Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kabla ya Ligi kuanza tunaoijua Liverpool zaidi ya miaka 25 iliyopita tulilalamikia usajili tukashauriwa tuwe wastahimilivu usajili uliobora utafanyika.

Haya Ligi imeanza vipi tuendelee kuwa wastahimilivu au sio?
 
Kabla ya Ligi kuanza tunaoijua Liverpool zaidi ya miaka 25 iliyopita tulilalamikia usajili tukashauriwa tuwe wastahimilivu usajili uliobora utafanyika.

Haya Ligi imeanza vipi tuendelee kuwa wastahimilivu au sio?
0-2
 
Binafsi Arne namuona anamoralina hii timu, kama madogo watafuata maelekezo basi tutaenjoy bolu maana kuna muda naona wanajaribu kuchanganya bolu la utik taka ila bado hawajawa na speed nzuri,, tuwe wapole.
 

Ujue kusema mapungufu ya timu watu wanaona kama tunalalamika ila sio kweli.

Kwa mf. Last season tulilaumu sana Klopp kumlazimisha Szobo kurudi kuzuia mapungufu ya TAA which it had limited Szobo qualities, it cause injuries only to protect TAA. Sasa hii sio lawama ni uhalisia, kwani tuliona baadhi ya Mechi Szobo akiwa free up front. Agabi Klopp kumchezesha Macca ile lone 6. wakati tunajua hana ubora huo na amesajili natural no. 6 later on alijaa kwenye maoni ya wengi.

Kama sasa hivi tunavyosema tuna kikos finyu sana kwa sasa kupigania all cups which is true sio malalamiko, tuna upungufu wa DM, LCB na atleast Versatile offensive player atakayecheza RW AMF na LW.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…