Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii stori nimeisoma Facebook leo
Hivihivi ulivyosema.

Maskini Mane
Heri angebaki tu Liverpool.. mshahara kidogo lakini maisha ya amani.
 
Bob Paisley may he Rest In Peace...

YNWA
 
Ishu ya Onana sijaifuatilia na kweli hata sijajua kuwa hayuko national team.

Kwa upande mwingine, tumuache abaki huku EPL maana yeye ndiye anatusaidia sisi wapinzani kujichotea points kwa manyumbu [emoji2][emoji2]

Utd key player currently.
 
Jamani, mimi nimeleta tu habari njema ya Mane kuoa baada ya kukimbia stress za livakuku. Ukienda Livakuku nenda na mke wako kabisa maana ukishaanza kukimbizana na kina Nunez, muda wa kuoa utapata saa ngapi? Ndiyo tuliyoona kwa Mane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…