King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
Braza ndo maana game ya Jana Diaz anakosaje magoli game ya man united na Liverpool OT itakuwa ngumu siku hyo united watapambana sana hata game ya Everton itakuwa sio rahisi game ya Jana tungeshinda hata lolote litakalotokea OT sio mbaya ndo maana mm game ya arsenal na city naomba draw ikishindikana arsenal ashinde tu coz na yy Bado anakibarua Kwa Tottenham na Huwa hawapendan sana unaweza shangaa Tot akamkazia arsenal ila akatupa fair sisi ili tu arsenal asichukue ubingwa
Muache Leroy Sane weweDoku ni new version ya Robinyo na Shaun Wright-Phillips au Leroy Sane Machachari mengi lakini output ni sifuri.
Kibaskeli, kanifurahisha sana jana, kukosa magoli bahati mbayaDiaz missed two clear chances but alikichafu sana. Huyu jamaa anamapafu ya farasi aisee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hawa ni wazee wa false hopes, ukitaka kuenjoy burudani ya mpira basi lazima wawepo watu kama hawa mashabiki wa Arsenyani.Dah wewe unafaa ujiunge na Jeshi halafu uwe msemaji wa Jeshi kwenye Vita yani unawaza kumpiga Pep pale Etihad jambo ambalo toka aje Pep pale mimi sijawahi kulifikiria ingawa tulishinda.
Kwakweli hongera sana kuamini kumpiga Pep Etihad unahitaji moyo wa Chuma ingawa sina uhakika kama ulichokiandika hapa ndiyo unachokiwaza moyoni.
Lakini nikwambie tu kuwa Arteta ataenda Etihad na Defensive Minded, akijifanya kufunguka eti game anaitaka basi Haaland na Foden wataimaliza ndani ya Dakika 45 za kwanza.
Kwa mawazo yangu: Kipara anapaswa kupigwa pini/ Pep must be stopped.Dah wewe unafaa ujiunge na Jeshi halafu uwe msemaji wa Jeshi kwenye Vita yani unawaza kumpiga Pep pale Etihad jambo ambalo toka aje Pep pale mimi sijawahi kulifikiria ingawa tulishinda.
Kwakweli hongera sana kuamini kumpiga Pep Etihad unahitaji moyo wa Chuma ingawa sina uhakika kama ulichokiandika hapa ndiyo unachokiwaza moyoni.
Lakini nikwambie tu kuwa Arteta ataenda Etihad na Defensive Minded, akijifanya kufunguka eti game anaitaka basi Haaland na Foden wataimaliza ndani ya Dakika 45 za kwanza.
View attachment 2930945
Sijajua kwa nini msimu huu tumekua na hii tabia ya kuamsha amsha kipindi cha pili kuanzia dakika ya 65 ndio tunakua mchezoni full throttle yaani sielewi kama ni tactical kwamba mpinzani anakua amechoka ama niaje niaje.. Nwa cha msingi ni muda ule hatupo mchezoni basi tusifungwo aiseee ama kutanguliwa nyingi
YNWA
Kwenye mpira kuna vitu Mtu akiwanavyo huwa ni Commedian sio muelewa wa Mpira.
- Kutanguliza ushabiki mbele kuliko uhalisia.
- Kutokujua historia ya Timu zinapokutana.
β Mimi nimepima Ubora wa City na Ubora wa Liverpool na nikaangalia Mentality ya Pep na Mentality ya Klopp bali nikajua kuwa game ya leo atakayemuoutclass mwenzake ndiyomana nikasema kuwa Naitabiria sare.
β Na vilevile linapokuja suala la Liverpool kutaka Ubingwa basi hata siku moja usimuamini Manure na Everton (Hii washabiki wa walioanza kuipenda Liverpool ya Klopp hawawezi kujua).
Hizo Timu mbili zinapoona Liverpool anataka Ubingwa basi zipo tayari kufanya kila kitu ili kumuharibia.
