Kama Bradley ana confidence Gomez anaikosaje?
Huwa naamini kwamba Gomez aliishia msimu wa 2019-2020 baada ya hapo hamnamo mtu
Diaz na Cody ni wachezaji wanaocheza nafasi moja lakini wanaokupa aina mbili tofauti za uchezaji wao. Na ndio maana hata Arne huwa kuna namna anatwist mfumo wa kucheza pindi anapotoka mmoja kuingia mwingine.
If its was my vote wi wil say yes to Salah new contract give him 2 years and get his replacement before those 2 years... Not convinced by Chiesa playing RW as hier to Salah, Chiesa delivers better playing LW though now we have Diaz and Gapko on that side, Jota and Nunez in the middle thus wild card will be Chiesa...
May FSG make the best decision if Salah stays we are lucky cz to him age is just a number... But if they decide he is leaving basi tuone mbadala wa ukweli.. Tetesi ni Rodrygo wa Real Madrid, well that a long shot mate.
YNWA
If its was my vote wi wil say yes to Salah new contract give him 2 years and get his replacement before those 2 years... Not convinced by Chiesa playing RW as hier to Salah, Chiesa delivers better playing LW though now we have Diaz and Gapko on that side, Jota and Nunez in the middle thus wild card will be Chiesa...
May FSG make the best decision if Salah stays we are lucky cz to him age is just a number... But if they decide he is leaving basi tuone mbadala wa ukweli.. Tetesi ni Rodrygo wa Real Madrid, well that a long shot mate.
YNWA
View attachment 3107289
[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Bring em.
YNWA
Let's say ni conundrum pale Real Madrid brewing may be... Ipo hivi front guys pale Real Madrid ni Vinscios, Mbappe, Diaz, Endrick, Bellingham na Rodrygo.. meaning Liverpool are waiting in the flanks kuona kama Rodrygo will lack game time pale mahala aanze kuangalia plan B kwingine... Nwa we have been here before with Valverde when Liverpool we enticing the boy to quit tukaishia kubaki na akina Keita na Thiago... Scout department should be serious waache huu usanii... They should aim to viable options sio dili ngumu ngumu kama hizi...Sijui kama itakuwa rahisi kumtoa Rodrygo pale Madrid kwa sasa.
Mikataba ya Trent, Salah na Vvd inaandaliwa hopefully…!!! Salah apewe season mbili mbele tupate muda wa kujipanga vyema.
Vvd give him 2 good years
Trent give him 5 yrs contract he is our scouser.
Chiesa alikuja kwa ajili ya price Tag na alichofanya huko nyuma. Unaona mechi kama ya jana alicheza na akatoa assist, of which kama tusingemsajili basi ilikuwa ni Salah au Diaz mmoja lazima angeanza.
It a good additiona for me, ila sio mbadala wa Salah labda ije otherwise.
YNWA
😂😂😂😂By the way.... I really think Chelsea are back in the mix... Sio tena 2 horse race ya Manchester City na Arsenal as many thought hapana hapana the race is quite entertaining now Liverpool Chelsea Manchester City na Arsenal have a chance aisee..We have our own bald. Dawa ya moto ni moto kipara kwa kipara. Mpaka dec huko gari litakuwa limekolea.
Nitumie ya kwako kwanzaSi unaona unavyopunguza sasa, kutoka bibi mpka mama mdogo, kidogo kidogo dada yake, kidogo kidogo mtoto wa alfu mbili,
Kwanza Nida sidhani kama unayo.
YNWA.
Hivyo ndivyo alivyo na ndio style yake ya uchezaji. Anayataka magoli hasa akiwa pale Anfield. Atleast hizo long range shots zinakuwa on target its a good sign.
Atakuja kukaa sawa. Anatafuta fitness.
YNWA
Halafu mbona maneno mengi hunipi nida jamaniNakubali, vita nitaishinda tu hii.
YNWA.
Let's say ni conundrum pale Real Madrid brewing may be... Ipo hivi front guys pale Real Madrid ni Vinscios, Mbappe, Diaz, Endrick, Bellingham na Rodrygo.. meaning Liverpool are waiting in the flanks kuona kama Rodrygo will lack game time pale mahala aanze kuangalia plan B kwingine... Nwa we have been here before with Valverde when Liverpool we enticing the boy to quit tukaishia kubaki na akina Keita na Thiago... Scout department should be serious waache huu usanii... They should aim to viable options sio dili ngumu ngumu kama hizi...
YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]By the way.... I really think Chelsea are back in the mix... Sio tena 2 horse race ya Manchester City na Arsenal as many thought hapana hapana the race is quite entertaining now Liverpool Chelsea Manchester City na Arsenal have a chance aisee..
Kipara is now slowly understanding the needs and tweaking the formation depending with the opponent...
YNWA
Nitumie ya kwako kwanza
Naisubiri
Kumbe ndio style yake
Tumekwisha