Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kitu cha kwanza jana BR anaongea na media anasema "my job is safe"! kocha wetu nina wasi wasi sana na IQ yake

Mabao yote 3 jana ni uzembe wa mabeki!Bao 2 za kwanza walimpa too much room Bolassie afanye atakavyo na bao ka 3 unnecassary free kick anaittoa Skrtel!!

Toa mabeki hawa wa kati now kuanzia na mechi ya Jumatano Bulgaria

Hii mechi tumepoteza kwa ukaidi wa BR, atamuweka Bali wake, Nina wasiwasi na hii game ndio itakua mwisho wake pale meryseside
 
aisee...yaani nilifikiri sisi ndio wenye hali mbaya sana kuliko wenzetu!

Man City,Liverpool,Arsenal na Liverpool wote ni tia maji tia maji tu!!Hamna kitu kaka tunampa ubingwa Chelsea mapema kabisa
 
RODGERS.jpg
 
Pamoja na kuwa hali ni tete, jambo jema ni kuwa BR atapita lakini Liver itabaki kuwa Liver tu... YNWA. Tuko pamoja wakuu ktk shida na raha...
 
Pamoja na kuwa hali ni tete, jambo jema ni kuwa BR atapita lakini Liver itabaki kuwa Liver tu... YNWA. Tuko pamoja wakuu ktk shida na raha...


tatizo nikwamba tutakua wa ivi ad lini...tumebak wa kujisifia mafanikio ya 80's..inaudh sana
 
Back
Top Bottom