Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Arsenal utani ashaumaliza msimu janaKombe la Man City hilo binti wala usihangaike kum-betia Arsenal! Mechi za mwisho Man City huwa halina utani!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mpira mzuri Arsenyo hawajaanza kucheza leo labda kama umeanza kuwafatilia jana na leo, hawa mpira mzuri walikua wanacheza tokea kipindi cha mzee Wenger.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
City akichukua ligi itapoteza mvuto
Acha tu wachukue hata kama watatusumbua.
Halafu wasipochukua nitawaonea huruma sana,mpira mzuri wacheze wao halafu watoke mikono mikavu
Heri sisi tuna koroboi mkononi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mpira mzuri Arsenyo hawajaanza kucheza leo labda kama umeanza kuwafatilia jana na leo, hawa mpira mzuri walikua wanacheza tokea kipindi cha mzee Wenger.
Asenyo ni sawa na mwanamke mzuri (Pisikali) lakini hana bahati ya kuolewa.
Watu tunaishia kujiuliza tu, huyu demu mbona mkali sana lakini haolewi
mKombe la Man City hilo binti wala usihangaike kum-betia Arsenal! Mechi za mwisho Man City huwa halina utani!
Nadhani wachezaji, Mwalimu, mashabiki tuli over dream ni makombe tukaja pewa reality check na Manchester United na Atlanta na baada ya hapo tumejikuta tulipotakiwa kua aisee.Liverpool kabla ya game ya FAcup na Man U walikuwa moto kweli ila baada ya kufungwa hiyo mechi Toka hapo wamepoteana kabisa.
Mkuu tazama wachezaji wetu wenyewe washajichokea aisee yaan hawana kiu aisee, Liverpool hua identity yetu ni full intensity je hilo kwa sasa lipo?Too early to give up, I still see a rough road ahead for each of the 3 aspirants
Uwezekano wa man u kucheza europa ni kama haupo maana itabidi Aston villa na Totenham wafungwa mechi zote zilizobaki.Wanatafta angalau europa au conference?
Mambo mrembo? Long time no seeHivi kwani ni marufuku golikipa namba 3 kucheza?
Mechi zilizobaki acheze tu golikipa namba 3
Allison apumzike tena sasa aisee
Tumemchoka.
Man City leo anaenda kukutana na kitu kizito...tupo hapa American express stadium mubashara tukiwa na baragashia na tunguli tunasubiria mda
m
Naona jamaa wa Rotterdam wanakomaa p9m plus bonus on titles won nk nk...Nadhani Captain Marvelous Arne anatofautiana Kiasi na KLOPP Kwenye Umiliki wa Mpira. Moja ya Changamoto za Msimu Huu kwa KLOPP imekuwa kufungua timu za Low Block.
KLOPP anakuwa na Ubora wake akicheza TRANSITION BASED Game, kuna namna Msimu huu Liverpool Imeadapt Mpira wa Tupasi pasi twa Hovyo kitu ambacho huwezi kiona sana kwa kina Mane, Bobby & Salah. Hawa ilikuwa One~two tukimbie.
ARNE anapenda Inverted FB's kitu ambacho KLOPP ameleta kwa TAA ila hakijawa na Matunda kama wakati anawatumia kama Marauding FB's yeye na ROBBO kupiga Krosi. ARNE Inverted wanaongeza Idadi kwenye Build Up na Mara nyingi wanatengeneza Box. KLOPP Mara nyingi Holding wake alikuwa anashuka chini kama Option namba 1 ya Pasi toka kwa GK. FABBY Aliitendea haki hii sehem, Alcantara Klopp alihisi ni Upgrade ila ikawa tofauti.
Kama anakuja ARNE sitashangaa kuhusishwa haya Majina Geetruida, Hanco, Wieffer na Captain wake wa zamani Alkmaar Teun Koopmeiners.
Nunez anahitaji maneno ya Thierry Henry ama Torres ama Surez ama Owen ama Fowler maana mbona kosa kosa zake sio za kawaida...Kuna mdau aliwahi kusema tuna game 2 ngumu. Akazitaja ni dhidi ya United na Everton.
Kumbe hata Palace ni wagumu kwetu.
Tukapoteza kwa everton na sare ya united.
Ila kwa haki kabisa Nunez na Salah wamechangia kwa kiwango kikubwa kushindwa kubaki kwenye nafasi ya kubeba ubingwa.
Game dhidi ya palace kulikuwa na clear chances za kufunga. Zote wakapoteza.
Kloop naye amezidisha mahaba kwa Salah. Hata akiwa flop bado anaendelea kumwamini.
Ona hii hapa chini.View attachment 2973641
Tumpumzishe mtoto wa watu aiseeKuna mdau aliwahi kusema tuna game 2 ngumu. Akazitaja ni dhidi ya United na Everton.
Kumbe hata Palace ni wagumu kwetu.
Tukapoteza kwa everton na sare ya united.
Ila kwa haki kabisa Nunez na Salah wamechangia kwa kiwango kikubwa kushindwa kubaki kwenye nafasi ya kubeba ubingwa.
Game dhidi ya palace kulikuwa na clear chances za kufunga. Zote wakapoteza.
Kloop naye amezidisha mahaba kwa Salah. Hata akiwa flop bado anaendelea kumwamini.
Ona hii hapa chini.View attachment 2973641
Watakubali tu, Edwards linapokuja Suala la NEGOTIATIONS jamaa ni Among the Best in the Game. ARNE haezi pata shida sana tayari LIVER Ishatoka kwenye High intesity Game {Model ya Transition} Siku hizi wanamiliki sana Mpira.Naona jamaa wa Rotterdam wanakomaa p9m plus bonus on titles won nk nk...
Uzuri hawaweki ngumu abakie wanakaza maana wanajua hii bahati haiji mara mbili aisee.
YNWA