Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Upo.
Tena ngoja tupige pige watu mechi 2-3 utaona jinsi unanoga.



Since he joined Arsenal in 2020, Gabriel is the highest scoring CB in the league (11 goals).

Mambo kama haya na zaidi utayakuta kule kwenye uzi wetu kwa wingi. Tumeweka tu kwenye hard drives tunasubiri tuchabange wapinzani kwa wingi kwanza.
 
Chambuzi la dunia hamis77 mmempeleka wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chambuzi la dunia hamis77 mmempeleka wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ushauri wa bure wa kirafiki nakupa. Usimchokoze Hamis aisee. Tukianza kushinda kwa wingi akiamua kuwaandama mtajuta kufungua uzi wa Livakuku. Akiamua anaweza kumfanya Klopp huyo best coach wenu tangu Livakuku ianzishwe aonekane kama tapeli mmoja tu kama yule wa unyumbuni.

Unaona jinsi manyumbu yanatetemeka kila wakiona Hamis kaingia unyumbuni kupost. Kule watu wakiona post ya Hamis imeingia tu, hata kabla hawajaisoma, siku zao zinaharibika hapo hapo. Wapiga wake na watoto na walevi wa Sinza pale unyumbuni ni wengi na sababu kuu ni Hamis.
 
Hahah kila goti litapigwa na ulimi utakiri kwa kelele za shangwe
Nunez kati ni unplayable... Jota what's a boy... Gapko super sub

Who is next... 🔥 🔥 🔥 🔥

Kid RB is fearless...

Mac best game in a red shirt in closing the channels i guess he has watched Fabinho or Rodri clips..

Jones minus the injury has upped his game..

Gomez assit its cant get better than that...

YNWA
 
Diaz sielewi nini kimemkuta baada ya ile injury kutekwa wazazi ni kama ame switch off...
Man i was a bit sceptical usajili wa Konate kutokana na rekodi ya injuries pale Ujeremani lakin dogo akiwa fit anatisha mno hapitiki ni jasiri kabisa hakika ni mwamba...

YNWA
 
🤣 Duniani pamenoga... Ubao unasoma Majogooo ambao hata hawakua bookies favourite wamekalia kiti cha Uflame wa Ligi.

YNWA
 
Soon utamuona MF huyu mwamba 🙈🙈🙈🙈🙈🙈nilivyokua nakomaa apigwe bei kwa kuumia umia sasa... Gomez apewe na mkataba mpya kabisa na ndio mchezaji pekee aliebakia kikosini kutoka enzi ya Rodgers.

YNWA
 
Imagine ana enjoi life Liverpool huku akicheza namba sio 'yake'... By tradition huyu dogo sio HM au DM lakini kwa kua mtiifu kwa Mwalimu Klopp amekubatia ile nafasi na kujituma kadri awezavyo..
Makofi kwake tafadhali kusema ana furaha tele ni habari njema... Ingekua ana spidi mbona hii namba akipona Thiago watupe double pivot design kama Caicedo pale Sea Gulls...

YNWA
 
Our next EPL game ni against asses…. Away

Any predictions?

Not bro
Epl next match Chelsea 31st jan Anfield, then Arsenal Feb 4.

Our fixtures:-

24/1/2024
Fulham vs Liverpool (Carabao semi final 2nd leg).

28/1/2024.
Liverpool vs Norwich (FA fourth Round).

31/1/2024
Liverpool vs Chelsea (EPL)

4/2/2024
Arsenal vs Liverpool (EPL)
 

Bradley [emoji91][emoji91]

Gomez first senior goal loading…

Konate composure past three matches incredible.

Macca yes. Best ever performance under Liverpool Jersey let him keep it consistently

Jones woah..!!! We need this kinda performance week in week out.

Robbo
Trent
Szobozslai
All are back.


We are still on safety mode.
YNWA
 

Diaz alionesha kiwango kikubwa sana mechi ya Newcastle, Klopp subbed him nafikiri ilimuathiri tena, atleast he got goal vs Arsenal. Let him keep hard working he will come good.

Konate when fit is something else, anacheza line yote kule nyuma covering za hatari, good timing with his tackling.

Let him stay fit.We need him badly.
 
[emoji1787] Duniani pamenoga... Ubao unasoma Majogooo ambao hata hawakua bookies favourite wamekalia kiti cha Uflame wa Ligi.

YNWA

With good points margin. Na inasaidia kutupunguzia pressure vile hatutajwi kwenye ubingwa.

Tume click just from nowhere, missing key players still matokeo tunapata, vijana wameongezeka ubora compare na last season

Nunez
Elliot
Jones
Gomez

Bradley
Quansah

Imagine missing your best RB in a couple of games, your LB’s, nearly 1-3 months and its like nothing has happened.

Im waiting for Graven and Diaz to find their feet.

YNWA
 
Vigongo viwili hatare
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…