Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
๐๐๐๐Heheh
Watoto wa alfu mbili bana, halafu wa kike inabidi uende nao hivyo hivyoโ,.. ukiwa serious kichwa kita knock.
This is EPL ambapo unakata mti unpanda mti in "like for like" subs.. Unatoa Jota unaweka Nuenz.. Diaz unaweka Gapko nk nk... Ukishakua na wachezaji kiwango basi huko mazoezini maelekezo ya mwalimu yanaeleweka kwa kila mmoja. Lakin ukiwa na magalasa kama akina Henderson basi ujue kuna mahala utadodoshwa case study dogo Henderson aliwai zomewa mara kadhaa kwa kupenda kurudisha mipira nyuma almost wakati mwingi huku akiwa na chance ya kupiga mpira mbele...โI believe in training ground over buyingโ,
โi have good squad with top top quality playersโkikamkuta jambo akaona hapana aisee hiki nachojiaminisha sitafika popote, akabadili msimamo mambo yakajipa.
Sio kila msimamo ni wa kuushikilia.
Ynwaโ
October iko tight sana na hii ratibaThis is EPL ambapo unakata mti unpanda mti in "like for like" subs.. Unatoa Jota unaweka Nuenz.. Diaz unaweka Gapko nk nk... Ukishakua na wachezaji kiwango basi huko mazoezini maelekezo ya mwalimu yanaeleweka kwa kila mmoja. Lakin ukiwa na magalasa kama akina Henderson basi ujue kuna mahala utadodoshwa case study dogo Henderson aliwai zomewa mara kadhaa kwa kupenda kurudisha mipira nyuma almost wakati mwingi huku akiwa na chance ya kupiga mpira mbele...
Kwa sasa tunao average players Jones, Tsimikas nk dalili njema ni kwamba chini ya Slot wamekuja kivingine kabisa kiasi angalau huko mazoezini kinaleweka wanachofundishwa aisee hii inanpa amani sana kwamba mwalimu somo la tactics linawafikia vyema walengwa..
Most improved players chini ya Slot kwa sasa ni Gravenberch, Diaz, Konate, VVD, Trent, Robbo nk nk
Ngoja wa break kimataifa warejee wakiwa wazima maana wakirudi tu ndani ya siku 10 tuna gemu zifuatazo
View attachment 3116495
YNWA
Kuna kazi moja nzuri sana huwa anafanya maccaMpira uishe tu aisee
Wasiwasi wangu majeruhi tu.October iko tight sana na hii ratiba
Na akihamia Nyumbu FC je๐ just kidding!Trent akihama nahama naye
Alipo nipo.
Hivi unaelewa kweli ninavyosema Nampenda Trent?๐๐๐
Not sure but ubwela wa macca unambeba sanaHivi Wakuu mpaka sasa Ryan Gravernberch mpaka sasa ameshakuwa Man of the Match mara ngapi?
Nakumbuka MOTM niHivi Wakuu mpaka sasa Ryan Gravernberch mpaka sasa ameshakuwa Man of the Match mara ngapi?
Epl Moja.
Na alinipa kukosa EPL mwaka jana kwa kuzembea mechi muhimu dhidi ya Aseno.
Absolutelyโฆ. ๐ฏ