Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Sawa wasindikizaji 😂Hawawezi kuniangusha
Sisi hatuna muda na hilo kombe wala kombe lolote lile. Tulianza msimu tukiyataka yote ila nasikia sasa Arteta kasema hatutaki kombe lolote. Tunareset kwanza halafu ndiyo turejee.Sawa wasindikizaji 😂
Hata koroboi cup linawashinda
Aisee mpira sio wa wote na inategemea na fate muda mwingine.
Kuna mchezaji alikipiga Spurs, QPR, Brighton, Fulham, Westham enzi hizo. Kwa walioingalia Fulham ya 2008-2011 hivi watamkumbuka jamaa, na Fulham ya Clint Demspey, Philip Sendaros, Muphy, Hangeland,Mousa Dembele, timu ya nguvu hii ukikutana nayo Craven Cortage unajiuliza mara mbili mbili.
Sasa Zamora na kiwango kile alishangaza watu kwa kusema hapendi kucheza mpira. Unajiuliza commitment ya mazoezi anaipata wapi?
Sasa tuje kwenye story moja hivi. Kuna jamaa anaitwa Jerome Sinclair. Huyu jamaa alikulia academy ya LFC aliichezea LFC not to senior level, but cups game na europe games japo not as a starter those days. Speaking of 2014 huko. He was playing as CF. Katolewa kwa mkopo weee akaamua kustaafu.
Sasa hivi ana Fried Chicken Shop huko Uingereza. Ukisikia “KAMA HAIPO NI HAIPO” ndio hivi visa viwili.
Bobby Zamora hakupenda kucheza mpira ila alipata kuucheza mpira. Jerome Sinclair aliupenda mpira lkn mpira haukumpenda.
Zamora kwa sasa ni 42’
Jerome ni 27’
Kwahiyo Arterta yeye hataki kombe ila anataka nini?Sisi hatuna muda na hilo kombe wala kombe lolote lile. Tulianza msimu tukiyataka yote ila nasikia sasa Arteta kasema hatutaki kombe lolote. Tunareset kwanza halafu ndiyo turejee.
Watu wenyewe kama lilivyo jina lao,wapo na hamu full ya kupasuliwaWanangu wa fulham watanilipizia kisasi
Kawa Pornstar huyo Assoue Ekkotousimsahau Benoit Assoue Ekotto wa Spurs yule Mcameroon alikuwa akirudia kusema kuwa katika vitu hakuwa akivipenda Ni mpira wa miguu, Yaani alijishangaa kwann alikuwa mcheza soka na muda wa kuwa nyumbani anasema Hana mudq wa kucheck mpira kwenye tv yeye ni basketball na vingine
🤣 🤣 🤣 🤣 Wewe Matip, Trent, Domy na Gapko wanakutoshaaaaa kwa sasa.Bobby mbona unawajua mimi pekeyangu siwajui hata mmoja na umeniacha tu😁
Arteta ana nywele nyingi sana kiasili. Siyo wigi. Ule usemi wa akili ni nywele, kwa Arteta maana yake ni ana akili nyingi kama nywele zake, mpaka anapitiliza. Mpaka vitu simple tu kama kushinda mechi simple sasa imekuwa mtihani kwake.Kwahiyo Arterta yeye hataki kombe ila anataka nini?
Kufuga tu kiwigi?😂
Kwa kiwigi tu jamaa ameweza🙌
Kinampendezea balaa utasema amebond.
Tusilaumiane tu baadae. Bahati mbaya kwake na nzuri kwenu ni nasikia Trent kaumia. Hapo mtaweza kuweka mtu anayeweza kukaba ashike nafasi yake na ndiyo pona yenu.Watu wenyewe kama lilivyo jina lao,wapo na hamu full ya kupasuliwa
Hesabu goli 3 kupanda.
Golini leo yupo screen protector Kelleher🔥
Usije dhani ni lile ninja lenu la mchongo linalopandisha kichaa kila baada ya dakika 10
mungu atajalia tutakuja na muarobaini wakeView attachment 2867034
Upande wa kulia tuna changamoto Trent majeruhi, Domy majeruhi, Mo Salah huyoo Afcon.... Klopp kazi kwake.
YNWA
Nenda kamuulizeTusilaumiane tu baadae. Bahati mbaya kwake na nzuri kwenu ni nasikia Trent kaumia. Hapo mtaweza kuweka mtu anayeweza kukaba ashike nafasi yake na ndiyo pona yenu.
Meanwhile nimeona post ingine ya Mane kuoa bonge la pisi. Alivyokuwa Liverpool mlikuwa mnamstress kijana wa watu mpaka akawa anashindwa kuamua kuoa ili asijipe stress mara mbili. Sasa ameonyesha kuwa livakuku ni stress lukuki ila sasa amerelax na anaweza kuoa.
Toa Robbo ingiza Bobby
Kweli wingi wa kiwigi si wingi wa akiliArteta ana nywele nyingi sana kiasili. Siyo wigi. Ule usemi wa akili ni nywele, kwa Arteta maana yake ni ana akili nyingi kama nywele zake, mpaka anapitiliza. Mpaka vitu simple tu kama kushinda mechi simple sasa imekuwa mtihani kwake.
Bobby hebu nichambulie hawa watoto 😂🤣 🤣 🤣 🤣 Wewe Matip, Trent, Domy na Gapko wanakutoshaaaaa kwa sasa.
YNWA
Robbo ni full back left, Bobby ni ST, ACM inakuwa haipo sawa hapoToa Robbo ingiza Bobby
Mané ni domo zege kaogopa kutupia sound kwa pisi za kizungu, kaogopa kuchambwa.Kaka yetu Mane ameopoa chombo masha'Allah
Wifi Mzuri sana,I'm happy for Mane kwa kweli.
Amekwepa mitego ya wazungu
Wazungu ni majasusi.
Wazungu siyo watu linapokuja suala la maliMané ni domo zege kaogopa kutupia sound kwa pisi za kizungu, kaogopa kuchambwa.
Arteta amemsaidia sana kipara kutwaa mataji. Kampa mambinu kibao kipara. Alivyoona sasa kipara anajiweza weza na anaonyesha ataweza kupiga treble pekee yake akaona ameshamjenga vya kutosha, ndiyo yeye mwenyewe Arteta akaamua aanze challenge mpya ya kuinoa Arsenal na kuitoa jangwani na kuipeleka nchi ya ahadi.Kweli wingi wa kiwigi si wingi wa akili
Pep kipara ana akili tele
Arterta bichwa kubwa, kiwigi kama kabond, akili kisoda.
Huko promised land Caanan mbona hamfikiArteta amemsaidia sana kipara kutwaa mataji. Kampa mambinu kibao kipara. Alivyoona sasa kipara anajiweza weza na anaonyesha ataweza kupiga treble pekee yake akaona ameshamjenga vya kutosha, ndiyo yeye mwenyewe Arteta akaamua aanze challenge mpya ya kuinoa Arsenal na kuitoa jangwani na kuipeleka nchi ya ahadi.