Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Usituambie tujitahidi...saa Tano kama kwny kideo uone watu wanavyoulizwa maswali magumu🀠🀠...watoto wadogo sana wale
 
Luis angekuwa na akili za haraka kama Salah angekuwa mbali zaidi ya hapa
 
hapana huyo jamaa si mtu wa makuu na huwa anajibu poa si kama mashabiki wa team nyingine lakini pia liverpool wengi ukiwauliza ni bora nyie mchukue kuliko kipara mkuu.
Kipara watu wamemchoka....anakufanya mtu usipoteze mechi zaidi ya 2 ukitaka ubingwa...too demanding kwakwli
 
Mnaanza kutupangia na namna ya kucheza nao...tukifunguka mnasema tutafungwa..tukikaa nyuma tutafungwa..Sasa tuchezaje ndugu zetu[emoji1783][emoji1783]..basi hatutaingiza timu uwanjani Ili hayo yte tusiyafanye
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu Thiago ni noma
Yaani ni noma aisee

Yaani jamaa yeye ni hospital tu aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…