Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Four changes have been made for the reds to face Palace,

Tsimi for Robbo
Jones for Szobo
Gakpo for Diaz
Jota for Darwin

Becker
Trent
Tsimi
Konate
Vvd (with full confidence of staying untill 2028).
Jones
Macca
Gravern
Salah
Jota
Gakpo.

Away match as usual will be tough vs Palace. Hizi midtable team wakicheza na mkubwa kitu wanakiongeza ni umakini na ufasaha wa kuwa timamu uwanjani as a team, hakuna mvivu, mentality hubadilika, wanashinda mipambano yao nguvu (physical battle), second balls ziwe zao,

Zaidi sana wao wamekuwa na wiki nzima ya mapumziko bila mechi, while LFC tulikuwa na mechi j’5 jioni, atleast ilikuwa pale pale UK, but game is just a game.

Wish all the best to Jones, awe na game nzuri ya kumshawishi Slot yasimkute ya Quansah vs Ipswich. Jones can offer goals and assist, ikiwa tu anaacha utoto wake.

Tough game, aggressive match, Palace with 3-4-2-1 on paper ila hiyo inakuja kuwa 5-3-2 wakizuia, dawa ni goli la awali ili kuwatoa kwenye mfumo wa uzuiaji na kuwafanya wafunguke kutafuta magoli. Wapo nafasi ya 18, with just 3 points, of which is not a good kwa status yao recently.

Natarajia watakuja with full gear, plus early kick of fever ya big team. Lets hope this rotation will give us good rhythm and good flow of football.

It’s your match Jones, keep it in your shoulder,


See you after the match.


Up Liverpool
Go reds
Ynwa’
 
Hawa palace mbona wanakimbilia kushika shika wenzao utadhani wanataka kucheza mieleka🚮
 
Dah wapo wachezaji special kwa ajili ya mifumo fulani

Kwa mfumo huu Dumfries utampenda sanaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…