Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Sijajua kwa nini msimu huu tumekua na hii tabia ya kuamsha amsha kipindi cha pili kuanzia dakika ya 65 ndio tunakua mchezoni full throttle yaani sielewi kama ni tactical kwamba mpinzani anakua amechoka ama niaje niaje.. Nwa cha msingi ni muda ule hatupo mchezoni basi tusifungwo aiseee ama kutanguliwa nyingi

YNWA
 
Ulitisha Sana mkuu... Binafsi niliamini Tutashinda mbili... Anyway tumecheza vizuri sema bahati haikua upande wetu

Kwenye mpira kuna vitu Mtu akiwanavyo huwa ni Commedian sio muelewa wa Mpira.
  • Kutanguliza ushabiki mbele kuliko uhalisia.
  • Kutokujua historia ya Timu zinapokutana.

✓ Mimi nimepima Ubora wa City na Ubora wa Liverpool na nikaangalia Mentality ya Pep na Mentality ya Klopp bali nikajua kuwa game ya leo atakayemuoutclass mwenzake ndiyomana nikasema kuwa Naitabiria sare.

✓ Na vilevile linapokuja suala la Liverpool kutaka Ubingwa basi hata siku moja usimuamini Manure na Everton (Hii washabiki wa walioanza kuipenda Liverpool ya Klopp hawawezi kujua).
Hizo Timu mbili zinapoona Liverpool anataka Ubingwa basi zipo tayari kufanya kila kitu ili kumuharibia.
Sasa subiri tukikutana nao utaona Washabiki wa Liverpool ya Klopp wanatangaza tutawafunga 5.

✓ Lakini mimi nasema wazi our most tricky game kwa msimu huu ni game yetu na Manure pale OT. Siku hiyo hata Rashford atakuwa Messi. Advantage pekee tuliyonayo ni kwa Ten Hag bado haijajuwa kucheza na Big Six zinamsumbua lakini akiamka vizuri tunaweza tukapata shida.
 
Braza ndo maana game ya Jana Diaz anakosaje magoli game ya man united na Liverpool OT itakuwa ngumu siku hyo united watapambana sana hata game ya Everton itakuwa sio rahisi game ya Jana tungeshinda hata lolote litakalotokea OT sio mbaya ndo maana mm game ya arsenal na city naomba draw ikishindikana arsenal ashinde tu coz na yy Bado anakibarua Kwa Tottenham na Huwa hawapendan sana unaweza shangaa Tot akamkazia arsenal ila akatupa fair sisi ili tu arsenal asichukue ubingwa
 

Dah wewe unafaa ujiunge na Jeshi halafu uwe msemaji wa Jeshi kwenye Vita yani unawaza kumpiga Pep pale Etihad jambo ambalo toka aje Pep pale mimi sijawahi kulifikiria ingawa tulishinda.

Kwakweli hongera sana kuamini kumpiga Pep Etihad unahitaji moyo wa Chuma ingawa sina uhakika kama ulichokiandika hapa ndiyo unachokiwaza moyoni.

Lakini nikwambie tu kuwa Arteta ataenda Etihad na Defensive Minded, akijifanya kufunguka eti game anaitaka basi Haaland na Foden wataimaliza ndani ya Dakika 45 za kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…