Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Manyumbu hata washinde UCL hatuwezi kuwakubali wale mahasimu wetu. Wale tunachowatakia ni vipigo vya kutosha lakini wasishuke tu daraja ili tuendelee kuwafuatilia kwa ukaribu na kuwacheka
Wapone wote ila Allison hata akiendelea kupata stress si mbaya akapumzikaKelleher
Tsmikas
Last Carabao Cup final walifanya yao
This time same in a different style.
Kombe limebebwa kwa style ya kitofauti with those kids[emoji91][emoji91][emoji91]. How can you stop smile??!! YNWA
Miaka ya nyuma Klopp aliwanyima vijana nafasi unlike msimu huu, sasa wamemlipa kwa kuwaamini. YNWA
Kops haturingi hatuna majivuno, kwa ushindi wa aina yake dhidi ya Chelsea bila PK’s, twashangalia kistaarabu sana. YNWA.
Next two months we hope for more joy.
YNWA.
Atakuwa ameingia kwenye kundi la waliowahi kuchezea Liverpool wakiwa na umri mdogo Zaidi Yeye akiwa na umri wa Miaka 16 ma siku 243 akimzidi umri Elliot wakati akianza kuchezea timu kubwa......... Ni germ nyingine kikosiniTREY NYONI 🔥🔥
View attachment 2919924
Kwa taarifa zilipo. Edward anataka full control. Hiki kitu ndicho kilifanya aondoka. This time FSG hawachomoi aisee.
Na Edward atakubali hii ofa as long as Klopp hayupo hawajui ajaye atafanya yapi bora wakubali ya Edward.
Good thing FSG wameona hamna haja ya kumtegemea ajaye kama Klopp maana hasara kwa kutoshiriki CL wameiona, kuboronga last season wamelamba hasara pia.
Edward ni kichwa cha mpira, naamini selection ya players na kocha vitatoka kwake. He is that guy anaviona vipaji na adavantage yetu kwake anaendana na msuli wa kiuchumi wa FSG, he knows them very well.
Makocha mpaka sasa wanaowaniwa
1. Alonso
2. Amorim.
Ngoja tuone FSG watamkubalia ombi la kutaka FULL control?
YNWA
Edward anataka FULL control over LFC’s operation ni wao wakubali au wakatae.
Mmiminieni mpunga mwingi na mpeni uhuru wa kufanya mambo bila kumzingua.
Hii timu ni ya kibingwa tayari
Hata wakicheza watoto wote wa Academy wanachukua points 3
Huu mpira utapigwa hivihivi hadi Klopp anaondoka.
TREY NYONI 🔥🔥
View attachment 2919924
Naam Kabisa sema huku ni Dunia ya 3 kakaUsikute huyu ni Familia moja na Erasto Nyoni.
Mtanganyika wetu wenyewe huyu aje tu akipige Taifa Stars.
pole mkuuOya naumwa bwana ila pongezi zenu reds mmetuheshimisha weekend ilienda poa kabisa japo na kuumwa ila mliniongezea faraja NYWA.
ili aje huku mpaka kule akose nambaNaam Kabisa sema huku ni Dunia ya 3 kaka
Naunga mkono hojaili aje huku mpaka kule akose namba
asante mkuu naona jana tumeendeleza tulipoishia kwa suttonpole mkuu
yaani unanifurahisha sana wewe mwamba ingekuwa mashabiki wa team nyingine wanakuwa kama wewe loh! furaha teleManyumbu hata washinde UCL hatuwezi kuwakubali wale mahasimu wetu. Wale tunachowatakia ni vipigo vya kutosha lakini wasishuke tu daraja ili tuendelee kuwafuatilia kwa ukaribu na kuwacheka
Sterling pia alianza akiwa mdogo pale AnfieldWataalam wa vipaji tunasemaga "if you're good enough, you're old enough ". Pongezi nyingi kwa academy team yenu kwa jitihada zao ila wengine hapo kama huyo Elliott ni first teamers tayari sema tu ni wadogo kiumri. Saa zingine tunatumia umri wa vijana kukuza walichofanya (kijana mdogo hivi cheki mambo anayofanya uwanjani) na ni vizuri ila sometimes naona kama tunawashusha.
Pele aliingia Selecao na 17 years kama sikosei. Ronaldo da Lima pia. Messi kule Barcelona? Martinelli aliingia first team ya Arsenal na 18 years. Saka 17. Fabregas 17, Iwobi 17 na nadhani van Persie pia alianzia 18 au 19. Wayne Rooney 16 kule Everton Cristiano Ronaldo 17 au 18 Unyumbuni kama sikosei.
Naweza kuwa nimechanganya mahali ila narudi kwenye "if you're good enough, you're old enough". Hapa naongea waliopata chance ya kuwa regulars kiasi fulani. Hao vijana wa Liverpool aisee ukiachana na umri, wako vizuri.
Kwanza mpinzani mwenyewe alikuwa kenge. Tumekaa kimya tu huku ila mtaani tulikuwa tunashangaa sana mmefikaje 120 minutes na wale viwete. Academy team yetu ingewachapa hata 2-0 kabla ya dk 90 wale marasta uchwara.
Shukran mkuu. Sisi hali ya kukosa tumeizoea na kuivumilia a tumejifunza kutojipa stress kisa mpira. 😀😀yaani unanifurahisha sana wewe mwamba ingekuwa mashabiki wa team nyingine wanakuwa kama wewe loh! furaha tele
kabisa mkuu one day yes amini.Shukran mkuu. Sisi hali ya kukosa tumeizoea na kuivumilia a tumejifunza kutojipa stress kisa mpira. 😀😀
One day yes yetu kesho kutwa kutwa tu hapa. May si mbali mitaa ya Islington itafurika kwa shangwekabisa mkuu one day yes amini.
yaah hata sisi tulivumilia sana na kuumia pia mkuu bt hili la sasa mtatusamehe tuna roho mbaya mpaka hawa vijana wadogo ukiwaangalia nao washaivaa.One day yes yetu kesho kutwa kutwa tu hapa. May si mbali mitaa ya Islington itafurika kwa shangwe