Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

C93F4CE4-8369-40F9-8B48-F6CA9310EB82.jpeg
 
Klopp on saying goodbye to Salah/Endo: "I told them if I wish you good luck it would be a lie! No, I said good luck and come back healthy."
🤣🤣🤣
come back healthy ahah Klopp bhana hapo anamaanisha wasioneshe mambo mengi

Kazi iwe ni one touch na kuruka viatu si unajua tena soka la Afrika
 
[emoji826] DIETMER HAMMAN

[emoji860] Kama Darwin Nunez atarekebisha swala la Umaliziaji basi haina shaka atakuwa mchezaji bora Duniani , Tatizo la Darwin Nunez ni moja tu kumalizia mipira ya mwisho anayo ipata lakini mengineyo anayafanya kwa ustadi mkubwa sana

[emoji860] Mtu yeyote wa mpira atamlaumu Nunez kwanini hafungi sana lakini Nunez anakupa Assist na anachangia kila kitu katika timu mpaka ukabaji na kupandisha Mashambulizi kwa wakati, Nunez amabakiza jambo moja ili kubadili mawazo ya watu umaliziaji tu, naamini hatoendelea na swala hili la kukosa magoli hovyo kwa muda mrefu

@Boniphace07

Chai bila sukari kwa
choza choza
Grau
Saint Anne

Hii ni ile sturungi kabsaa
 
Captain Marvelous The MoNA hii ni habari njema sana kwa Saint Anne [emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji1621] Mkataba mpya kwa Mo Salah [emoji1621]

[emoji826] Liverpool wapo mbioni kumuongezea mkataba mpya Mohamed Salah [emoji1093] ili kuendelea kusalia klabuni hapo, Umuhimu wa Mohamed Salah ndani ya kikosi cha Liverpool umekuwa mkubwa zaidi ya kupelekea Mwalimu Jurgen Klopp na wamiliki wa klabu FSG kukosa sababu za kumruhusu kuondoka kizembe

[emoji826] Mkataba wa Sasa wa Mohamed Salah una tarajia kutamatika mwaka 2026 hivyo Liverpool wanataka kumuongezea mwaka mmoja mpaka 2027, Jurgen Klopp na FSG wana amini kwamba masuala ya pesa hayawezi kuwa kikwazo kwa mkataba huo bali kitu kikubwa na muhimu nokiangalia maslahi ya klabu na mchezaji pia

[emoji826] Jurgen Klopp anatarajia kuongeza mkataba wake pia kwa miaka 2 zaidi mpaka kufikia mwaka 2029 mana mkataba wake wa sasa unaishia mwaka 2027, hii inaonekana kuwa moja ya chachu ya kumshawishi Mo kusalia Liverpool kwa kuwa wawili hawa wana mahisiano mazuri zaidi ndani ya klabu

[emoji826] Liverpool hao hao wanasema wata hakikisha wana tafuta mbadala wa Mo wakati huu ambao bado yupo ndani ya klabu yao na hata ikifikia muda wa yeye kuondoka basi klabu Haiwezi kuwa na wakati mgumu zaidi

[emoji826] Salah mwenyewe hana shaka na offer ya Liverpool mana anajiona bado ana mambo makubwa ya kufanya katika soka la Ulaya hivyo anazani hakuna ugumu upande Wake na klabu yake kwa yeye kusalia ilimradi tu pande mbili zikubaliane

( Anfield watch )

Nilitarajia hili kama kigi ya Saudi ingelegea legea kama ilivyo sasa. Ubora wa timu pia umechangia mpaka sasa. Top players wanapenda wawe juu always.

Namba binafsi na za klabu zimeongezeka. Ni muda wa kuziba nafasi muhimu mbili kwa sasa.

LCB na DM.

Klopp wampe wa mpaka atakapochoka tu. Tumekuwa nae nyakati nzuri na mbaya pia.
 
Kesi ya madawa ya kulevya, aisee walimuharibia ulaji mfaransa yule. Walisema ametest positive baada sana wakaomba radhi kwa matokeo batili. Ndio kilikuwa chanzo cha kuachwa.
kweli mkuu umenikumbusha vyema

Yule jamaa alikuwa vizuri kwangu mimi nilikuwa namuelewa

Ila Lovren hapana kwa kweli
 
Muhammed Hussein atajifanya kutaka kumkaba Salah ili amake headlines lakini asije kumuumiza tu.
mkuu sisi tuko na Ashraf Hakimi anaye ovarap ,hatuwezi kukutana na Salah tutadundwa mechi zote, japo ya Zambia tutakufa kiume.
 
Kutofunga magoli mengi sio sawasawa na kukosa magoli mengi!

Firmino hakufunga magoli mengi ila his style of play ilikuwa zaidi kucreate chances nyingi kwa wengine(Salah,Mane),kuwalink hawa wide players na kufanya front three yetu itishe dunia nzima.

Firmino ndiye alikuwa mchezaji muhimu zaidi kuifanya front three yetu iliyotupa ubingwa wa 19 wa premier league na ubingwa wa 6 wa ulaya,itishe.Na sio kwa kufunga magoli bali kuwafanya wengine wafunge hata pale ambapo amelipa goli mgongo.Pamoja na hiyo lakini ilikuwa ikitokea mpira ambao ni lazima yeye afunge alikuwa anakupa goli kwa zaidi ya 80%.Hakuwa mtu wa kukosa magoli hovyo hata kama hakuwa anafunga sana.....

Nunez anahiyo 'mikimbio' kama mnavyosema.Anafight sana kama mnavyosema.Yupo agressive sana kama mnavyosema.Anajua kucheza na Salah kama mnavyosema.Kwenye hizi attributes ukiondoa magoli bado huwezi kumuwrka daraja moja na Firmino.

Pamoja na hayo lakini Nunez anakosa magoli sana.Finishing yake sio ya striker wa klabu kubwa kama liverpool.Hasa liverpool ya Klopp.Anahitaji kuimprove eneo hili na kila mtu atamsifia...Kwasasa ataendelea kupokea ukosoaji mpaka atakapoacha kukosa magoli ya wazi....
 
Liverpool rejected bids for Owen Beck from both Celtic and Rangers after his eye-catching loan spell at Dundee. [@_pauljoyce]
 
Back
Top Bottom