Hebu sema tena tukuelewe. Yaani ili Gomez afunge, mnataka muwe mnaongoza 4-0 dhidi ya City, mpate penalty ndiyo apewe Gomez apige?View attachment 2925299
Mwenyezi Mungu amsaidie weekend hii afunge goli dhidi ya City kati ya zile goli za ushindi tutakazopata kwenye game hiyo. πππ
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sisi na nyie urafiki umeanza lini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hebu sema tena tukuelewe. Yaani ili Gomez afunge, mnataka muwe mnaongoza 4-0 dhidi ya City, mpate penalty ndiyo apewe Gomez apige?
Mhh. Itapendeza lakini.
Wapigeni 3-0 tu . Msiwavunje moyo.
Tuko pamoja dhidi ya kipara mkuu. Anzeni naye nyie kumpiga kidogo halafu sisi tunakuja kumpiga sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sisi na nyie urafiki umeanza lini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuko pamoja dhidi ya kipara mkuu. Anzeni naye nyie kumpiga kidogo halafu sisi tunakuja kumpiga sana.
Matusi yamepungua.Bado hamis77 na Arteta wanatukanwa kwenye Uzi wenu?
Xabi ni mshkaji wa Arteta. Atakuwa anampigiaga simu Arteta na kumuomba ushauri pamoja na kumuambia yeye ni #1 fan wake na kuwa ana autographed cd ya 'All or Nothing:Arsenal". No wonder anaongea kama Arteta na ana mpira mtamu kama wa Arteta.[emoji837][emoji633] EXCLUSIVE β Grimaldo: βXabi Alonso is π¬π©πππ’ππ₯. Heβs going to mark an era as a managerβ.
βIn the game vs Stuttgart, we did very bad in first half...β.
βXabi Alonso told us: I donβt care about the result. It doesnβt matter. What I want is to see our style, our footballβ.
CrapXabi ni mshkaji wa Arteta. Atakuwa anampigiaga simu Arteta na kumuomba ushauri pamoja na kumuambia yeye ni #1 fan wake na kuwa ana autographed cd ya 'All or Nothing:Arsenal". No wonder anaongea kama Arteta na ana mpira mtamu kama wa Arteta.
Kilimo cha matikiti kwenye karatasiππTumpige City hii game . Then game ya City na Arsenal itakuja kutuambia tucheze karata gani nyingine ya kuchukua ligi.
View attachment 2926277
Shabiki wa Arsenal wengi mmedata kiakili,,Kilimo cha matikiti kwenye karatasiππ
Ngoja kesho vijana wacheze tuone namna watakavyotoka maana hili pepo la majeruhi limetukaa mno mpaka hatari sanaaa.Mkuu keptain mavalaz hebu naomba uchambue kidogo game yetu na city tunatoboa kweli na hawa madogo...?
Ambacho wote tunalimaKilimo cha matikiti kwenye karatasiππ
I would start gakpo ili Nunez aje second halfNgoja kesho vijana wacheze tuone namna watakavyotoka maana hili pepo la majeruhi limetukaa mno mpaka hatari sanaaa.
Tukishaona kikosi waliowazima ndio tuone namna aisee.
Hawa wakicheza 4 3 3 dynamic tutakua salama na ushindi
Kelleher
Bradley Konate VVD Gomez
Domy Endo Mac
Salah Nunez Diaz
YNWA
Kwetu tuna squad ndogo mkuu. Je mnaweza kutuchagulia madogo gani wenu mtuuzie?Ngoja kesho vijana wacheze tuone namna watakavyotoka maana hili pepo la majeruhi limetukaa mno mpaka hatari sanaaa.
Tukishaona kikosi waliowazima ndio tuone namna aisee.
Hawa wakicheza 4 3 3 dynamic tutakua salama na ushindi
Kelleher
Bradley Konate VVD Gomez
Domy Endo Mac
Salah Nunez Diaz
YNWA
Robbo ameumia?Ngoja kesho vijana wacheze tuone namna watakavyotoka maana hili pepo la majeruhi limetukaa mno mpaka hatari sanaaa.
Tukishaona kikosi waliowazima ndio tuone namna aisee.
Hawa wakicheza 4 3 3 dynamic tutakua salama na ushindi
Kelleher
Bradley Konate VVD Gomez
Domy Endo Mac
Salah Nunez Diaz
YNWA
hawa ni wa kupelekea moto mwanzo mwisho,I would start gakpo ili Nunez aje second half
Gakpo ni good CAM can protect defense as well
We said this against asseshawa ni wa kupelekea moto mwanzo mwisho,
Hatupaswi kuwaanzishia watu nyoro nyoro
Weka Nunez, Gakpo atokee benchi