Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Bora Mimi mtoto ila wewe kubwa jingaKauli za mtu mpumbavu na mtoto Mdogo hizi
Kama
Ni mtu ni mzima…. Basi awahi morembe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora Mimi mtoto ila wewe kubwa jingaKauli za mtu mpumbavu na mtoto Mdogo hizi
Kama
Ni mtu ni mzima…. Basi awahi morembe
Mzee embu piga mbanga zako acha shobo na maoni yangu sababu hunijui sikujui punguza shoboTutoto tunakoibika a few weeks ago with lots of lunatic comments
Punguza shobo hunijui sikujui piga mbanga zako huu ni mtandao Kila mtu ana maoni yake acha shobo mtandao sio wa babayakoOnly lunatics could say this
Mkitoka huku inabaki EPL...kazeni viuno ndugu zetuAlikuwa na mafaniko gani kabla?
COAMIN KELLEHER DOGO MALIZIA LIGI.TUTABEBA NDO. AKIRUDI ALLISON HAPO ATATOA PASI ZAKE ZILE FYONGO TUTALIA
Kabla ya hiyo miaka 9 mlikua na mda gani hamjachukua hiyo Epl?Yaani miaka 9 EPL 1 bado Kuna mijitu inamtetea klopp na Jana tumekula kipigo anfield ukweli ni kwamba mzee akili zimeisha akafuge njiwa ujerumani
Mpaka hapa kama hauwezi tofautisha pep na Klopp kwenye kutafuta mataji ...basi wewe Ni kiazi ....
Game ya Namna hii mbele unajua kabisa kuna kombe pep hawezi cheka na nyani [emoji28][emoji28][emoji28]
Alikuwa na mafaniko gani kabla?
Kabla ya Klop tulifanya nini cha maana? heshima ya Liverpool imeanza kurudi kipindi cha Klop kabla tulikuwa kama unavyoiona Man united. Budget ndogo lakini kajichanganya na big spenders.Yaani miaka 9 EPL 1 bado Kuna mijitu inamtetea klopp na Jana tumekula kipigo anfield ukweli ni kwamba mzee akili zimeisha akafuge njiwa ujerumani
Tuweni wakweli miaka 9 EPL 1 (or 2 if tutachukua this season) ni failure, no excuse.
Mzee Kaa mbali kabisa Liverpool imeshatoka huko Sasa hivitKabla ya Klop tulifanya nini cha maana? heshima ya Liverpool imeanza kurudi kipindi cha Klop kabla tulikuwa kama unavyoiona Man united. Budget ndogo lakini kajichanganya na big spenders.
Tumia akili kichwani tunaangalia tunapoenda sio nyuma klopp kaferi aende wake wengine full stopKabla ya Klop tulifanya nini cha maana? heshima ya Liverpool imeanza kurudi kipindi cha Klop kabla tulikuwa kama unavyoiona Man united. Budget ndogo lakini kajichanganya na big spenders.
naam ndoto za kopa kopa 🤓🤣Tusikasirike na kukata tamaa mapema. Mbona tukienda kwao na kuwapiga 4-0 au zaidi tunatimba nusu fainali easy tu.
Mi mwenyewe naona ni possible kabisaaTusikasirike na kukata tamaa mapema. Mbona tukienda kwao na kuwapiga 4-0 au zaidi tunatimba nusu fainali easy tu.
itakuwa akili ya kushikiwa kuhesabu makombe ya Pep kuwa ni makombe ya Arteta.Hesabu Makombe yote aliyobeba Man City wakati Arteta yupo pale hayo ndiyo mafanikio yake.
Huwezi kumtoa kwenye hilo.
Je bado unauliza mafanikio ya Arteta?
Sisi tunapiga hesabu za mbele wewe unaleta mambo ya nyuma huna akili kwahiyo kama hatukuaKabla ya hiyo miaka 9 mlikua na mda gani hamjachukua hiyo Epl?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tattozo namba 1 ni klopp fsg wapo sawa sio tatizo lao sababy klopp alijua anaenda kufanya kazi kwenye klabu ya aina Gani na akasaini mkatabaHii failure ni both kwa FSG na Klopp
Isielekezwe kwa Klopp pekee