Sasa subiri tukikutana nao utaona Washabiki wa Liverpool ya Klopp wanatangaza tutawafunga 5.
β Lakini mimi nasema wazi our most tricky game kwa msimu huu ni game yetu na Manure pale OT. Siku hiyo hata Rashford atakuwa Messi. Advantage pekee tuliyonayo ni kwa Ten Hag bado haijajuwa kucheza na Big Six zinamsumbua lakini akiamka vizuri tunaweza tukapata shida.
Braza ndo maana game ya Jana Diaz anakosaje magoli game ya man united na Liverpool OT itakuwa ngumu siku hyo united watapambana sana hata game ya Everton itakuwa sio rahisi game ya Jana tungeshinda hata lolote litakalotokea OT sio mbaya ndo maana mm game ya arsenal na city naomba draw ikishindikana arsenal ashinde tu coz na yy Bado anakibarua Kwa Tottenham na Huwa hawapendan sana unaweza shangaa Tot akamkazia arsenal ila akatupa fair sisi ili tu arsenal asichukue ubingwa
Everton ya siku hizi haiwawezi kwa lolote wala kwa chochote. Labda Man United.Kwenye mpira kuna vitu Mtu akiwanavyo huwa ni Commedian sio muelewa wa Mpira.
- Kutanguliza ushabiki mbele kuliko uhalisia.
- Kutokujua historia ya Timu zinapokutana.
β Mimi nimepima Ubora wa City na Ubora wa Liverpool na nikaangalia Mentality ya Pep na Mentality ya Klopp bali nikajua kuwa game ya leo atakayemuoutclass mwenzake ndiyomana nikasema kuwa Naitabiria sare.
β Na vilevile linapokuja suala la Liverpool kutaka Ubingwa basi hata siku moja usimuamini Manure na Everton (Hii washabiki wa walioanza kuipenda Liverpool ya Klopp hawawezi kujua).
Hizo Timu mbili zinapoona Liverpool anataka Ubingwa basi zipo tayari kufanya kila kitu ili kumuharibia.
Sasa subiri tukikutana nao utaona Washabiki wa Liverpool ya Klopp wanatangaza tutawafunga 5.
β Lakini mimi nasema wazi our most tricky game kwa msimu huu ni game yetu na Manure pale OT. Siku hiyo hata Rashford atakuwa Messi. Advantage pekee tuliyonayo ni kwa Ten Hag bado haijajuwa kucheza na Big Six zinamsumbua lakini akiamka vizuri tunaweza tukapata shida.
Dah wewe unafaa ujiunge na Jeshi halafu uwe msemaji wa Jeshi kwenye Vita yani unawaza kumpiga Pep pale Etihad jambo ambalo toka aje Pep pale mimi sijawahi kulifikiria ingawa tulishinda.
Kwakweli hongera sana kuamini kumpiga Pep Etihad unahitaji moyo wa Chuma ingawa sina uhakika kama ulichokiandika hapa ndiyo unachokiwaza moyoni.
Lakini nikwambie tu kuwa Arteta ataenda Etihad na Defensive Minded, akijifanya kufunguka eti game anaitaka basi Haaland na Foden wataimaliza ndani ya Dakika 45 za kwanza.
dawa ni kushinda mechi zote zilizobaki iwe dhidi ya Man UTD au yeyote yule pasipokujali matokeo ya wapinzaniKwenye mpira kuna vitu Mtu akiwanavyo huwa ni Commedian sio muelewa wa Mpira.
- Kutanguliza ushabiki mbele kuliko uhalisia.
- Kutokujua historia ya Timu zinapokutana.
β Mimi nimepima Ubora wa City na Ubora wa Liverpool na nikaangalia Mentality ya Pep na Mentality ya Klopp bali nikajua kuwa game ya leo atakayemuoutclass mwenzake ndiyomana nikasema kuwa Naitabiria sare.
