Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Mimi naweza kuwa na sababu kadha wa kadha, niki judge kitabu kwa its cover. Klopp alikuwa ndiye mwenye kusema huyu asepe na huyu abaki. Kama ni hivyo hauoni ni sahihi kusema Klopp alitusababisha maumivu kuwakumbatia Injury prones wengi wenye huge wages??

Ox
Keita
Thiago
Matip

Hapo utasema unaweza kugombea chochote?? Mid yako ni Hendo, Milner, Jones,Elliot, na late Fabinho?? Kweli?? Ilikuwa uwongo.

Ukiangalia hapo Kipara alishaachana na Fernandinho, Ferdinand, Toure, Karibu miaka 5 huko nyuma, hao ni viungo tu backline karibu yote iliyompa 2-3 EPL alishaibomoa, kaleta damu changa miguu ya chuma anakiwasha, sisi tunajipa muda labda msimu huu watakaa sawa. Hapa ndipo tulikosea sana sana.

Halafu kati ya Klopp na Edward, Klopp ndio wa kwanza kuondoka na sio baada ya Edward kurudi.

Kumbuka Klopp alitaka kuondoka toka November wakambembeleza January akaja kufunguka, Edward alianza kufuataa Feb mpaka Marcha akakubali the deal. Utofauti wa Edward na Klopp upo kwenye usajili. Edward hakutaka Henderson, Milner na Gomez waongezwe mkataba, Na akatoa optiona zake, Bruno Guimaraes na Enzo Fernandez replacement ya Hendo na Milner, but we all know nani alishinda battle na nani alishinda vita, Edward lost the battle but won the war, Klopp won the battle but lost the war.

Kwa hapa tu ilikuwa ngumu kwa sytem ya Klopp uwe vile vile season in season out.
Mtu kama Salah achunguzwe fitness yake sio mchezo.
Henderseon ( as a team captain, aka geuka injury prone last two season, Klopp alizidi kumuamini huku stats zake zikionesha haziibebi timu)

Mane, Fabinho massively dropped their forms.

Klopp system ilihitaji atleast 2-3 players fresh legs after atleast two seasons, ila hatukufanya hivyo tuliishia kuwa na kina Melo, Kabak, Davies hapa hata kama ni wewe Pep unafanyaje,, ?? Una vuta wine unakunywa pole pole unajua atanisumbua mechi tutakayokuta baasi huko kwingine nitamuacha tu.
Huge praise kwa Klopp kukomaa na Pep licha ya kuwa na Mediocre players.

Sitaki kusema lolote kuhusu signing but what i feel, tutakuwa na less injuries with less long term injuries.
 
Babe wangu jamani
Sema akinuna anapendeza vilevile
LoL huyu Slot mkali kama Magufuli😂

I missed you too the Mona..
I thank God that we are all back
 
Babe wangu jamani
Sema akinuna anapendeza vilevile
LoL huyu Slot mkali kama Magufuli[emoji23]

I missed you too the Mona..
I thank God that we are all back

Jamaa mkali sana”,..!!! Ni kizuri sana lkn hasa kwa wachezaji wa kiingereza.

Last Paragraph I Liked It The Most [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Amen [emoji1431] lets stay together until may 2025 God willing.
 
Jamaa mkali sana”,..!!! Ni kizuri sana lkn hasa kwa wachezaji wa kiingereza.

Last Paragraph I Liked It The Most [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Amen [emoji1431] lets stay together until may 2025 God willing.
Ndio mzuri
Ngoja nianze kumfuatilia
Naombeni ratiba jamani

May God keep us Safe
Amin🙏🏿
 
Fsg wahuni wa mbagala
 
Dah umenikumbusha Aquillan yule nae alipuyanga tu duh magarasa yamepita mengi sana, kipindi hicho nilikuwa naipenda Liverpool kufa kuzikana

Spearing, Aspas, Glen Jonson dah
Spearing the next Stevn Gerrard haha kazi kweli kweli.. Angalau sasa hivi hatusikiii the next Surez, the next Hypia, the next Owen...

Kila mchezaji ajitengezee jina lake.

YNWA
 
Hilo swali nishajiuliza zaidi ya mara 200 na sijapata majibu,

Jamaa ni Injury prone na kiwango chake cha sasa si sawa na miaka 4 iliyopita
Wala usijichoshe kuwaza sana bro. Ukikumbuka Keita alitakiwa kuongezewa mkataba na usajili wa Thiago na Ox ndio utaacha kuwaza sana ya huyu Mu Italy... Muachane aje ale good time 🤣🤣🤣

YNWA
 

Scout yetu ni bora shida ipo kwa Tajiri letu la Kimarekani halitaki kutoa hela
 

Kufeli kwa Manure Sokoni au Chelsea sio kigezo wala sababu hata kidogo inayopaswa kutufanya sisi tusisajili kwa uhakika.

Kaka nakubali umekubaliana na sera za usajili kwasababu huna Option nyengine ndiyomana umeamua kukubali matokeo.

Kipindi wanasajiliwa kina Alison, Salah, Mane, VVD, Fabinho, Keita tukabeba Makombe naamini pia ulikubaliana na sera za usajili za wakati huo za kuingia sokoni.
Lakini kwa sasa hatusajili pia unakubaliana na sera zetu za usajili, tukianza tena kumwaga hela sokoni utakubaliana tena na sera za usajili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…