Mkuu sikubali kuwa kuondoka kwa Suarez ndiyo iwe hivi!
Kuna mengi zaidi ya haya!!
ndio chifu, kuna la zaidi, the team ni kama imecollapse... body language inazidi kuwa ya chini sana
- Glen anakimbia bila malengo
- Skertel sasa anazidiwa nguvu hata na Gayle
- Lovren is worse that Adre wisdom au Kolo Toure (ameacha hata kuongea coz hana confidence) haongei kabisa na skertel
- Gerro kawa bubu, and he looks tired and not interested
- Allen ni yuleyule, hana purpose wala direction, anatafuta open space na kuishia kuwa king wa backpasses
- Cou sijui hata nisemeje, haeleweki
- Raheem seems to have lost his spark, its either anatomba sana, au hana hamu na timu
- Manquillo sina cha kusema, bado mdogo kwa EPL (BTW, hivi Flano anarudi lini?)
- I see adam labda ndio kwa mbaaali ana chembe za uongozi na kusimama against anyone kwenye pitch
Nimemtetea sana BR, ila kwa sasa hakuna excuses, na ukiangalia comments za LFC.TV ni kama 95% wanataka aishie,
we need a new life, but not Benitez
you will never win again
mkuu si hivyo hadi umesahau motto wa lvpl .you will not walk alone.
ni kweli kuna tatizo zaidi ya Suarez kuondoka ila last season mechi nyingi mlishinda kwa uwezo binafsi wa Suarez...HE IS A MATCH WINNER
ukiachana na RB, i think i'd take Klopp or simeone!!!
Au...Unai Emery????
there's no Doubt, BR is a goner!!!
Ni kati ya ma manager wachache ambao nimeshuhudia wakijitakia wenyewe kutimuliwa...aende zake akafie mbele huko! Ana mapungufu mengi sana,kuanzia EGO,Transfers,Backroom,
Hao mnaofikili wanamuda gani kwenye hizo timu
BR wako hajui kusajili,hajui kupanga timu,hajui mfumo bora kwa timu,ni ms*nge,anawajaza waingereza pale LFC kama timu ya taifa,hao wengine wanaondokewa na wachezaji nyota na bado wamesimama imara..unapewa Pound 100+ unasajili wachezaji kumi bdala ya kusajili wanne tu wa maana! Hebu niambie umuhimu wa kumsajili Lovren wkt ulikuwa na kolo,agger na sakho! Lalana wa kazi gan wkt una Suso,Coutinho,Ibe,Sterling,etc? Kwanini kumpanga SG kama CDM wkt Lucas umemweka bench?
BR wako hajui kusajili,hajui kupanga timu,hajui mfumo bora kwa timu,ni ms*nge,anawajaza waingereza pale LFC kama timu ya taifa,hao wengine wanaondokewa na wachezaji nyota na bado wamesimama imara..unapewa Pound 100+ unasajili wachezaji kumi bdala ya kusajili wanne tu wa maana! Hebu niambie umuhimu wa kumsajili Lovren wkt ulikuwa na kolo,agger na sakho! Lalana wa kazi gan wkt una Suso,Coutinho,Ibe,Sterling,etc? Kwanini kumpanga SG kama CDM wkt Lucas umemweka bench?
Nshakwambia staki!!!
Mkuu nakuunga mkono ila kwa Lucas kiwango kimeshuka sana, na huyu BR anatatizo gani na SUSO?
Suso kaumia
Weka Kolo badala ya Lovren
Weka Sakho badala ya Skrtel
Can aanze dimba la chini
SG free role dimba la juu
Pembeni Hendo na Lallana
Wawili wa mbele Coutihno na Borin
Tutaanza kushinda kiurahisi tu lkn kwa team yake hii hata Stoke City week hii anajichukulia points kiurahisi kabisa
Hii ndio timu ya ushindi, kwani hana washsuri pale