Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

There was a time jezi ya Salah ilikua inauza asilimia 30 ya mauzo yote ya jezi...kama sikosei mkataba na nike ulikua unasema asilimia 30% ya mauzo yote ziingie Liverpool. Hii ilikua kazi safi ya LeBron James kushawishi ivyo. So Salah is best player kwetu kwa kuzalisha ma mabilioni aisee

Sasa ndugu yangu Salah is our Galactico yaani ma Yankees kawashika pazuri sana. Maana upande wa merchandise Salah yumo na uwanjani ndio yule wa moto balala.
Apewe miaka miwili tena.

YNWA
 
Fear factor kwa wapinzani inaanza kurejea.
Our spine ndio maombi kua DM Gravenberch akae fit, Allison akae fit, VVD akae fit and we are sorted mkuu.

YNWA
 
Well any headline to do with Liverpool will create big coverage hivyo kazi kwao... Cha msingi Klopp sio media type of guy wala ma social network ivyo hizi zitaishia kutupasha tu..

Klopp is modern Shankly dont be surprised Slot akawa modern Paisley πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

The bootroom is back haha.

YNWA
 
Hehehehe

Kabisa kabisa hana hiyo ladha ya 40+ bana…
Hivi the Mona unadhani Kwa vile wewe wa afu2 basi unajua kila mtu atakuwa wa afu2πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tanzania inapata uhuru tunaiona
 
Mane kashaua kipaji chake mazima
Firmino kinakwenda kufa

Salah genius,aliahtukia mapema mtego
Sasahivi kipaji chake kimepamba motoπŸ”₯
Wachaa weee Mane anataka hela ya kusaidia kijiji chake na ameshanunua na timu ufaransa, anawalipa mishahara wanavijiji wasiokuwa na maisja. Hela ya FSG haikutosha lakini upande wake tuna Lucho na Gakpo jakina shida yoyote. Bobby kashafungua kanisa kule kwao.
 
View attachment 3089663

The Mona... I meant this one.

YNWA

Macca played more deep than Graven vs utd,

Yes he played better hakuonekana kupata nyakati ngumu sababu ya Double pivot system,. Ila ile lone ya 2-1 shape ilikuwa mbaya kwake inahitaji natural no. 6 unlike under Slot. Jamaa anaenda na 2-3 shape or even 3-3 shape hata Graven under Klopp kwenye hiyo hiyo 6 asingeweza anayoweza sasa hivi.
 
View attachment 3089665
He is the engine....

The street ain't ready when the MF combination of Gravenberch, Macca and Domy accelerate. Lady luck guard em against any injuries while playing for thier respective nations

YNWA

Jamaa anakimbia muda wote kwenye ile third man runner anaitumia vizuri, ni wakati wa kuanza kufunga na ku assist zaidi.
 

Mbali na yote our third kit is so cool looks calm and winnable kit, Over home kit.

YNWA
 

Mitatu inamtosha, kikubwa akiwashe zaidi, wala haitatumika nguvu kubwa kumpa mkataba mwingine…!!!

Saudia ataenda tu huyu anaweza kukupiga until 37 huko

YNWA
 

Umewaza kama mie

Slot our next Paisley ukiitazama history ya Shankly na Klopp inaendana hivi,ngoja tuone kwa Slot how it will be, hopefully will be A A A A

YNWA
 
Hivi the Mona unadhani Kwa vile wewe wa afu2 basi unajua kila mtu atakuwa wa afu2[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tanzania inapata uhuru tunaiona

Hehehheh


Mie sawa mdogo, ila sio wa alfu mbili kwa kweli”,.
Nitake radhi

YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…