Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hizi myth ni sawa na zile za Washabiki wa Arsenal wanampangia Liverpool kufungwa na Spurs lakini wao wanajipangia kushinda mechi zao zote zilizobakia bila ya hata droo then wanene Ubingwa.

Sasa subiri wakaingie na matokeo yao mfukoni dhidi ya manure wasipoikimbia JF kama Saint Anne.
 
[emoji599] EXCLUSIVE [emoji599]

[emoji837] As Liverpool continue to be linked with Ruben Amorim, they've also been scouting Goncalo Inacio, but is a move on this summer?

[emoji95] FREE subscription to my Daily Briefing Subscribe to Fabrizio Romano's Daily Briefing

Full story - Link in Comments[emoji116][emoji116]
 
Hii timu yetu Back pass zimekuwa nyingi sana. Klopp akifel kwenye counter hana mbinu nyingi za kufungua pattern ya ulinzi ya mpinzani especially timu ikiwa imeweka bus nyuma.
 
Kwahiyo Nunez hafundishiki tena!ama unamaanisha nini?
 
Hamna cha mdudu mkuu.
Liverpool muda mrefu tulikuwa tunaongoza league kwa bahati ila hatuna quality kabisa compared to Arsenal na Manchester city. Hii EPL tukichukua basi ni bahati.
Sio poa, lakini stats hazionekani kuwa ni bahati.
Wacha tuone mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…