Safari ya kwenda nchi ya ahadi ni ngumu balaa. Kama alitegemea itakuwa rahisi, basi alijidangaya. Katika safari hii, milima na mabonde ni mengi. Mambo yakienda vibaya kidogo, tupo vigeugeu kibao tunamgeuka fasta, kama wale waisraeli wa Musa. Jamaa wakilala njaa jangwani kidogo tu wanalilia kurudishwa utumwani. Wakiletewa kware wawakamate wawachinje wawapike wale, wanalalamika kwa nini hao kware hawakuja wakiwa washapikwa rosti style na ugali kabisa in the first place...Huko promised land Caanan mbona hamfiki
Mnarandaranda tu kama Israelites kule jangwani
Subirini miaka 400π
Asije tu kuwa kama MusaSafari ya kwenda nchi ya ahadi ni ngumu balaa. Kama alitegemea itakuwa rahisi, basi alijidangaya. Katika safari hii, milima na mabonde ni mengi. Mambo yakienda vibaya kidogo, tupo vigeugeu kibao tunamgeuka fasta, kama wale waisraeli wa Musa. Jamaa wakilala njaa jangwani kidogo tu wanalilia kurudishwa utumwani. Wakiletewa kware wawakamate wawachinje wawapike wale, wanalalamika kwa nini hao kware hawakuja wakiwa washapikwa rosti style na ugali kabisa in the first place...
Cha muhimu tufike sisi. Yeye akifia njiani na kumpa fimbo mrithi atayefanikiwa, kwetu shega tu.Asije tu kuwa kama Musa
Atasota na Kanani hafiki
Mrithi ndio atawaingiza chakaCha muhimu tufike sisi. Yeye akifia njiani na kumpa fimbo mrithi atayefanikiwa, kwetu shega tu.
Hahaha. Kumbuka hao kenge hawako katika safari kama yetu. Wao ni kama wanaishi nchi ya ahadi ila wakatoka kidogo kwenda shambani na kufanya mambo mengine ya kimaisha. Sasa wakati wa kurudi na ngamia zao wamekuta lango kuu limefungwa limebaki lango dogo ndilo liko wazi (yaani tundu la sindano, ambalo jamii ya kiyahudi ilikuwa inaita ule mlango mdogo wa waenda kwa miguu ndani ya milango mikbwa iliyokuwa ikitumika kwa magari na wanyama) na wao wanafosi kuingia na ngamia. Wakisimplify tu mambo wanarudi ndani fresh kabisa.Mrithi ndio atawaingiza chaka
Oneni wenzenu Chelsea
usimsahau Benoit Assoue Ekotto wa Spurs yule Mcameroon alikuwa akirudia kusema kuwa katika vitu hakuwa akivipenda Ni mpira wa miguu, Yaani alijishangaa kwann alikuwa mcheza soka na muda wa kuwa nyumbani anasema Hana mudq wa kucheck mpira kwenye tv yeye ni basketball na vingine
Dogo mitano tena kwake
Anajua
Huyo Jerome mdogo bado
Arudi tu kucheza
Mona umeangalia mechi za 2008 ukiwa na miaka mingapi?
Yawezekana wakubwa tupo wengi humu eeh!
Kwahiyo Arterta yeye hataki kombe ila anataka nini?
Kufuga tu kiwigi?[emoji23]
Kwa kiwigi tu jamaa ameweza[emoji119]
Kinampendezea balaa utasema amebond.
Tusilaumiane tu baadae. Bahati mbaya kwake na nzuri kwenu ni nasikia Trent kaumia. Hapo mtaweza kuweka mtu anayeweza kukaba ashike nafasi yake na ndiyo pona yenu.
Meanwhile nimeona post ingine ya Mane kuoa bonge la pisi. Alivyokuwa Liverpool mlikuwa mnamstress kijana wa watu mpaka akawa anashindwa kuamua kuoa ili asijipe stress mara mbili. Sasa ameonyesha kuwa livakuku ni stress lukuki ila sasa amerelax na anaweza kuoa.
Mambo haya yanasikitisha sana. Mtu mwenye ngozi nyeusi bado anatakiwa kuruka pale mwenzake wa ngozi nyeupe anapotembea.Najua upo kwenye utani kuhusu Mane, ila tuongee uhalisia kwa nilichokisoma mahali jana.
Bayern walijikuta Mane ndiye top earner wao, haikuwa shida, ila ilikuwa ni kwa nini mwafrika awe top earner? Zengwe likaanza Tuchel akatumwa amwambie Mane atakuwa 3rd choice LW. Hakuitwa Mane wala wakala wake. Hivyo Bayern wanted to get rid of him.
Baadae wakasema atauzwa kwa 17M baada ya kumuona jamaa anautwanga wakasema atauzwa kwa 30M, kumbuka hawakuwa na sababu ya moja kwa moja ya kumvunjia mkataba.
View attachment 2867643
[emoji23][emoji23][emoji23] Hii inamaana tuna defence nzuri?
The MoNA
MosDef
Captain Marvelous
Mambo haya yanasikitisha sana. Mtu mwenye ngozi nyeusi bado anatakiwa kuruka pale mwenzake wa ngozi nyeupe anapotembea.
Yes natania tu kuhusu kuoa kwake.
View attachment 2867643
πππ Hii inamaana tuna defence nzuri?
The MoNA
MosDef
Captain Marvelous
Ishu ya Onana sijaifuatilia na kweli hata sijajua kuwa hayuko national team.Naam nimekuelewa mkuu. Umeona ishu ya Onana. Kaitwa national team lakin bado yupo klabuni na atacheza mechi mbili in a space of 24hrs. 14/1 Utd vs Spurs, 15/1 Gambia vs Cameroon. Japo kuna taarifa sijathibitisha kuwa amestaafu national team.
Chukulia hii scenario huoni kuna dalili za 10%??? Maana Etoβo alijidai mkali last AFCON akasema waliosaidia kufuzu ndio hao wataenda kupambania timu. Lakini kwa Onana hajasema chochote as of now. Je, utd hawawaamini 2nd & 3rd GK? Hili sakata unaweza kutafsiri kwa angle kadhaa na ukawa karibu na ukweli.
1. Kuna harufu ya 10% kwa ETOβO
2. Onana anahofia kupoteza nafasi yake utd.
3. Ubaguzi (ingekuwa mechi inaanza 14/1 Gambia vs Cameroon kisha 15/1 utd vs Spurs bila shaka wasingekubali acheze kutokana na uchovu).