Kitu cha kwanza jana BR anaongea na media anasema "my job is safe"! kocha wetu nina wasi wasi sana na IQ yake
Mabao yote 3 jana ni uzembe wa mabeki!Bao 2 za kwanza walimpa too much room Bolassie afanye atakavyo na bao ka 3 unnecassary free kick anaittoa Skrtel!!
Toa mabeki hawa wa kati now kuanzia na mechi ya Jumatano Bulgaria
Hii mechi tumepoteza kwa ukaidi wa BR, atamuweka Bali wake, Nina wasiwasi na hii game ndio itakua mwisho wake pale meryseside
Hafiki huko mkuu!
Mwisho wake ni Jumatano huko Bulgaria na hapa nasali rozali tufungwe atoke!
Kalewa sifa huyu
aisee...yaani nilifikiri sisi ndio wenye hali mbaya sana kuliko wenzetu!
BR will give you a title!Nahisi kachukua rushwa huyu kocha wetu
Nshakwambia staki!!!
Yani mi nakasirikaga mimi... Keimamae wallah!!
Pamoja na kuwa hali ni tete, jambo jema ni kuwa BR atapita lakini Liver itabaki kuwa Liver tu... YNWA. Tuko pamoja wakuu ktk shida na raha...
BR will give you a title!Nahisi kachukua rushwa huyu kocha wetu
Xabi mweeee!!!