Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Trent wakati anafanyiwa sub inaonekana hakupendezwa Kuna ishara flani alionyesha kocha naye hakufurahia Ile reaction ya mchezaji wake ndipo akamfuata kwenye kiti na kuongea naye ila kwa jinsi Slot alivyo nina uhakika kamkoromea jamaa.
Kufanyiwa sub mbona ni kawaida tu? Sasa acheze dk zote ili fatigue ianze mapema?
 
Trent wakati anafanyiwa sub inaonekana hakupendezwa Kuna ishara flani alionyesha kocha naye hakufurahia Ile reaction ya mchezaji wake ndipo akamfuata kwenye kiti na kuongea naye ila kwa jinsi Slot alivyo nina uhakika kamkoromea jamaa.
Hakuna tena yale ma hug πŸ€— ya Klopp. Slot ni kazi kazi hana bla bla. Kwa hili nasimama nae. Klabu kwanza mengine baadae. Klopp alitaka kua mwema kwa kila mtu wakati mwingine ilimgharimu mechi kwa kukosa ujasiri wa sub kama hizi.

YNWA
 
Mr captain if you understand one thing about Liverpool you will stop being irritated by FSG

Being a kop is like being in a cult, all you need to do is to believe
In a perspective view i was irritated when we signed endo and yes endo was bad signing mjapan mhuni yule hana strength katuchoma sana

Klopp knew ndio maana akataka caicedo hata kwa kutoa 125m yaani sio hawajui wanajua where there is a defect

Ni kwamba sasa ni cult organisation

Liverpool ni ka team flani hivi ka miujiza kanakotegemea scousers sajili chache zinazodumu muda mrefu
Better call us mwamposa fc miracle team

Hata kumchukua slot wakachukua mtu anayedevelop vipaji

Si unaona trent sa hivi mapema anatoka kapumzike baba
 
Hakuna tena yale ma hug πŸ€— ya Klopp. Slot ni kazi kazi hana bla bla. Kwa hili nasimama nae. Klabu kwanza mengine baadae. Klopp alitaka kua mwema kwa kila mtu wakati mwingine ilimgharimu mechi kwa kukosa ujasiri wa sub kama hizi.

YNWA
Klopp na ka cult club kake ka miujiza huku henderson
Huku milner huku trent humwambii mtu yule babu.
Klopp bwana klopp πŸ˜‚πŸ˜‚ klopp alkua mhuni sana yule mzee anakupump unaamini wewe duniani hamna kama wewe
Ref to Gini haya akahama πŸ˜‚πŸ˜‚
Na mwingine mnamjua nyie

Klopp alikua ana believe kwenye miracles funny football... fantasies

Na it was funny watching klopp era mimi alifanya ni believe everything ni possible

Huyu slot tumpe muda

Asiporudi kwenye mambo ya cult ya klopp tutaona πŸ˜‚πŸ˜‚
 
mjapan mhuni yule hana strength katuchoma sana
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…