Kweli kocha anapata headache asee. Ila cha muhimu ni rotation tu kila mchezaji apate game time.
Kwenye penati Acheni kumlinganisha Fabinho na vitu vya ajabu
Hakuna yeyote kati ya wachezaji wenu anayemfikia Trent kuona Mpira
Trent ana macho ya rohoni
Jicho la tatu
Ni wateule tu kama akina Trent tunalo[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji81] wachezaji wetu wapi?? Bradley anampa wakati mgumu Trent kujiuliza maswali magumu kwenye kuzuia.
Na kwa sasa akiharibu cameraman watamuonesha Bradley akiwa bench kwamba oya vipi bwana mdogo anawezaje, wewe unashindwa??
Uzuri Bradley mengi anayafanya kwa usahihi sana.
Subiri afike penati 24 urudi kumlinganishaNamba zinajieleza madam, cinversion rate wapo sawa.
Mahaba kushoto
Gerrard ndiye aliyewatoa hao kwenye timu ,au mmeshasahau?🤣 🤣 🤣 Bado sana Gerrard labda nyuma yake apewe data analyst wa nguvu sana kama Graham na FD awe Edward au Ward ili asituletee akina Milner, Chambers, Lallana, Henderson hapa Liverpool....
YNWA
Penati hua hazina mwenyewe hata the Great Harry Kane hua anapaisha.
YNWA
Waarabu walete tu ofa au namna gani.. Ela yake imlete Mbappe na Zizou mazimaaaa.
🤣 🤣 🤣 Heloo miss Liverpool unasema aje.
YNWA
Haya maneno tulisha yasemaga tukanyoshewa vidole maranyingi alizokosekana Salah tilicheza vyema Sanaa na ushindi mnono.
Huyu Nunez aombe Salah aondoke mana anamhofu Tim ni yasala Nunez asubili kwanza
Mkuu zimebaki ngapi? au zimeisha?
Miss Liverpool atakupinga balaa kuondoka kwa Salah hataki hata kusikia.
Sema nini Lijnder mpira anaujua ndio maana Klopp anamuita brainer View attachment 2890612
Jurgen Klopp on Conor Bradley:
“For three years, Pep Lijnders has been in my ear [about Bradley].” #LFC
Hii alifanya kwa Trent pia.
Tema mate chiniKutokuwepo kwa Mo Salah hakuonyeshi kama Kuna pengo binafsi naona timu Ina flow vyema zaidi kuliko akiwepo dimbani
Nkamu ebu kuwa serious kidogo 😂
Miss Liverpool atakupinga balaa kuondoka kwa Salah hataki hata kusikia.
Sema nini Lijnder mpira anaujua ndio maana Klopp anamuita brainer View attachment 2890612
Jurgen Klopp on Conor Bradley:
“For three years, Pep Lijnders has been in my ear [about Bradley].” #LFC
Hii alifanya kwa Trent pia.
Trent huko nyuma si mnamlazimisha tu kucheza
No! Haupo sahihi.
Timu kucheza vizuri au kucheza vibaya ni vipindi tu huwa vinatokea.
Nakumbuka kama miaka 3 iliyopita ilikuwa tukitoka Winter break ndiyo tunapopoteana.
Lakini marahii imekuwa tofauti lakini sio kwa sababu amekosekana sana.
Hata Coutinho alitubeba sana lakini alipoondoka Timu haikucheza vibaya bali ndiyo tukabeba Ubingwa! Je hii ilikuwa na maana alipoondoka Coutinho ndiyo Timu imecheza vizuri?
So, na kwa Salah ni same na Coutinho ametubeba sana kwenye huu msimu wakati kila mmoja akiwa amepotea, hivyo kuwa kwneye form kwa baadhi ya Wachezaji isiwe sababu ya kubeza uwezo wa Salah.
Salah ni nguzo muhimu kwenye Timu kwasababu pale kila mmoja anapopatea yeye ndiyo husimama.
Consistency ni kitu muhimu kuliko hizi form ambazo mara nyingi huwa ni temporary.
TAA ana Class but Bradley yuko na best form.
So, Bradley asipokuwa na consistency basi TAA ataendelea kucheza kila game.
Huyo dogo tumpe mwaka mzima acheze kwa kiwango hikihiki halafu sasa tutamwita mwamba kama Trent
Baby wako yuko offensively sana Sasa huyu Bradley yuko Defensively na Offensively vizuri sana, na hii inamfanya Konate apunguze majukumu ya kwenda kufanya covering upande wa kulia.Kumbe tumeyapiga haya kenge 4 na hamsemi🤣
Ngoja niamke nikacheck mechi
Makenge ni timu ya kutupwa😂😂😂😂
Jota as usual.
Huyu mtoto Bradley ntaanza kumzingatia.
Babe wangu jana alianza benchi jamani
Bila Salah kuwepo utakua hujaangalia mechi za Liverpool wewe si wa kutoa hio kauli... Bila Salah hatuna wa kumtegemea pale mbele wote wawe tayari kupokea chance na kufunga hakuna namna..kama jana ulivyoona.Arsenal tunawasubiri kwa hamu Emirate, Mkapange tena kale Katoto kule kulia kaone show. Huwa tunamuhofia Salah tu.
Chelsea hawaeleweki walikua wanacheza mfumo gani. Hata kupiga pasi 3 shida.