ashraf Hakimi anaye ovarap ,hatuwezi kukutana na Salah tutadundwa mechi zote, japo ya Zambia tutakufa kiume.Muhammed Hussein atajifanya kutaka kumkaba Salah ili amake headlines lakini asije kumuumiza tu.
Liverpool ana afadhali Spurs Son ni kila kitu , Kila wakati , Kila mahala
Nyie ni matakataka tu πππKuheshimu watu ni kitu cha bure
Jitahidi tu uwe hivyo hata kama
Una malezi ya hovyo
Hamchukui ubingwa tuko hapa takataka ninyi πππππ€£Walisema tulibeba ubingwa kwasababu ya Korona, Msimu huu watasema isingekuwa Vita vya Ukraine na Gaza Liverpool asingechukua ubingwa.