Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Aisee ila zote ni kubwakwa tu🤓😆🤣Labla kuna utofauti wa kubakwa kwa mbinde na kubakwa bila kukaza 😂
Arsenal wangetumia akili hii wasingelikuwa na Arteta muda huu.
Alikuwa na mafaniko gani kabla?Arteta alitoka EPL sio maporini
Kufanya ya Ramsdale 😂😂😂Huyu Quansah ndio kampasia mpira Bruno?
Kelleher katikati ya uwanja alienda kufanya Nini?
Kauli za mtu mpumbavu na mtoto Mdogo hiziKlopp akili Hana aisee yaani mbinu zimefika mwisho aondoke kazi imemshinda
Only lunatics could say thisMimi naona klopp anachelewa kuondoka Bora msimu uishe aendee tu kocha Gani unakosa makombe kiboya
Kauli za mtu mpumbavu na mtoto Mdogo hizi
Kama
Ni mtu ni mzima…. Basi awahi morembe