Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Kakichafua sana. Walker na stone kawakimbiza sanaMbona Diaz alikua kwenye kiwango chake sema inshu labda hakua na bahati ya kutupia kamba Ila kawapa hekaheka Sana Cityzen
asa ile Kave ilikua tuondokee mzeeDiaz missed two clear chances but alikichafu sana. Huyu jamaa anamapafu ya farasi aisee
Well said KOP captain Marvelous
Kimsingi hii ilikuwa mechi kati ya Pep na Klopp, msimu ujao hamtakuwa na mwalimu wenu anayemuweza kipara,lets wait and see mkuu.View attachment 2930714
Kumbe inawezekana kabisa kumzuia Kipara na kumfunga kabisaa na kukosa majibuuu
Well on another day tuna nafasi, credit kwa vijana na walimun pia
YNWA
Gakpo amepoa mnoKwa kikosi hiki cha leo kutoka sare mpaka Pep anamtoa KDB ili azuie ujue amekamatika vilivyo...hua mara chache sana Pep kukamatika kama leo.
Kudos kwa vijana wamecheza vyema sana leo. Sare sio powa kwetu lakin ni bora sare na Kipara kuliko sare na Everton nk... Ushindi wao leo ingekua kama busta kwao angalau vijana wetu Quansah na Bradley wamehitimu sasa ni boys to men kutoka salama vs Kipara sio kazi rahisi..
Sijakumbaliana na sub za Klopp kumtoa Nunez ambae ndio hatare zote kwetu amesababisha, pia Bradley anajua kuingia vyema kwenye channels hakufaa kutolewa leo...
YNWA
YNWA
Kwa upande wangu Endo ndio mchezaji wangu bora wa mechiDiaz kakosa tu clear chance sema dogo mjapan anajua sana mpira
amekiwasha sana leoMechi yote Mimi nilikuwa namuangalia mchezaji mmoja, yule wataru Endo.
Kelleher akiwa golini nakuwa na amani sana, dogo anajiamini sana habutui butuhi hovyo kama AllisonKikosi hakina fit Allison, Robbo, Salah, TAA ,Konate,
Kutoa sare na kipara sio mbaya, muhimu kushinda mechi zilizobaki
pale kwenye defence ya city hakuna mchezaji aliyekuwa msumbufu kama DiazMbona Diaz alikua kwenye kiwango chake sema inshu labda hakua na bahati ya kutupia kamba Ila kawapa hekaheka Sana Cityzen
Diaz missed two clear chances but alikichafu sana. Huyu jamaa anamapafu ya farasi aisee
View attachment 2930714
Kumbe inawezekana kabisa kumzuia Kipara na kumfunga kabisaa na kukosa majibuuu
Well on another day tuna nafasi, credit kwa vijana na walimun pia
YNWA
Lazima amrudishe RBNew MF Impact. Sikumbuki ni lini tuliwahi kumuwin hivi kipara.
Kina Henderso, Milner walikuwa wanatuibia sana. Ukiwa na MF wazuri pep unammiliki vizuri tu. Remember Tuchel akiwa na Kante, Kovasic, Kipara alibutuliwa mechi tatu CL final, FA na EPL…!!! Mbinu nzuri, Mwl mzuri na wachezaji wazuri.
Klopp alikosa wachezaji wazuri hasa kwenye kiungo. Ndio maana Madrid na huyo Kipara wali enjoy tukikutana. Milner (34-37) hawezi kukupa quality, Hendo tunamjua vizuri mbovu wa mbinu, sio msomaji wa mchezo unavyozidi kuendelea. Huku una mapancha Keita, Ox & Thiago hapo Klopp anawategemea warudi wampe matokeo. Kitambo anawasubiri ni draw tu zinatembea.
Klopp angemsingiliza Edward kuhusu kina Endo asingeishiwa nguvu hivyo alivyotuambia.
Endo & Macca at the middle park [emoji91][emoji91]
Diaz aliparuana na Walker vizuri hakuna kupanda, jambo katunyima raha zaidi, ule mpasi wa Salah ulipaswa kuwa goli.
Gomez kamrithi Milner hana wasi wasi kabisaaaa.
Trent akirudi aamue
1. Kujifunza kukaba
2. Atokee banch
3. Aombe kukupiga RCM
YWNA
Kimsingi hii ilikuwa mechi kati ya Pep na Klopp, msimu ujao hamtakuwa na mwalimu wenu anayemuweza kipara,lets wait and see mkuu.
Michael Oliver ni refa ambaye akichezeshaga mechi za Liverpool huwa nakuwa na furaha sana mixer amani