β Na vilevile linapokuja suala la Liverpool kutaka Ubingwa basi hata siku moja usimuamini Manure na Everton (Hii washabiki wa walioanza kuipenda Liverpool ya Klopp hawawezi kujua).
Hizo Timu mbili zinapoona Liverpool anataka Ubingwa basi zipo tayari kufanya kila kitu ili kumuharibia.
Sasa subiri tukikutana nao utaona Washabiki wa Liverpool ya Klopp wanatangaza tutawafunga 5.
β Lakini mimi nasema wazi our most tricky game kwa msimu huu ni game yetu na Manure pale OT. Siku hiyo hata Rashford atakuwa Messi. Advantage pekee tuliyonayo ni kwa Ten Hag bado haijajuwa kucheza na Big Six zinamsumbua lakini akiamka vizuri tunaweza tukapata shida.
]New MF Impact. Sikumbuki ni lini tuliwahi kumuwin hivi kipara.
Kina Henderso, Milner walikuwa wanatuibia sana. Ukiwa na MF wazuri pep unammiliki vizuri tu. Remember Tuchel akiwa na Kante, Kovasic, Kipara alibutuliwa mechi tatu CL final, FA na EPLβ¦!!! Mbinu nzuri, Mwl mzuri na wachezaji wazuri.
Klopp alikosa wachezaji wazuri hasa kwenye kiungo. Ndio maana Madrid na huyo Kipara wali enjoy tukikutana. Milner (34-37) hawezi kukupa quality, Hendo tunamjua vizuri mbovu wa mbinu, sio msomaji wa mchezo unavyozidi kuendelea. ]Huku una mapancha Keita, Ox & Thiago hapo Klopp anawategemea warudi wampe matokeo. Kitambo anawasubiri ni draw tu zinatembea.
Klopp angemsingiliza Edward kuhusu kina Endo asingeishiwa nguvu hivyo alivyotuambia.
Endo & Macca at the middle park
Diaz aliparuana na Walker vizuri hakuna kupanda, jambo katunyima raha zaidi, ule mpasi wa Salah ulipaswa kuwa goli.
Gomez kamrithi Milner hana wasi wasi kabisaaaa.
Trent akirudi aamue
1. Kujifunza kukaba
2. Atokee banch
3. Aombe kukupiga RCM
YWNA
Kwa mawazo yangu: Kipara anapaswa kupigwa pini/ Pep must be stopped.
Mawazo yangu yanaweza kutofautiana na Arteta ila ningekuwa Arteta ningewaza hivi:
Iko kisaikolojia...
Kutokana na sare ya Liverpool na Man City, Arsenal inaongoza ligi. Mpinzani anayefuata ni City. Arsenal inatakiwa ihakikishe inapata ushindi (mzuri tu) kwa Man City, nyumbani kwa City. Ile boost Arsenal atakayo pata kwa ushindi wa hivyo itakuwa kubwa sana. Mechi 9 zilizobaki wataenda kufanya mauaji na kubeba kombe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu hawa ni wazee wa false hopes, ukitaka kuenjoy burudani ya mpira basi lazima wawepo watu kama hawa mashabiki wa Arsenyani.
Watu kama hawa hata kipindi cha Jesus walikuwepo, hawa ndio waliofamta Yesu na kumuamuru ageuze vipande vya mawe kua mikate[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni watu ambao wao hawaamini neno bali wanaamini miujiza tu.
Kwa akili ya kawaida? Hapana.Kwa akili ya kawaida unaamini utampiga Kipara pale Etihad?
Hivi ukitoa Klopp aliyempiga City nje ndani kwenye UCL kuna Kocha mwengine aliyewahi kumpiga Kipara nje ndani?
Kwa akili ya kawaida? Hapana.
Kwa akili ya kimatumaini? Yes.
Kwa kweli itapendeza sana tukiwapiga wale wahuni.
Nyie mmeniangusha sana mjue? Mmemwachaje City atoke na sare pale Anfield?Kama kawaida yenu wazee wa matumaini hewa